Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,907
Haimaanishi kuwa atakua amemkataa au kumkimbia mtoto atapo sepa. Lkn atakua amejiepushia balaa hilo la mke wake kutaka kulala nae kilazima. Inaelekea analengo lake tu jamaa apate ili waishi wote kama waathirika mana anahisi jamaa atasepa tu no way out.
Hata Mimi nahisi hivi