Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Mchungaji mtikila alishawahi kuwaandika watu wafuatao kwamba n watu hatari sana

1.innocent mchunku kapilipili
2.francis magege
3.james kabarebe
4.athanas kafurama (very dangerous)
5.mchungaji mgaya

Nashangaa na siamin kama leo ameongozana na mtu anaemjua kuwa n hatari mtu aitwaye mchungaji mgaya
Kwa hiari yake

Kuna kitu kinaendelea hapa

Mtikila kamsema sana kwa nguvu zote kagame na lowasa
Na hawa watu wanakonekshen sana
Na n watu hatari

Majasusi wa kagame wakikuhitaji hata kama uko whitehouse marekan wanakumaliza mara moja
Wanauwezo hata wakuingia nchi yoyote na kutekeleza waliloagizwa
Refer mwaikyusa

The same to lowasa
Refer. Ripot ya mwakyembe kwa IGP kuhusu mpango wa lowasa kutaka kumuua
Yawezekana kweli marehemu alikuwa na Ugonvi na Kagame lakini kwa tukio hili la Ajali ni vizuri wangehojiwa kwanza hao watu aliosafiri nao kabla ya kupakaza au kuwahisi watu wowote wale, maelekezo ya mgaya na wenzake ndio yatatoa mwangaza pa kuanzia msikurupuke kuwahusisha watu na Ajali pasipo kuwa na uhakika na lolote.
 
Harafu kuna kitu kinashangaza ila hamjakisitukia.
Inakuwa ile briefcase nayo imepaa ikavingika ikatoka ndani ya gari ikaenda kutua sehemu alipo lala Mtikila.
Kulingana na kanuni za physics hii ni ngumu kutokea kutokana na mass, state of inertia, centre of gravity na acceration ya vitu hivi ni tofauti.

Picha inayoonekana kwenye mtandao inaonyesha briefcase imetupwa pembeni kwa mwili wa maehemu ili ni la kuhoji pia.

Ok katusaidie kujaza Bar katika ile mitungi ya Gesi umeme uwake acha kuleta porojo za kukariri hapa,una principle za physics upo gizani ?
 
Aliyehojiwa alidai kulikuwa na lori lililokatiza ghafla na mbele ikaibuka Land cruiser cha kujiuliza hilo Lori na Landcruiser magari hayo yako wapi? na pia kama ajali ikitokea mara nyingi magari husimama na kutoa msaada wao walienda wapi? na kwa nini lori lichomekee from no where? Je magari dizaini ya cruiser yanatumiwa sana na watu wa kada gani?

Yamatumiwa na brigedia nyekundu
 
We ulimsikia yule majeruhi mchungaji alivosema ? Chanzo ni mwendo kasi WA GARI yao na mtikila hakufunga mkanda .na kumbuka kwenye safari usipofunga mkanda likitokea la kutokea GARI unajua inasafiri pekee yake na wewe Abiria pia unasafiri pekee yako .
 
images
Z
Mimi sikukijua kabla kipande hiki cha MLANDIZI kwenda chalinze lakini nilinusurika kifo baada ya kulimudu gari lisinitowe kwenye barabara, siku chache baadaye niliposikia REGIA MTEMA maisha yake yaliishia eneo lilelile kwakweli sikushangaa.




 
Mbona kama milango ya gari imefungwa Kwenye picha zote mbili? Na kwA nini picha ni hizi mbili? Kama hakuvaa mkanda sindio angejiumiza zaidi mbona ametoka mzima bila ya impact of colission ?na kama walitoka sheli muda mfupi inakuwaje dereva apate uchpvu na kudai ghafla loli limekuja karibu kupishana nalo na la mbele limesimama.?
Kwa nini wale wa kwenye loli bovu wasije kutoa msaada mapema sana mpaka kumepambazuka?

Yaani unataka mtu akipata ajali atokwe na madamu meeengi? Hivi haujui internal organs injury ni mbaya zaidi kuliko external? Subiri postmortem ya daktari kwanza; wewe ulitaka hilo lole lisimame kufanya nini na kosa ni la dereva wa gari ya kina mtikila? Na kama dereva hakusimama unataka kusema nini?
 
Hivi Hizo Kauli Zenu Mnazotaka Watanzania Kuwaamini!! Zingekuwa Zinatolewa Na Upande Wa Upinzani, Nadhani Mahabusu Zingekuwa Zimefurika WATU!! Ila Kwa Vile Ni Zenye Kuoikoa CCM!! Vyombo Vyenu Vyenye MAMLAKA Ya Kusimamia Hilo, TCRA, POLISI NA INTEREJENSIA Ziko LIKIZO!!! Ila MUNGU Ndiye HAKIMU Wa HAKI!!
 
Huyo washamfanyia mamboo,na ndio maana ikaunganishwa na ishu ya Mwilu jioni yakee
 
Hiyo Barabara ni nzuri sana ni rahisi mtu kuchochea sana, afu usiku kuendrsha kazi sana
 
Mchungaji mtikila alishawahi kuwaandika watu wafuatao kwamba n watu hatari sana

1.innocent mchunku kapilipili
2.francis magege
3.james kabarebe
4.athanas kafurama (very dangerous)
5.mchungaji mgaya

Nashangaa na siamin kama leo ameongozana na mtu anaemjua kuwa n hatari mtu aitwaye mchungaji mgaya
Kwa hiari yake

Kuna kitu kinaendelea hapa

Mtikila kamsema sana kwa nguvu zote kagame na lowasa
Na hawa watu wanakonekshen sana
Na n watu hatari

Majasusi wa kagame wakikuhitaji hata kama uko whitehouse marekan wanakumaliza mara moja
Wanauwezo hata wakuingia nchi yoyote na kutekeleza waliloagizwa
Refer mwaikyusa

The same to lowasa
Refer. Ripot ya mwakyembe kwa IGP kuhusu mpango wa lowasa kutaka kumuua

Watz tunaongozwa na imagination nyiingi ambazo husukumwa na mihemko ya kisiasa, wewe unajua hao watu walienda kufanya nini huko walikoenda? And how do people conclude kwamba gharama zote alichangia Mgaya wakati kaka wa marehemu anasema Mtikila hakumwambia chochote juu ya safari, nini mmejuaje hizo taarifa? Au ndio mnajitengenezea mawazo ili yawaunganishie dots zenu za kutaka kumpakazia mtu fulani. Sasa kama mna ushahidi pelekeni polisi ili uchunguzi ufanyike na kama hao mnaowashutumu watakuwa wamehusika washtakiwe sio mnakaa kuleta imagination za huko nyuma na kuzihusisha na matokeo mengine and by the way kwani Mtikila ndio wa kwanza kupata ajali maana watu wamejitoa ufahamu as if walikuwa wanajua mtikila atakufaje. Kama mna ushahidi pelekeni polisi zaid ya hapo tufanye na kazi na sio kubwabwaja
 
Sounds interesting.. Kagame..Lowassa....Jean Bosco in Mtikala's residence.... Patrick Mgaya .. his Phone call explaining the accident with many victims..is buzzing!!

Ahahaaha acha kulazimisha unachotaka kiwe ndio kiwe, eti sounds interesting. Hapo ulipo taarifa unazozitumia ni hizi zilizoenea kwenye mitandao ya jamii amabazo ni chache na unreliable kuweka conclusion. Wakati mwingine give yourself time to gather data and information before you speak out
 
Huyo washamfanyia mamboo,na ndio maana ikaunganishwa na ishu ya Mwilu jioni yakee

Nani kamfanyia mambo? Unaonaje ukapeleka hayo unayoyajua polisi ili haki itendeke kwa marehemu na hasa familia yake? Nadhani hapo utakuwa umefanya jambo la busara sana
 
Mkishapata jibu la kifo cha Mtikila kilikuwaje tunaomba mje na majibu ya kifo cha Sokoine!
 
Back
Top Bottom