Triplets
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 1,146
- 207
Huu mwili wa marehemu haupo jinsi alivyokuwa mara tu baada ya ajali. Inaelekea kuna mtu tena mwenye fani ya uuguzi/ udaktari aliyejaribu kumpa huduma ya kwanza , amelala chali, position ya kufanyiwa CPR, mikono pembeni, mkanda wa suruali umefunguliwa, na amefanyiwa last office ambayo hufanyiwa marehemu mara tu baada ya kufa, ambayo ni hiyo tai iliyotumika kumfunga mdomo.