Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,324
- 88,749
Imani inaweza kuhamisha milima.
Sio Kweli.
Dunia ina react na actions
Imani inaweza kuhamisha milima.
Ukimfuga chatu kunasiku usipokuwa makini atakumeza ndo kilichotokea kwa polepoleYeye na Magu walipanda na kulea hilo zimwi dubbed as 'wasiojulikana' likakomaa na kuwala wao wenyewe.
Who runs that system?Hata hawa viongozi wa ccm kitawakuta lilichomkuta Pole pole watakapo acha kuwa useful kwa system
Ile ilikuwa ni mission ya kwenda kumuua. Hivi watu hawaamini lile gazeti linalochapishwa Ufaransa lilipoandika kuwa aliuawa? Inasikitisha sana lakini ndiyo ukweli wenyewe.kwa namna walivyomchukua na zile damu sakafuni sidhani kama walikuwa na mpango wa kumwacha hai.
Haya ni maneno ya kujifariji. N kweli unachosema lakini kila binadamu anastahili kuishi mpaka muda wake ufike.Kila nafsi itaonja mauti hata kama uko kwenye ngome mathubuti kiasi gani
Ndiyo maana wako tayari kufanya lolote ili tu waendelee kubaki kwenye utawala. Ila wakati mwingine hata wawe wakali namna gani, inaweza kutokea hali ambayo hawakuitarajia na mambo yakabadilika.Inaumiza sana
Humphrey alikuwa mtu wa watu na kiongozi bora. Hawa wauaji wakitolewa madarakani kuna watu watachunwa ngozi live mchana kweupe
Mkuu Stuxnet Polepole alitubu na akawa upande wa haki. Kabla ya kutekwa alifanya kazi ya kizalendo sana. Najua unaweza kusema mirija yake ya asali na maziwa ilikatwa, hilo sisi halituhusu ila tufocuss na toba aliyoifanya na kuwa upande wa haki. Hivyo tunapaswa kumsamehe na kumchukulia kama shujaa kwa kupigania haki kabla ya kutekwaWanajizima data tu. Hata kama ingekuwa ni mimi nimepewa kazi kumlinda ningemmaliza mimi mwenyewe mbwa yule. Amfuate Magufuli wakapige story zao, maana walijiona miungu watu
The unavoidable painful truth. Undeniable and inevitable.Ukimfuga chatu kunasiku atakumeza ndo kilichotokea kwa polepole
hata polepole kurudi na kuyasemea yale aliyokuwa anayasema ndani ya nchi ni damu za watu zilimuita aje Tanzania kwa ajili ya kisasiThe unavoidable painful truth.
What goes around comes around, karma has unique way of keeping perfect time.hata polepole kurudi na kuyasemea yale aliyokuwa anayasema ndani ya nchi ni damu za watu zilimuita aje Tanzania kwa ajili ya kisasi
Kwa sababu kwa akili ya kawaida huwezi ongea mambo mazito vile ndani ya nchi ambayo hata waliochora tu picha ya kukashfu viongozi wanaadhibiwa
Polepole hakuwahi kuomba msamaha alitaka kuhamisha magoli kwamba utekaji wa kipindi cha magufuli na ukandamizaji wa demokrasia ilikuwa ni kazi ya mtandaoPolepole na wenzake ndio waasisi wa haya mambo ya kipuuzi,, ukiangalia tunaambiwa tumsamehe kwa sababu alikiri na kuomba radhi,, najaribu kujiuliza hv wake waliopatwa na madhila kipindi hicho kama akina Tundu Lissu na ndugu zao sijui nao huko kusamehe kunakaaje!
Kabisa kaka...Ukimfuga chatu kunasiku usipokuwa makini atakumeza ndo kilichotokea kwa polepole
Polepole alionekana tishio kwa mfumo alioutumikia.Ile ilikuwa ni mission ya kwenda kumuua. Hivi watu hawaamini lile gazeti linalochapishwa Ufaransa lilipoandika kuwa aliuawa? Inasikitisha sana lakini ndiyo ukweli wenyewe.
Kuna wanaosema jamaa alirogwa ndio maana akarudi wengine hudai aliuzwa/alisalitiwa ndio akatekwa wengine husema Kuna walioahidi kumlinda na kumuunga mkono akiwa nchini ndio maana alirudi.hata polepole kurudi na kuyasemea yale aliyokuwa anayasema ndani ya nchi ni damu za watu zilimuita aje Tanzania kwa ajili ya kisasi
Kwa sababu kwa akili ya kawaida huwezi ongea mambo mazito vile ndani ya nchi ambayo hata waliochora tu picha ya kukashfu viongozi wanaadhibiwa
Bado kuna Ng'ombe wengine wanajidanganya kuwa wapo salama wakiwa ndani ya CCM.Polepole alionekana tishio kwa mfumo alioutumikia.
Cha ajabu chama chake alichokitumikia kama Mwenezi, bunge aliloshiriki kama Mbunge na hata wizara ya mambo ya nje alioitumikia kama Balozi wote wapo kimya.
Hata wazee aliokuwa akiwataja kama 'wazee' wake waliomlea kiitikadi nao kimyaaaaaaa....
Kweli tupo kwenye 'State Capture '..