warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
ki ukwel kwa hizo vurugu za huyo mke anaonekana dhahir kua anataka na mumewe kuupata ili wawe sawa kwahyo hata kwa kutumia condom anaeza pia kumnga'ata au vyvyte ili apate contact ya damu
ishaur wangu aendlee kukaa seblen na aende kwa wazaz wa pande zote mbili au kama mke ana ndugu mkubwa tofaut na wazaz amuelezze hiyo case jins ilivyo.
kingne asimuache mkewe kwa faida ya mtoto alie tumbon kwa maana anaweza akazaliwa bila maamumbikizo na pia ili mama asije akamdhuru mtoto
ila kwa situation yake hil swala ni gumu sana atumie busara zaid kuliko hasira.
Yes, ila anahitaji nguvu za mungu, ukifikiria kibinadamu ngumu sana, nimejaribu kuvaa viatu vyake dah!! Only God can save his life