ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,462
Pamoja nakumia kichwa lakn lazma upime uzito wa jambo..
Kama bint huyo anajali uhai wa mwenzake kwann anamlazmisha amwingie kavukavu? Huon kuwa kuna kitu hapo?
Kitendo cha kuzamisha mashine yako kwa mtu mwathrika wakat unajua kabisa ni sawa na kujielekezea bunduk kifuan wakat risas iko chemba
Na kuzamisha mashine yako kwa mtu ambaye huna uhakika wa asilimia mia kuwa hajaathirika? Kitu ambacho huyo kijana amekwisha kukifanya sana?
Tunacheza na probalities mkuu....the devil is in the details.