We acha uongo..nimepita na Machame inayoelekea Kondoa asubuhi wakati askari wanapima hata kabla mwili haujaondolewa.majeraha anayo kichwani na gari kwa mbele hasa upande wa kulia iko nyan'ga so tumia akili kujiuliza hayo maswali na si kutumia unazi wa chama unachoshabikia.
Acha uchapati ndugu..tujiepushe na uzushi wa hisia zitakazoathiri amani ya Taifa.Bw alitoa na ametwaa, Inalilah wa inalilah rajuim.
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na kumpa pumziko la kheri huko aliko.
Acha uchapati ndugu..tujiepushe na uzushi wa hisia zitakazoathiri amani ya Taifa.Bw alitoa na ametwaa, Inalilah wa inalilah rajuim.
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na kumpa pumziko la kheri huko aliko.