Producer mkali kuwahi kutokea na Jaji wa mashindano ya kuimba Tanzania Master Jay, amesema kuwa wasanii wa Tanzania ni waburudishaji na sio waimbaji wazuri kama wasanii wa nchini Kenya.
Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema,
“Kitu ninachojivunia ni kwamba waburudishaji bora wa Africa Mashariki wanatoka Tanzania, Wakenya wamebaki na kitu kimoja wanajua Kiingereza na wanatuzidi kuimba kuliko sisi, wana waimbaji bora sana”.
Je unakubaliana na kauli ya Master Jay?
Written By Mjanja1 M1 ✍️
Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema,
“Kitu ninachojivunia ni kwamba waburudishaji bora wa Africa Mashariki wanatoka Tanzania, Wakenya wamebaki na kitu kimoja wanajua Kiingereza na wanatuzidi kuimba kuliko sisi, wana waimbaji bora sana”.
Je unakubaliana na kauli ya Master Jay?
Written By Mjanja1 M1 ✍️