Yupo guest room kwa commander simonMpaka sasa Manji yuko ndani..lkn aijulikani sehemu gani
sir simonn sirroohivi nani anadanganya watu kuwa eti Manji yuko selo hadi sasa??
hahahaaaa! na mnamumini kabisa?sir simonn sirroo
Ulikotoka weweYupo guest room kwa commander simon
bado tanzania Ina safari ndefu kuakikisha inapunguza idadi kubwa ya ujingaWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Jo'burgUlikotoka wewe
Afu Mimi nimepaliwa nilikuwa nakulaWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Nimependa kaneno 'harufu'Ni kweli tunahitaji matajiri lakini wawe ni wale wasiokuwa na hata harufu tu ya kujihusisha na biashara hii haramu!
Unasemaje mikwara wakati ndo maisha yake..?? Acha wivu na mawazo ya kipumbavu..!!!hii ndio bongo, mikwala ya press, gari Kali "range rover,", 9 lawyers. lakini wapi wamekung'ang'ania hii ndo bongo da!
Matajili=MATAJIRI....usituaribie lugha kwa ushabikiBinafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Mwambie akufundishe kwanza kuandika ndo umpongeze vizur.Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya huyu Mzee na Matunda yake titayaona Badae Asante Rais wangu.
Wewe mwenyewe na ukoo wenu mnashindia ugali na wali, Maskini wakubwa mnakula wanga mwaka mzima eti matajiri wengine, Madhara ya kula wali na ugali mwaka mzima ndio unakuwa na mawazo hayoWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.
Manji washamuomba samahani na kumtaka asimfugulie jamaa mashtaka ndio maana yupo kimya.Mwenye majibu Ya hili swali ni kamanda Siro Simoni
In return atataka apewe ufukwe wa Koko Beach.Manji washamuomba samahani na kumtaka asimfugulie jamaa mashtaka ndio maana yupo kimya.
Maelezo mengine hayana hata kichwaKenya wanamtaka ahamishie na uwekezaji wake kule...ingekuwa Mimi chapu ngetua Nairobi chyaa.
Wenzetu wameanza kusajili matajiri waliopo bongo wanaochoshwa nasystem. Mara bahresa,dewji,mengi nk.wengine wanadai watarudi after 9 years...nchi ya viwanda
Hivi Iddi ni mkristo mbona yupo nje?Kuna dhulma tu... yeye ni mhindi ni rahisi kuchafuliwa na isiwe kitu. ..hasa kwa sasa muhimili huu unavo wanyanyapaa waislam na wapinzani...
manji ni sadaka au kafara ya uchumi mbovu na kukosa ajira...ila unga utauzwa na matajiri wapya watazaliwa
Kama wapi mliowaikuzalisha nchi hiiWaende tu, tuzalisha matajiri wengine.