Masikini kaka huyu

Masikini kaka huyu

Tatizo ninaloliona hapa ni unyanyapaa...Mume kamnytanyapaa mkewe...Na hilo ndilo litamuathiri zaidi

Baba ampende mke wake...alale nae kitandani...atumie Condom kwa uangalifu mkubwa.....kama anampenda atamtimizia....kabla ya kumuingilia ahakikishe amekuwa tayari haswa....

Wapo watu wengi wanaishi na wenza wenye Maambukizi ...Lakini hawawatupi wenza wao....

Dada anatakiwa kufanyiwa Counselling ya kufa mtu....amechanganyikiwa sana...anatakiwa ajikubali
Yani unaingia kabisa unajua hapa ni positive.aisee haisimami kabisaaa.
 
Raha ya supu ukishakula nyama lazima umalizie na mchuzi
Na hapo ndipo wengi wanafeli
 
Mkuu miss chagga hebu nifafanulie kwanza haya maswali yangu. Tatizo hili zito la wanandoa wamekuambia wakiwa wote wawili au unapata maelezo ya upande mmoja,yaani kwa huyo kaka rafiki?? Je! Majibu ya kaka yako umeyathibitisha au anakueleza mwenyewe!? Ukinijibu ntarudi kutoa ushauri.

Majibu ya kaka kanionyesha tena kutoka hospital tofaut na yeye pia aamini kama hana
 
Last edited by a moderator:
He! ati kutumia kinga ni dhambi?? mbona walikuwa wanatumia kabla hawajaoana?? Ilikuwa si dhambi walipokuwa wanazuia nazo mimba ila sasa kuzuia VVU ishakuwa dhambi? Haki ya nani kuna mitihani mingine unaweza kufikiri uko ndotoni! Huyo mke hata kumshambulia naogopa maana sipati picha ndo ingekuwa mimi. Huku una VVU, huku una mshtuko, una huzuni, mtu unayemtegemea akufariji anakukimbia... kwa ufupi bidada yuko kwenye "denial" ndo maana hata anadai mngonoko kama kawa tena bila kinga. Na mantiki yake ni kuwa kama wameshangonoka mwaka mzima bila condom leo maambukizi yatatoka wapi? Kijana nae ana mshtuko. Mi ningemshauri asilale sebuleni. Alale kitanda kimoja na mkewe, tena amkumbatie kabisa maana tatizo la mke ni kubwa kuliko la mume. Huyu dada pamoja na VVU pia ni mjamzito. Hatakiwi kuachwa kulia lia hovyo na kukosa matumaini. Kama wanamjua Mungu basi wanajua hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea. Kaka aache kuhukumu maana hakuna ajuaye mke amepataje VVU. Kokote alikopata, sasa wapo wote ndani, ni mkewe, ndo mama mtoto hivyo. Watulie sana, mi naamini watapata suluhisho pengine hata la kuendelea kuishi pamoja na kungonoka na kuendelea kuzaa. Wakipata suluhisho la kutengana basi nalo liwe la heri limuache kila mmoja akiwa na mzigo mwepesi. Mwambie akae kimya kwa sasa, watafakari wenyewe maana hawawezi kuendelea kuchachawa kama maharage yanayochemka. Ifike mahali watulie waongee na habari ya "Uliutoa wapi" isiwepo labda mwanamke mwenyewe aamue kufunguka kama anajua. Namaanisha maongezi yasiwe ya lawama bali ya kutafuta suluhisho. Huyo Mungu wao wakimrudia na kutubu ni mwaminifu, atawapa nguvu ya kuvumilia na atawapa hekima ya kulimaliza hili jambo. Amen.

Unajua mkuu kinachomuumiza kaka ni pale mwanamke analilia ngono..dawa hataki kunywa...kula hataki..tena mjamzito .kaka anaumia ..
 
Majibu ya kaka kanionyesha tena kutoka hospital tofaut na yeye pia aamini kama hana
Bado hujaniambia km ulishakaa nao wote wawili mke/mume wakakueleza. Ushauri nnaotaka kuutoa hapa ndo suruhisho la tatizo lao,hii ndo kazi yangu mimi,km unaongea na mtu mmoja tu ushauri pia utaishia upande mmoja,ntakuwa km nilikuwa naandika 8 kwenye maji!
 
Bado hujaniambia km ulishakaa nao wote wawili mke/mume wakakueleza. Ushauri nnaotaka kuutoa hapa ndo suruhisho la tatizo lao,hii ndo kazi yangu mimi,km unaongea na mtu mmoja tu ushauri pia utaishia upande mmoja,ntakuwa km nilikuwa naandika 8 kwenye maji!

Unajua mrembo hayupo tayar kwanza ajulikane anao kaka kunishirikisha ni baada ya kutaka kubakwa himo ndani ...kanishirikisha kama rafiki wa karibu tu kama kutoa kitu moyon hata wazaz bado hawana taarifa mpaka sasa
 
Akome kuzini kabla ya kupima VVU. Na hili liwe fundisho kwa ambao hawajaingia katika ndoa. Wasichepuke kupima kama wanataka kuepuka virusi vya ukimwi.
 
Aaaa Miss chagga tafadhali kama huyo mwanamke kawa mkali kiasi hicho na gubu basi huyo anajijua tabia zake tangu mwanzo na usikute yeye ndio alishauri wasipime kabla ya ndoa, nilichokiona hapo ni mama amekusudia kumuambikiza mumewe, kwa hali hiyo hata asikubali kulala nae, no sex kabisa hapo, hata kama wakipewa namna ya kukutana kimwili bado haitasaidia, huyo mama analenga amwambukize wafe wote. Amlinde mtoto tu asijepata virusi, aishi nae bt sex no.

Na kipindi hiki atulie tu asifanye jeuri yoyote ya usaliti, hadi hapo baadae atajua nini kifanyike, walau ipite hata miezi kadhaa ili amwangalie kwanza huyo mkewe maana hamtakii mema.
 
Unajua mrembo hayupo tayar kwanza ajulikane anao kaka kunishirikisha ni baada ya kutaka kubakwa himo ndani ...kanishirikisha kama rafiki wa karibu tu kama kutoa kitu moyon hata wazaz bado hawana taarifa mpaka sasa
Me hapo nakuachia ww,wanaume wanambinu nyingi sana za kutongoza,huenda amekueleza yote hayo ili umuonee huruma pengine baada ya kujaribu mbinu za kawaida zikafail. Au umemuonjesha akanogewa,anatafuta njia ya kumuacha mkewe aambatane na miss chagga km issue ingekuwa ya kifamilia yaani ungekuwa pia na maelezo ya wifi yako,ningetoa ushauri ili ukawaambie!
 
Last edited by a moderator:
Aaaa Miss chagga tafadhali kama huyo mwanamke kawa mkali kiasi hicho na gubu basi huyo anajijua tabia zake tangu mwanzo na usikute yeye ndio alishauri wasipime kabla ya ndoa, nilichokiona hapo ni mama amekusudia kumuambikiza mumewe, kwa hali hiyo hata asikubali kulala nae, no sex kabisa hapo, hata kama wakipewa namna ya kukutana kimwili bado haitasaidia, huyo mama analenga amwambukize wafe wote. Amlinde mtoto tu asijepata virusi, aishi nae bt sex no.

Na kipindi hiki atulie tu asifanye jeuri yoyote ya usaliti, hadi hapo baadae atajua nini kifanyike, walau ipite hata miezi kadhaa ili amwangalie kwanza huyo mkewe maana hamtakii mema.
asante mkuu kwa ushauri loh .. kawa mkali kuliko
 
Back
Top Bottom