omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Nakuunga mkono. au pia jamaa wasidizi wamepanic kwa jinsi mambo yalivyo kweupe hivi sasa kiasi hata kazi hawawezi thena kufanya.
Au ukiwa rais kila kitu unafanyiwa tu, hata kuona pia huwezi, hata mikataba wanasaini hivihivi wakiamini imeshaandaliwa na kumbe nao mianya ya makosa inapotokea. What a shame!
Nadhani kama ni makosa ni makosa ya wasaidizi wake ambao walipaswa kuhakiki hii dummy check na hata kama hawakugundua mwanzoni basi walipaswa kuligundua hilo wakati wa kukabidhiwa RAIS wetu na kwa kawaida walipaswa kuhakikisha wanacontrol reporting yake. Wanaweza kucontrol Ufisadi wa kina LOWASA tu lakini wanamwacha RAIS wetu aanikwe kiasi hiki?
Kama walishindwa kugundua hili hata wakati wa makabidhianao hivi kweli tuwaamini vipi kwa usalama wa RAIS wetu. Someone pale Magogoni anapaswa kuwajibishwa. Labdawakati wa kufika "mshikaji JAIRO" ambaye ameonyesha kuzidiwa na mzigo wa kazi yake kuonyeshwa kamlango cha kuondokea.
Someone has to pay for this. Siamini watu kama Jairo wana uzito kama wafadhili wa ndani kina Karamagi na RAIS PACHA Lowassa.
Tanzanianjema