Habari njema kwa Team Nandy na habari mbaya kwa team Diamond Platinumz.
Msanii Nandy ameendelea kushika namba moja kwenye Trend za Youtube licha ya staa Diamond platnumz kutoa video ya wimbo wake wa Mapozi aliowashirikisha Jay Melody na Mr Blue.
Wimbo wa "Dah" ambao Nandy amemshirikisha Alikiba bado unaendelea kushika namba moja kwa siku kadhaa huku wimbo wa Diamond Platnumz "Mapozi" ukibaki namba mbili.
Ikumbukwe kuwa msanii na chawa maarufu nchini Baba Levo, alimwambia Nandy kuwa akishika namba moja na kumpita Diamond amuite Mbwa.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Msanii Nandy ameendelea kushika namba moja kwenye Trend za Youtube licha ya staa Diamond platnumz kutoa video ya wimbo wake wa Mapozi aliowashirikisha Jay Melody na Mr Blue.
Wimbo wa "Dah" ambao Nandy amemshirikisha Alikiba bado unaendelea kushika namba moja kwa siku kadhaa huku wimbo wa Diamond Platnumz "Mapozi" ukibaki namba mbili.
Ikumbukwe kuwa msanii na chawa maarufu nchini Baba Levo, alimwambia Nandy kuwa akishika namba moja na kumpita Diamond amuite Mbwa.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️