Masikini kaka huyu

Masikini kaka huyu

mmh si rahisi kijana kustick

Ana uhakika gani kwamba akitoka hapo ndio atasalimika milele??

Anaweza kuruka mkojo na kukanyaga mavi pia....there are so many possible scenarios za yeye kuambukizwa virusi as long as he lives....ila atleast akiamua kutulia naye na kufuata masharti anaweza kuepuka maambukizi kwa kiasi kikubwa while maintaining his manly honour....

Hivi akiamua kumuacha...akaukwaa pengine, atarudi kuomba msamaha au? Au akikuta kote alikopima ni false negatives virusi havikuwa active bado?

Ingekuwa ni mimi: ntachunguza kama mwanamke alijua hali yake kabla ya ndoa na alifanya makusudi kunificha ili nimuamini, au kama alikiwa anachepuka baada ya ndoa. Kama ni hivyo huyo hastahili kuwa nami.

Kama she is innocent...hakuwahi kuchepuka na hakuwa anaijua hali yake...maana yake she also took the risk being with me na aliniamini....if and only if that is true, I will keep her till death do us part.
 
Mkuu hapo jamaa amweke kitimoto huyo mchumba wake amuulize kavitoa wapi virus? Hicho ndo kiwe chanzo cha kuachana.... Akijifanya ana huruma atakwisha.

Hapana mkuu...anaweza kuishi nae vizuri tu....Ndoa kama ni ya kikristo hapa ndiyo inapata definition yake sasa...Shida na Raha.

Virusi anaweza kuanavyo hata kabla hawajaoana...

Na unaweza kufanya mapenzi na mwathirika na usiambukizwe.....

Kwa wale wanaume wa 3 minutes ni ngumu kuambukizwa hasa mwanamke akiwa amelowa vya kutosha

Ila wale wa kusugua 40 minutes lazima upate

Maumbile ya Mwanamke ni rahisi zaidi kupata maambukizi kuliko ya Mwanaume
 
mwanume jamnyanyapaa ila kijana hana hisia ya tendo landoa dada anataka afanye tu na hataki kutumia ARV na hataki kutumia condom kwa iman kuwa ataponywa na Mungu ... mwanaume kachanganyikiwa haelewi

Hapo ni Counselling tu...Aende Angaza na mke wake...Mke atajitambua...atajikubali na hali yake
 
nimeisoma vizuri hii nyuzi
ila mpaka sasa naamini Mungu akiwa upande wako hakuna wa kupangua hilo

ila sasa je atamuachaje huyo mpenzi??
kama anampenda sasa itakuaje???

Kumpenda kama mkewe haiwezekani labda vinginevyo. na kufanya mapenzi na mtu ambaye unajua kabisa ni mwathirika ni ngumu pia kwa kuwa saikolojia pia inahusika ktk kufanya mpenzi. Hiyo itakuwa sawa na kuonja sumu
 
Ana uhakika gani kwamba akitoka hapo ndio atasalimika milele??

Anaweza kuruka mkojo na kukanyaga mavi pia....there are so many possible scenarios za yeye kuambukizwa virusi as long as he lives....ila atleast akiamua kutulia naye na kufuata masharti anaweza kuepuka maambukizi kwa kiasi kikubwa while maintaining his manly honour....

Hivi akiamua kumuacha...akaukwaa pengine, atarudi kuomba msamaha au? Au akikuta kote alikopima ni false negatives virusi havikuwa active bado?

Ingekuwa ni mimi: ntachunguza kama mwanamke alijua hali yake kabla ya ndoa na alifanya makusudi kunificha ili nimuamini, au kama alikiwa anachepuka baada ya ndoa. Kama ni hivyo huyo hastahili kuwa nami.

Kama she is innocent...hakuwahi kuchepuka na hakuwa anaijua hali yake...maana yake she also took the risk being with me na aliniamini....if and only if that is true, I will keep her till death do us part.

Ushaur wako ni sawa na mtu aliyepeleka chemba risas na hajafunga usalama halafu anachezea trigger huku mtutu ameuelekeza kifuan....
 
Ana uhakika gani kwamba akitoka hapo ndio atasalimika milele??

Anaweza kuruka mkojo na kukanyaga mavi pia....there are so many possible scenarios za yeye kuambukizwa virusi as long as he lives....ila atleast akiamua kutulia naye na kufuata masharti anaweza kuepuka maambukizi kwa kiasi kikubwa while maintaining his manly honour....

Hivi akiamua kumuacha...akaukwaa pengine, atarudi kuomba msamaha au? Au akikuta kote alikopima ni false negatives virusi havikuwa active bado?

Ingekuwa ni mimi: ntachunguza kama mwanamke alijua hali yake kabla ya ndoa na alifanya makusudi kunificha ili nimuamini, au kama alikiwa anachepuka baada ya ndoa. Kama ni hivyo huyo hastahili kuwa nami.

Kama she is innocent...hakuwahi kuchepuka na hakuwa anaijua hali yake...maana yake she also took the risk being with me na aliniamini....if and only if that is true, I will keep her till death do us part.
mkuu sijui ila nilimuuliza akanijibu kuwa hawakupima so hajui na mke hataki kufunguka kuhusu hillo swala
 
Hapo ni Counselling tu...Aende Angaza na mke wake...Mke atajitambua...atajikubali na hali yake
wameenda angaza mke akirudi home anaaply maswala ya dini kwenye uhalisia
 
Hata yesu alivyomwambia shetan kuwa usimjaribu bwana mungu wako alijua kuwa japo mungu yupo naye lakn hawez kujitosa kwenye hatar pasipo sababu na akasalimika
 
Mmh huyo mkewe hatari tena mbwa mwitu alievaa ngozi ya kondoo yaani pamoja na yote hayo anataka kumwangamiza mwenzake aisee kuna watu wa ajabu

Huyo jamaa anahitaji ushauri na huyo mkewe vilevile
 
Ushaur wako ni sawa na mtu aliyepeleka chemba risas na hajafunga usalama halafu anachezea trigger huku mtutu ameuelekeza kifuan....

Sijamshauri afanye hivyo...nimesema tu ingelikuwa ni mimi ningelifanya hivyo. Yeye hawezi kufanya kama mimi kwasababu kibinadamu tunatofautiana.....tofauti yetu ya kwanza ni kuwa yeye anaendeshwa na hisia ilhali mimi natumia kichwa na rational decisions.

Lakini mkuu, kwanini umeufananisha ushauri wangu na scenario hiyo?
 
HUyo kijana aende na mdada kwenye washauri nasaha, kuna shule nzuri sana ya discordant couple, ikiwa dada ataendelea kulazimisha jamaa inabidi abwage mzigo, kwasababu huyo dada anaweza hata kumuua au kumuambukiza jamaa kwa mbinu yoyote ile na zipo za kutosha
 
Ndoa za kikristo unajua tena wif hataki kusikia wala kuelewa

Ndoa kwa mtu mwenye ngwengwe?... aaa wapi hata dudu nikilivalisha mfuko wa rambo na kapeti juu haliwezi kusimama achilia mbali kuingia ktk tundu lenye umeme!
 
Kumpenda kama mkewe haiwezekani labda vinginevyo. na kufanya mapenzi na mtu ambaye unajua kabisa ni mwathirika ni ngumu pia kwa kuwa saikolojia pia inahusika ktk kufanya mpenzi. Hiyo itakuwa sawa na kuonja sumu

mkuu kila mtu avae viatu vya huyo kaka

UNAWEZA KULALA NA MTU UNAEJUA KABISA AMEATHIRIKA???
BINAFSI SIWEZI
 
Back
Top Bottom