Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Kazi ipo... Ni kutoka gazeti la Majira la leo Oktoba 9, 2007
Ni writing errorVipi tena, je ni $300,000 au $200,000? Which is which? Huu sasa sijui ni uzembe au ujinga au vyote kwa pamoja?
Ni writing error
Hakuna cha writting error wala nini,hii ni aibu tupu maana ianaonyesha jinsi wasaidizi wa muungwana walivyo 'hovyo' kuliko wasaidizi wa rais yeyote aliyetangulia.Mpaka kupiga picha ya makabidhiano ni mambo ambayo yalishaandaliwa sas inakuwaje???...Ni writing error
Ni writing error
Kuna habari kwamba hata wasaidizi wa JK wameshituka baada ya JF kuiweka humu na kuanza kuijadili.... KUMBE WANASOMA JF 24X7....
Bravo JF
Hii ndio hali halisi ya mambo ndani ya Bongo land. Ati nini?