Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

Maswali kuhusu hatma ya Humphrey Polepole

HUyu mzanzibari katuharibia nchi yetu kabisa.Kiongozi mzuri kama polepole ambaye sa100 anaingia mara 10000 kumfikia kiuwezo lakini kaamua kumuua!.Ipo siku atatueleza kampeleka wapi kiongozi wetu mzalendo polepole.Sabasaba siyo mbali maanda nchi tutaikomboa na kuondoa uchafu wote sa huyu mzanzibar
Sabasaba mtapigwa na kitu kizito aiseeh
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA MKUU, LAKINI NITAKUJIBU KWA KIFUPI ANAEVUNJA UTULIVU/AMANI NI....

1. Anayeteka watanzania Wenzetu akina Soka, Polepole, Mdude, Chaula nk.

2. Anayepiga watu Risasi Akina TUNDU LISSU, SATIVA AKWILINA MAWAZO NK

3. Anayezuia haki ya Kikatiba ya Mikitano ya Vyama vya siasa.
(Kushiriki mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani.

4. Anayezuia Maandamano ambayo ni haki ya kikatiba ya Tanzania.

5. Anayezuia na Kupora Haki ya watanganyika ya kuchagua kiongozi wanaye mtaka.

6.Anayeficha Kila aina ya mikataba, Bandari, Ardhi, Dhahabu, Gesi nk.

7. Anayekandamiza uhuru wa vyombo vya Habari

CCM WAMETUONA WATANGANYIKA NI MALOFA SANA


AMKENI WATANGANYIKA
Kuna wakati unawaza mpaka unaumia, maumivi yasiyo na kipimo, unashindwa kuelewa kuna watu wenye roho za kinyama, za kishetani,
 
Tunauliza mambo ya msingi wewe unasema Nonsense, hivi wewe MZANZIBARI una akili hata moja, naona bwana wako Abdul anaendelea kukudanganya. Ongea basi vitu vyenye akili.
yanaweza kua ya msingi kwa malofa na wafuata mkumbo useless,

but generally,
the motion and it's contents are purely nonsense narratives 🐒
 
Back
Top Bottom