Mwakasege,
Shukran sana na kwa wale waliokuwa wakitetea habari hizi kuwa hayakuwa makosa mtaficha wapi sura zenu?. Wadanganyika waliweza tunga kilichotokea kama vile wao walikuwepo maadam tu kukosha jina ama majina ya wahusika. Hivi kweli tutakuja jifunza kuwa na subira kutafuta ukweli wa swala.
Shukran sana na kwa wale waliokuwa wakitetea habari hizi kuwa hayakuwa makosa mtaficha wapi sura zenu?. Wadanganyika waliweza tunga kilichotokea kama vile wao walikuwepo maadam tu kukosha jina ama majina ya wahusika. Hivi kweli tutakuja jifunza kuwa na subira kutafuta ukweli wa swala.