Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

DSC01057.jpg
 
Acheni ushabiki kunguni nyie watanzania wanao kufa kwa ajali pia wameuliwa nyie nyoko nini mnaboa mno tumieni akili kifo cha MTU kikipangwa kimepagwa na hakuna Wa kuzuia
hao watanzania wengine labda ni panya ... inatia hasira
 
Siku yake ilifika. Kifo cha mashaka alikiumba mwenyewe kwa mdomo wake. Tangu tarime hadi star.
 
CCM wamefanya hili ni sehemu ya kampeni, kweli pumzi zimekata. Sasahivi hata akifa bata wata muhusisha na kampeni.
 
CCM wamefanya hili ni sehemu ya kampeni, kweli pumzi zimekata. Sasahivi hata akifa bata wata muhusisha na kampeni.
Kama kawaida yao hawakawii kuwachukua ndugu Wa marehemu na kuanza kuzunguka nao kwenye majukwaa
 
Mwisho wa yote tutakapomaliza kusema tusisahau kumuombea dua njema huko aendako Mtikila. R.I.P
 
R.I,P Mchungaji wote tuko njiani tunasubilia siku yetu aliyotupangia bwana.
 
Nikiona mambo kama haya nakumbuka wafuatao..Chacha Wangwe,Harrison Mwakiembe,Said Kubenea, Kibanda na wengine naweka hakiba ya maneno

Hao kina chacha wangwe;kubenea:kibanda na wao ktk ajali zao hawakuwa wamefunga mikanda??
 
upande wa dereva ndo umepondeka zaidi Mtikila tu ndo wakufa hapo hapo? uchunguzi ufanyike juu ya hiki kifo hapana kwa kweli hainiingii akilini kabisa

Mkuu kata rufaa na useme nani wewe ulitaka afe na hasa kusafiri ktk gari pasipo kufunga mkanda
 
1. Gari yake haijaharibika kabisa na tunaaambiwa iliacha njia na kupinduka tunajua sababu kubwa ya magari kuacha njia ni kupasuka kwa matairi lakini hili gari la Mchungaji Mtikila hakuna tairi liliposuka. Sasa tuambiwe sababu ya kuacha njia na kupinduka ni nini?

2. Mchungaji Mtikila hana alipoumia au kubleed damu.(Labda iwe kafa kwa mshtuko wa moyo au internal wounds. Kwenye picha anaoekana hajaumia hata kidogo hata nguo alivozavaa zikiwa hazijachanika hata kidogo.Sasa tuambiwe sababu gani nyingine iliyopelekea kifo chake?

au alinyongwa? hebu kaisaidie police basi tujue alikufa na nini
 
kuna msemo unasema"you see what you want to see",means unakiona unachopenda kukiona,na wewe umeleta mada ukiwa na majibu yako yaliyo egemea upande fulani,kueni jamani,mungu hadhihakiwi,tumuombee mchungaji huko aendako,na tusiwe wepesi wa kufanya shiriki kwani humchukiza sana mungu,nakuombea mleta mada ubadilishe mawazo yako ya kishirikina katika hili....R.I.P Mchungaji wangu Mtikila!

Hizo hoja hutumika hata na wataalam wa forensic science, Gari ikipinduka mara mbili tatu, Tena body za Corolla inastahili kubonyea, hata vioo viko intact, tairi zimesimama hata ball joint haionyeshi kuchomoka. Nyanya hazina trail kwenye picha, watu hakuna, hakuna dalili ya external or blant injury, tie imefunga kichwa, no bleeding, cardiac arrest au moyo unahitaji doctors report ya cardiac enzymes, je alifunga mkanda if no tungeona alama za kujigonga kama kwa hao wenzake
 
mtoa mada anajalibu kusoa kazi ya mungu au kumpinga mim nimeisoma hii mada akuna chamaana ngoja nimulize kuna mtu ana panga afaje akuna kama kuna basi tuache mungu atabaki kuwa mungu usije akasau hata siku moja.
 
images
Z


Ufafanuzi mzuri sana.

Mwakajuzi nikiwa likizoni homeland Tanzania, nilikuwa na safari ya dharura toka Dar kwenda Morogoro na kurudi siku hiyo hiyo kuwahi jioni yake kupanda ndege kurudi ninakoishi.

Niliondoka Alfajiri sana Dar kama saa kumi na moja, ukweli usumbufu wa kipekee niliopata ni yale makunyazi na mibonyeo ya low quality ya barabara alizosimamia Mafuguli.

Kuna sehemu nilipishana na basi la abiria wa mikoani HOOD LIMITED baada ya kuvuka tu lile daraja la Reli baada ya Mto Ruvu kuelekea Morogoro alimanusura nipinduke na kagari nilikoendesha, nilichepuka kulipa site bus nikafikiri barabara za Obama, oh my goodness, niliyumba na bahati nilipunguza speed.

Ajali nyingi huchangiwa na quality mbaya ya barabara anazojisifia Magufuli.

Mkuu mie nilikuwa nakwepa kuisaidia polisi. Lakini ukweli ni kuwa hizo wanazosema overtake jamaa alikuwa kasha overtake tayari ila ishu ni hiyo hapo juu. Barabara za Magufuli, japo sasa kuna watu wameanza kutumia hii ajali kama mtaji wa kisiasa.

Wenye uzoefu na hako kaeneo ka Msolwa ukiwemo wewe mnaelewa fika.

Na kwa CCM kama mtawapa tena miaka mingine 5, hako kaeneo kataendelea kuua watu na kujeruhi, na hakuna matengenezo wala nini. Na bado wanatahesabia kuwa tuna barabara za lami.
 
Back
Top Bottom