Master Jay: Diamond hamfikii Alikiba kwenye uimbaji

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Producer wa muziki wa Bongofleva Master Jay, amesema kuwa Diamond hawezi kumfikia Alikiba kwenye uimbaji wa muziki.

Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema,

“Alikiba ni muimbaji bora na Diamond ni mburudishaji bora. Watu wabishe vile wanataka ila mimi ndio nimeongea kwenye Mic kabisa. Kuna kuimba na ku-entertain na kwenye muziki lazima ujue kuimba na ku-entertain”.

Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
 
Producer wa muziki wa Bongofleva Master Jay, amesema kuwa Diamond hawezi kumfikia Alikiba kwenye uimbaji wa muziki.

Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema,

“Alikiba ni muimbaji bora na Diamond ni mburudishaji bora. Watu wabishe vile wanataka ila mimi ndio nimeongea kwenye Mic kabisa. Kuna kuimba na ku-entertain na kwenye muziki lazima ujue kuimba na ku-entertain”.

Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
Burudani anayofanya diamond ni ipi ?

Master Jay aseme tu kwa kifupi kuwa yeye ni Team Kiba.
 
Producer wa muziki wa Bongofleva Master Jay, amesema kuwa Diamond hawezi kumfikia Alikiba kwenye uimbaji wa muziki.

Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema,

“Alikiba ni muimbaji bora na Diamond ni mburudishaji bora. Watu wabishe vile wanataka ila mimi ndio nimeongea kwenye Mic kabisa. Kuna kuimba na ku-entertain na kwenye muziki lazima ujue kuimba na ku-entertain”.

Nini maoni yako?

Written By Mjanja M1
Naam
Utofauti ndo ladha yenyewe
 
Aache uongo, Diamond ana hits nyingi kuliko Alikiba. Ni kwamba haters wa Diamond mnatafuta tu namna ya kumfanya Alikiba kuwa relevant na maneno haya hayajaanza leo.

Nje ya Tanzania hawamjui Diamond kwa drama zake bali kwa muziki wake, Alikiba anaejua kuimba kumzidi Diamond mbona anazidiwa kukubalika hadi nje ya mipaka yetu?

nyimbo alizoshirikishwa Diamond Tanzania na nje ya Tanzania zimefanya vizuri mara elfu ya nyimbo alizoshirikishwa Alikiba. Mafanikio haya pia yanatokana na drama zake?

Diamond kuwa na kipaji cha kuburudisha haimfanyi kuwa na ubora mdogo kwenye utunzi, melodies na uimbaji hadi kufikia level ya kumlinganisha na Alikiba.

Master Jay amemkosea sana heshima Diamond kumlinganisha na Alikiba. Amuombe radhi Diamond kabla hajafa.
 
Diamond ni anakubalika sana nje ya mipaka kuliko msanii yoyote nyimbo zake anauza sana kuliko msanii yoyote, ameshinda tuzo nyingi kuliko msanii yoyote alafu uje kuniambia ni mburudishaji watu wanakuelewaje? Master Jay kwenye hili kamvunjia heshima Diamond
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom