TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,504
- 28,437
Vipi kuhusu uteuzi!?
Gari hiyo hiyo au gari aina hiyo hiyo??
[http://2][/IMG]Gari hiyo hiyo au gari aina hiyo hiyo??
ALWATAN KIZIGO
Muuaji wake anajulikana, hivi karibuni amemshambulia sana na akasema hafai kwenda Ikulu. Huyo huyo muuaji ndiye aliyetuma watu kumvamia Humphrey Polepole nyumbani kwake Mbezi beach.
Akili fupi huwa hazikawii kuleta maafa. Haya mambo ya kujifanya polisi mmeyatoa wapi? Kuna tofauti gani kati ya wanaoamini ushirikina na wewe unayeamua mambo kwa hisia?
Kapteni Komba alisema Warioba amezeeka blah blah blah, je Mzee Warioba alimroga kapteni Komba? Acheni upuuzi. Haya mnayoongea kwa kutafuta sifa yanaweza kutuletea maafa.
Nakumbuka chacha Wangwe ilitumika gari hiyo hiyo.. Fuatilia.
Kwa aina hiyo ya ajali MTU kufa inaweza kitokana na mambo manne!
1. Aidha alikufa kwa mshtuko hasa kama akiwa na matatizo ya moyo
2. Aidha alikuwa hajafunga mkanda!
3. Aidha ni adhabu Mungu kwa ajili ya kukejeli MTU kutokana na ugonjwa. Inasemekana alimkejeli Lowasa akidai ni mgonjwa sana.
4. Aidha ni muungano wa sababu angalau mbili kati ya hizo 3 hapo juu.
si ni nyepesi kuibinuabinua...
ni rahisi hata kwa watu watatu kuiviringisha...
Lowassa hatutompa kura za kuingia Ikulu, ni zaidi ya shetani.
Kwahiyo mnataka tuamini kuwa hao waliopanga kumuuwa walikuwa na akili fupi kihasi cha kushindwa kufikiria kuwa wakimuacha bila majerahaa itazua maswali? mnataka kutuaminisha kuwa hawakufikiria kumjeruhi kwanza mtikila kama walivyowajeruhi hao madereva na mchungaji Mgaya? yani mmewaita kuwa ni majasusi wa hal ya juu wenye uwezo wa kuingia popote lakini katika hii ajali ya Mch Mtikila wamekuwa ni mambumbu wasiojua kutengeza ajali itakayoshinda kuzua maswali kwenye vichwa vya wapumbavuk
katika ku engineer ajali kuna majeraha wataalamu mara moja wanaweza gundua kuwa mtu ameinflict na si ajali,kwahiyo hawawezi kumkata mapamnga eti ionekane ajali imemuumiza
Jean Bosco mfanyakazi wa Mtikila amekamatwa akiwa anataka kutoroka, akiwa na kiasi kikubwa cha pesa. Uchunguzi unaendelea........
Duh!Jean Bosco mfanyakazi wa Mtikila amekamatwa akiwa anataka kutoroka, akiwa na kiasi kikubwa cha pesa. Uchunguzi unaendelea........