Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Sounds interesting.. Kagame..Lowassa....Jean Bosco in Mtikala's residence.... Patrick Mgaya .. his Phone call explaining the accident with many victims..is buzzing!!
 
kichwa chako kimejaa sisimizi hivi kuna shimo ambapo watu wanakusanya ushahidi dhidi ya lowasa? Mkikila yeye ni nani? Slaa, sitta, mwakyembe jeikei wote wana ushahidi ila hawautowi wameushikilia makwapan.

Sasa na marehem alikuwa nao atimae kafa nao uioini ni ujinga? Mwacheni lowasa hana akili mbovu kama zao kifo cha mtikila muulizeni mungu.ajari ni ajari kwani kamanda mtoi yuko wap? Acha ujinga wewe gamba

= ajali
= ajali
 
Mbona itv wameonesha walionusurika kwenye ajali, wamehojiwa wakasema gari lilikua spidi na walikua wagongane na land cruizer uso kwa uso... Dereva kukwepa ndo wakapinduka. Unataka kuiambia nini familia ya mch. Mtikila.?

Unafahamu sokeini alikufaje?
 
By Moringe Sokoine1 :
Mazingira ya kifo cha Mchungaji Mtikila bado
kinatia shaka kuu mbele ya jamii na nachelea
kusema huyu Mzee ameuawa na genge la mafisadi
ili wafanikiwe kisiasa kwani Mtikila alikuwa
ameshakusanya vielelezo vyote vya
kuwashughulikia.

1. Jeshi la Polisi Watanzania tunaomba mtusaidie
kumuhoji kwa kina huyu mtu anaeitwa Mchungaji
Patrick Mgaya. Huyu alikuwa ni mmoja wa
waliopata ajali pamoja na marehemu Mtikila.
Ikumbukwe kuwa Magaya ni mmoja wa mashabiki
muhimu sana wa Mgombea Urais kupitia Ukawa
ndg Edward Lowassa.Taarifa za siri zinasema kuwa
Mchungaji Mgaya na Mchungaji Mtikila walikutana
takribani mwezi mmoja uliopita tu na kwamba kuna
wasiwasi kuwa alipewa kazi maaluum ya
kuhahakisha amamuua Mtikila.

Taarifa kutoka nyumbani kwa marehemu zinasema
kuwa Mchungaji Mtikila akiwa na Mchungaji
Patrick Mgaya walianza safari siku ya Ijumaa jioni
kwenda mkoani Njombe ambapo waliambatana na
madereva wawili ambao Mchungaji Mtikila
hakuwafahamu. Aliewafahamu watu hawa wote ni
Mchungaji Magaya ambae ndie aliekodisha gari
waliokwenda nayo Njombe kupitia kwa Ndg Victor
James Manyii ambaye mbali ya kutoa gari
aliyokodisha pia alitoa madereva wawili ambao
pamoja na Mchungaji Mgaya wao hawakufa
isipokuwa Mchungaji Mtikila pekee.

Ajali hii imeacha maswali mengi kuliko majibu. Kwa
mfano ukiangalia shingo ya marehemu Mtikila
utaona kuna kitu kama kamba ambayo inaweza
kuleta tafsiri kuwa ilitumika kumnyonga marehemu.
Pili, kwanini mwili wa marehemu hauna hata kovu
wala mchirizi wowote wa damu? Je, ni nani
alimpiga picha Marehemu Mtikila? Je, Patrick
Mgaya ni nani? Kabla kuwa mchungaji alikuwa
anafanyakazi gani? Je gari lile lilipinduka lenyewe
au liligongwa? Na kama lilipinduka ni kwanini
liharibike eneo la mbele pekee?Je Ni chombo gani
kilikuwa cha kwanza kumpiga picha na kusambaza
kwenye mitandao?

Patrick Mgaya alipopiga simu nyumbani kwa
marehemu alisema wamepata ajali na kwamba
kulikuwa na majeruhi wengi sana akamaliza kwa
kusema mtuombee kisha akakata simu, je, hao
majeruhi wengi ni akina nani? Vyombo vyetu vya
Ulinzi na Usalama muhojini Mchungaji Patrick
Mgaya maana zipo dalili kuwa kuna mengi
anayoyafahamu kuhusu tukio hili. Pia fuatilieni
uhusiano uliopo kati ya Rais Paul Kagame, Patrick
Mgaya na EADWARD LOWASSA. Pia nashauri Jeshi
la Polisi kumuhoji mtu anaeitwa Dr. Jean Bosco
Ngendahimana ambae anaishi nyumbani kwa
marehemu pale Mikocheni.

Wale wote wenye misimo thabiti juu ya kuchukia
Rushwa na Ufisadi wachukue tahadhari. Nasema
hivyo sababu Humphrey Polepole alivamiwa
nyumbani kwake Mbezi na Dkt. SLAA anapokea
sms za vitisho. Vyombo vya dola viwe macho

Inaelekea una taarifa muhimu sana.Hata kagame wajua anahusika huku?kwa nini usipeleke taarifa hizi polisi ili wapate pa kuanzia kuliko kuleta huku jamii forum?Huoni utaharibu upelelezi?au ni zile inteligensia zenu kuhusu upinzani huku mkishindwa kubaini twiga wakidandia ndege?msituharibie amani yetu kwa uzushi wa kizezeta.
 
Huu mzoga wa MTIKILA ni wakuutupa tu mto Kagera ili uwe chakula cha mamba, huyu kenge hastahili mazishi.

Tuwe na Staha kidogo, siasa zisikufanye ufungie akili kwny Sanduku. Lowassa mwenyewe katuma salamu za Rambirambi, kama kukosewa ulikosewa na Mtikila sio Mwili wake, Kumbuka Mtikila ana mke, Watoto na ndugu jamaa na Marafiki tofauti ya kimtazamo isikufikishe huko Siasa za Mwaka huu ilikupasa ujifunze kuwa Siasa ni Maigizo Adui yako kwny Igizo la leo anaweza kuwa Rafikikwny Igizo la kesho, leo Kingunge anataka mabadiliko lakini Slaa anaona haya ya Chadema sio Mabadiliko, weka akiba ya Maneno
 
Mbona itv wameonesha walionusurika kwenye ajali, wamehojiwa wakasema gari lilikua spidi na walikua wagongane na land cruizer uso kwa uso... Dereva kukwepa ndo wakapinduka. Unataka kuiambia nini familia ya mch. Mtikila.?

Wanatafuta kick lakini kwa hili ni ajali na inaonekana Mtikila alikuwa hana seat belt ndio maana akawa ejected na gari ikaja kumlalia. Ndugu zangu watanzania, hasa mabosi mnaofikiri kuwa kiti cha nyuma huhitaji belt, usisafiri ndani ya gari bila kufunga mkanda. Mkanda unaokoa maisha.
 
By Moringe Sokoine1 :
Mazingira ya kifo cha Mchungaji Mtikila bado
kinatia shaka kuu mbele ya jamii na nachelea
kusema huyu Mzee ameuawa na genge la mafisadi
ili wafanikiwe kisiasa kwani Mtikila alikuwa
ameshakusanya vielelezo vyote vya
kuwashughulikia.

1. Jeshi la Polisi Watanzania tunaomba mtusaidie
kumuhoji kwa kina huyu mtu anaeitwa Mchungaji
Patrick Mgaya. Huyu alikuwa ni mmoja wa
waliopata ajali pamoja na marehemu Mtikila.
Ikumbukwe kuwa Magaya ni mmoja wa mashabiki
muhimu sana wa Mgombea Urais kupitia Ukawa
ndg Edward Lowassa.Taarifa za siri zinasema kuwa
Mchungaji Mgaya na Mchungaji Mtikila walikutana
takribani mwezi mmoja uliopita tu na kwamba kuna
wasiwasi kuwa alipewa kazi maaluum ya
kuhahakisha amamuua Mtikila.

Taarifa kutoka nyumbani kwa marehemu zinasema
kuwa Mchungaji Mtikila akiwa na Mchungaji
Patrick Mgaya walianza safari siku ya Ijumaa jioni
kwenda mkoani Njombe ambapo waliambatana na
madereva wawili ambao Mchungaji Mtikila
hakuwafahamu. Aliewafahamu watu hawa wote ni
Mchungaji Magaya ambae ndie aliekodisha gari
waliokwenda nayo Njombe kupitia kwa Ndg Victor
James Manyii ambaye mbali ya kutoa gari
aliyokodisha pia alitoa madereva wawili ambao
pamoja na Mchungaji Mgaya wao hawakufa
isipokuwa Mchungaji Mtikila pekee.

Ajali hii imeacha maswali mengi kuliko majibu. Kwa
mfano ukiangalia shingo ya marehemu Mtikila
utaona kuna kitu kama kamba ambayo inaweza
kuleta tafsiri kuwa ilitumika kumnyonga marehemu.
Pili, kwanini mwili wa marehemu hauna hata kovu
wala mchirizi wowote wa damu? Je, ni nani
alimpiga picha Marehemu Mtikila? Je, Patrick
Mgaya ni nani? Kabla kuwa mchungaji alikuwa
anafanyakazi gani? Je gari lile lilipinduka lenyewe
au liligongwa? Na kama lilipinduka ni kwanini
liharibike eneo la mbele pekee?Je Ni chombo gani
kilikuwa cha kwanza kumpiga picha na kusambaza
kwenye mitandao?

Patrick Mgaya alipopiga simu nyumbani kwa
marehemu alisema wamepata ajali na kwamba
kulikuwa na majeruhi wengi sana akamaliza kwa
kusema mtuombee kisha akakata simu, je, hao
majeruhi wengi ni akina nani? Vyombo vyetu vya
Ulinzi na Usalama muhojini Mchungaji Patrick
Mgaya maana zipo dalili kuwa kuna mengi
anayoyafahamu kuhusu tukio hili. Pia fuatilieni
uhusiano uliopo kati ya Rais Paul Kagame, Patrick
Mgaya na EADWARD LOWASSA. Pia nashauri Jeshi
la Polisi kumuhoji mtu anaeitwa Dr. Jean Bosco
Ngendahimana ambae anaishi nyumbani kwa
marehemu pale Mikocheni.

Wale wote wenye misimo thabiti juu ya kuchukia
Rushwa na Ufisadi wachukue tahadhari. Nasema
hivyo sababu Humphrey Polepole alivamiwa
nyumbani kwake Mbezi na Dkt. SLAA anapokea
sms za vitisho. Vyombo vya dola viwe macho

Mods Paw Invisible Mbona ujinga huu umeachwa na Kuenea hovyo!
 
Last edited by a moderator:
Kila kifo kina sababu,la msingi tumwombee heri mch mtikila na kubwa zaidi ccm imechoka na inatakiwa kupumzika kuanzia oct 25
 
huyu mchungaji inatiwa mtu adig his past,je amewahi kuwa na uhusiano na na yule askofu wa tanganyika packers?,,,kwanini ilibidi wachukuwe madreva wawili kwa gari dogo kama hilo,tena wote wametafutwa na huyo patrick ,kwanini wamemaza chali marehemu then wakamchukua picha,maana kwa vyovyote ile picha imechukuliwa na hao hao waliokua nae,,,mbona gari imekaa kama imebinuliwa na wala haikuviringika?
 
kichwa chako kimejaa sisimizi hivi kuna shimo ambapo watu wanakusanya ushahidi dhidi ya lowasa? Mkikila yeye ni nani? Slaa, sitta, mwakyembe jeikei wote wana ushahidi ila hawautowi wameushikilia makwapan. Sasa na marehem alikuwa nao atimae kafa nao uioini ni ujinga? Mwacheni lowasa hana akili mbovu kama zao kifo cha mtikila muulizeni mungu.ajari ni ajari kwani kamanda mtoi yuko wap? Acha ujinga wewe gamba

Wewe mwanamke kaa utulie utafute bwana wa kukuoa sio unashbikia upuuzi.
 
Wakati wa umauti wake, Mchungaji Mtikila alikuwa amekamilisha nyaraka zote zinazohitajika ili kumshtaki Mgombea Urais kupitia UKAWA. Hapa kuna jambo limejificha. Mtikila pia alikuwa na bifu na Kagame ambaye amekuwamswahiba mkubwa wa Mbowe na Lowasa.mmmmmmh!

Historia inaonyesha mara nyingi wale wanaotofautiana na chadema wanapokamilisha nyaraka muhimu ili kuziweka hadharani huwa wanapata ajali na kufariki wao tu, refer Chacha Wangwe.
 
Wewe una ushahidi au ndio huo ushirikina naousema? Kama una ushahidi peleka polisi afunguliwe mashtaka au unataka uwe kama Slaa anayesema ana ushahidi halafu haendi mahakamani? Kama mtu ni mwizi na una ushahidi peleka mahakamani ili haki itendeke kama hauna ushahidi we should shut up zaidi ya hapo tutakuwa tunazungumza ushirikina maana huo hauna ushahidi

Ulianza kama unaong'ea point..ila ghafla naona mahaba yamekuzidi
 
Harafu kuna kitu kinashangaza ila hamjakisitukia.
Inakuwa ile briefcase nayo imepaa ikavingika ikatoka ndani ya gari ikaenda kutua sehemu alipo lala Mtikila.
Kulingana na kanuni za physics hii ni ngumu kutokea kutokana na mass, state of inertia, centre of gravity na acceration ya vitu hivi ni tofauti.

Picha inayoonekana kwenye mtandao inaonyesha briefcase imetupwa pembeni kwa mwili wa maehemu ili ni la kuhoji pia.
 
Hivi kila tukio n lazima tuliunganishe na siasa? Mbona watu mnakuwa hivyo aiseee hebu acheni hbr za kuzusha subirini jeshi litoe taarifa kamili
 
Bwana mdogo naona makada wa CCM mmeshaanza chokochoko na propaganda za mauaji kama kawaida yenu...

Mnatengeneza matatizo ninyi wenyewe ili baadaye mje kuaminisha watu kuwa waliofanya ni wale aliokuwa na chuki nao...

Mwaka huu udhalimu wenu na utajulikana tu...

Hakika Mkuu. Ni aibu kwa Mgombea Urais kuwa implicated kwenye matukio ya mauaji
 
samahani wasomaji,

Hapo juu nimekosea hiyo ni topic mpya nimeianzisha na inajitegemea.

Aliyehojiwa alidai kulikuwa na lori lililokatiza ghafla na mbele ikaibuka Land cruiser cha kujiuliza hilo Lori na Landcruiser magari hayo yako wapi? na pia kama ajali ikitokea mara nyingi magari husimama na kutoa msaada wao walienda wapi? na kwa nini lori lichomekee from no where? Je magari dizaini ya cruiser yanatumiwa sana na watu wa kada gani?
 
Back
Top Bottom