Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Huu mwili wa marehemu haupo jinsi alivyokuwa mara tu baada ya ajali. Inaelekea kuna mtu tena mwenye fani ya uuguzi/ udaktari aliyejaribu kumpa huduma ya kwanza , amelala chali, position ya kufanyiwa CPR, mikono pembeni, mkanda wa suruali umefunguliwa, na amefanyiwa last office ambayo hufanyiwa marehemu mara tu baada ya kufa, ambayo ni hiyo tai iliyotumika kumfunga mdomo.
 
Patrick Mgaya yupo karibu na Mchungaji toka siku nyingi sana na sio hiyo miezi miwili. Jamani zungumzeni ukweli na sio uzushi. Pia wamekuwa wakifanya shughuli za chama pamoja
 
Mimi nashauri mleta mada hii awe wa kwanza kuhojiwa. Na ikiwezekana aisaidie polisi maana anajua mambo mengi sana kuhusiana na kifo cha mchungaji Mtikila
 
Jamani watanzania tunapenda conspiracy theories mno! Khaaaa!

Mpaka inakuwa kero sasa. Kilichotokea ni ajali kama nyingine. Kiukweli kama Marehemu Mtikila ni kufanyiwa fitna angefanyiwa na Mkapa kwa jinsi alivyomhangaisha baba wa watu akiwa Ikulu. Let the man RIP.
 
mtoa mada kama ungewai kuendesha gari mpaka moro basi utakuwa unajua
gari inapokuwa kwenye mwendo wa kasi ni rahisi kuacha barabara kama dereva akiyumbisha usukan hata kidogo tu na siyo lazima tairi kupasuka
au mwalimu wako wa VETA ndo alikufundisha hivo.?
 
Karma is always a bitch

Not really, there z no such thing as karma (or the rule of thrice according to wiccans)
Walianzisha hiyo kunaintain order in the society...
Live as u want, payback z fairy tale
 
Kama hutaku kuamini kilichotokea au una mashaka nacho kwa nini usiingie katika uchunguzi wa hii ajali kujiridhisha.
 
Maswali kama haya ndio yaliyojitokeza kwenye kifo cha rafiki yangu Mohamed Mtoi, gari yake haikubondeka sana, madereva walikua wawili, na Marehemu hakua na kidonda wala jeraha lolote
 
Ulikuwepo kwenye mazishi mkuu! Ni hisia gani zilikuwepo? Za kisiasa au kiimani?
Maswali kama haya ndio yaliyojitokeza kwenye kifo cha rafiki yangu Mohamed Mtoi, gari yake haikubondeka sana, madereva walikua wawili, na Marehemu hakua na kidonda wala jeraha lolote
 
CHICHI no man, what comes first a research or a speech? Suppose you find that two people are in struggle wth lion and they are finally killed. what kind of research do you want to prove this and say to the masses?
 
Msikilize kwa makini huyu shuhuda,



Nachokiona hapa mchungaji alikuwa haja funga mkanda. Tahadhari unapokuwa kwenye gari amri namba moja funga mkanda.

RIP!
 
Last edited by a moderator:
Nadhani mtoa mada anapaswa kuwa shahidi katika ajali hii. Kuna umuhimu mkubwa wa yeye kuwa shahidi. Nimesoma maswali yake yanajibika but siwezi sema majibu yangu ndio majibu halisi. Tusubiri Tupewe report ya daktari na report ya polisi, wahojiwe mashudua waliokuwa naye kwenye gari then angalau tutapata pa kusimamia. For now tutakuwa tunaongea ili kuupamba upande fulani na kuubana upande fulani. Pili sio sahihi kulihusisha jambo hili na siasa moja kwa moja labda uwe na ushahidi unaoweza kuthibitisha madai yako, na kama hauna ushahidi nakushauri shutup and wait for a postmortem results. RIP pastor Mtikila
 
Mleta mada wewe ni mchokozi. Umeambiwa mchungaji alirushwa nje kupitia kioo cha mbele labda mchungaji hakufunga mkanda! Tumwombee kwa Mungu amuepushie adhabu ya kaburi apumzike kwa Amani
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Alafu utapiga kura...
 
Mleta mada wewe ni mchokozi. Umeambiwa mchungaji alirushwa nje kupitia kioo cha mbele labda mchungaji hakufunga mkanda! Tumwombee kwa Mungu amuepushie adhabu ya kaburi apumzike kwa Amani

Kwamba karushwa kupitia kioo cha mbele alafu akalalaliwa na gari ila hajaumia popote pale? gari likuangukie alafu usiumie sehemu yoyote ile?
 
Hiyo tai wewe..angalia vizuri...huyo kafa kwa mshtuko

Kweli nyinyi wote watoto, inaonyesha mchungaji alitaka kufa kinywa wazi, kwa hiyo wasamalia wamejaribu kuubana kwa kamba.
 
Back
Top Bottom