Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Muuaji wake anajulikana, hivi karibuni amemshambulia sana na akasema hafai kwenda Ikulu. Huyo huyo muuaji ndiye aliyetuma watu kumvamia Humphrey Polepole nyumbani kwake Mbezi beach.

Na Huyu Huyo Killer King Maker Ndiyo Aliyewatengeneza Akina Dr. Mwakyembe Na Professor Mwandosya Kwa ILE Kitu Ya Tel Aviv Yafo Nchini Israel. ANASIFIKA MNO KWA MICHEZO Hiyo Ya Hatari!
 
1. Gari yake haijaharibika kabisa na tunaaambiwa iliacha njia na kupinduka tunajua sababu kubwa ya magari kuacha njia ni kupasuka kwa matairi lakini hili gari la mchungaji mtikila hakuna tairi liliposuka. Sasa tuambiwe sababu ya kuacha njia na kupinduka ni nin?
2. Mchungaji mtikila hana alipoumia au kubleed damu.(Labda iwe kafa kwa mshtuko wa moyo au internal wounds. Kwenye picha anaoekana hajaumia hats kidogo hata nguo alivozavaa zikiwa hazijachanika hata kidogo.Sasa tuambiwe sababu gani nyingine iliyopelekea kifo chake.
3.Tunaambiwa ajali alipata SAA 11 alfajiri chalinze kwaa asili ya eneo la chalinze ni eneo bize sana kwa nini picha iliyosambaa inaonesha ninasubuhi kabisa kumekucha INA maana ajali yake haikushtukiwa na Wtumiaji wengine wa Barbara mpka asubuhi.
Angalizo cjamlaumu MTU yeyote kwenye hii ajali ila ni maswali ambayo nilikua najiulza binafsi sasa nawaomba msichafue hali ya hewa.

Ukiwa makini utagundua maswali yako yote yanajijibu yenyewe, chukulia mfano swali la kwanza, unasema sababu 'kubwa' ya gari kuacha njia ni 'kupasuka tairi', hii inamaana kuwa zipo sababu zingine ambazo yamkini ni ndogo zinazoweza kupelekea garoli kuacha njia.
Swali la pili vivyo hivyo umeshaweka jibu kwenye mabano nafikiri madaktari watathibitisha.
Labda mimi sielewi majira ila saa kumi na moja pia ni asubuhi na chalinze ipo mashariki ambako jua linachomoza mapema. Kwa sababu picha haionyeshi saa ilipopigwa labda atafutwe mtu aliyezituma atuambie alipiga saa ngapi, kama alipiga mapema kwa nini alichelewa kuzituma.
 
Ukiwa optimistic au pesmistic wakati wa kuangalia jambo katika judgement zako utaegemea huko huko.
1. Kama gari imetoka nje ya barabara hata kama tairi haijapasuka inawezekana mtu alikua amesinzia akahama njia, inawezekana alioverspeed akahama njia, inawezekana steering road ilikatika. Yote haya yanaweza kuwa chanzo cha kuhama njia
2. Kutokua na majeraha nje haimanishi huwez kufa kama umepata ajali. Inaewezekana mtu akapata internal damage zikapelekea kifo chake
 
Pia utizamapo picha mchungaji hakuwa amefunga mkanda asinge toka nje ya gari, mara nyingi tuna shauriwa kabla ya kuondoa gari funga mkanda linapo tokea jambo mkanda utakusidia.Ni mtizamo wangu kulingana na picha za ajali
 
Pia utizamapo picha mchungaji hakuwa amefunga mkanda asinge toka nje ya gari, mara nyingi tuna shauriwa kabla ya kuondoa gari funga mkanda linapo tokea jambo mkanda utakusidia.Ni mtizamo wangu kulingana na picha za ajali

hakufunga mkanda na akatupwa nje ya gari akiwa ameshika breaf case yake? Au alikimbizwa kwanza kabla ya kumaliziwa?
 
mmeanza swine! watanzania fanyeni mambo yenu na iacheni rwanda na maisha yake. ikiguswa tu nchi ya rwanda gentamycine sitanyamaza na hali ya hewa itachafuka humu. Mtuache wanyarwanda tupambane na maisha yetu kwani genocide ya 1994 imeturudisha mno nyuma ila tunashukuru mwenyezi mungu sasa kiongozi wetu mwenye haiba kama za dr. Magufuli kipenzi changu his excellency president paul kagame anairudisha rwanda ktk economic and development map. i love rwanda, i love paul kagame, i love tutsi tribe and i love dr. John pombe joseph magufuli.
kumbe wewe mnyaruanda sasa pilipili usioila inakuhusu nini tuachieni tanzania yetu.
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Yaani hii post yako imejibu maswali mengi niliyokuwa nayo kila nikikutana comment zako.
 
Something wrong somewhere ukitulia na kufikiri na kutazama kwa jicho la tatu utakiri na Mimi sio ajali ya kawaida., huo ndio ukweli
 
hakufunga mkanda na akatupwa nje ya gari akiwa ameshika breaf case yake? Au alikimbizwa kwanza kabla ya kumaliziwa?
{Eddy}huenda ikawa hujawahi ona ajali katika uhalisia hata kama gari ni jipya litatoa vumbi na kila kilichopo kitakwenda nje, je nyanya na vitunguu alikuwa anakimbia nazo? zipo katika picha pia. Fikiria na kutafakari bwana ameto na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.
 
Mungu hazihakiwi kamwe yeye ndie mwenye kutoa uzima na uwahai kuna watu wengi duniani waliomzihaki Mungu mwisho wao haukuwa mzuri
 
Pia utizamapo picha mchungaji hakuwa amefunga mkanda asinge toka nje ya gari, mara nyingi tuna shauriwa kabla ya kuondoa gari funga mkanda linapo tokea jambo mkanda utakusidia.Ni mtizamo wangu kulingana na picha za ajali

Alisahau akafunga tu ile mikanda ya kushika suruali kama Masako wa ITV. R.I.P mungu mtu. Nimejifunza sana na ndiyo sababu hadi sasa namuomba mungu anipatie busara hata robo tu za Lowassa kwani takuwa na uhakika wa kutia maguu peponi pasipo maswali kibao kwa mungu.
 
Back
Top Bottom