ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,462
mmh si rahisi kijana kustick
Ana uhakika gani kwamba akitoka hapo ndio atasalimika milele??
Anaweza kuruka mkojo na kukanyaga mavi pia....there are so many possible scenarios za yeye kuambukizwa virusi as long as he lives....ila atleast akiamua kutulia naye na kufuata masharti anaweza kuepuka maambukizi kwa kiasi kikubwa while maintaining his manly honour....
Hivi akiamua kumuacha...akaukwaa pengine, atarudi kuomba msamaha au? Au akikuta kote alikopima ni false negatives virusi havikuwa active bado?
Ingekuwa ni mimi: ntachunguza kama mwanamke alijua hali yake kabla ya ndoa na alifanya makusudi kunificha ili nimuamini, au kama alikiwa anachepuka baada ya ndoa. Kama ni hivyo huyo hastahili kuwa nami.
Kama she is innocent...hakuwahi kuchepuka na hakuwa anaijua hali yake...maana yake she also took the risk being with me na aliniamini....if and only if that is true, I will keep her till death do us part.