Masikini kaka huyu

Masikini kaka huyu

Pole sana ndugu,najua khali uliyonayo ni ngumu sana kkwa mtu ambaye hayajamkuta kuelewa uhalisia wa mambo,mimi yalikuta kama hayo ila ,mbaya zaid wa kwangu nilimuonya mara kadhaa na hakuniskia nilichoamua mimi ni kila mmoja achukue tu ustaarabu wake,maanake mwanamke ndani ya nyyumba anakuwa kama mbogo akiyejeruhiwa nikasali nikasema basi.
 
Ila jamaa inaweza kuwa ndio kamwambukiza watu wengine wanabeba virusi tu mayai hayapasuki kutokana na damu zao hivyo asimuhukumu
 
yeye anasema anataka haki yake ya ndoa swala la VVU anasema ataponywa na Mungu hata dawa hanywi .. ujue hapa hata mtoto tumboni anamtesa kile kiumbe na kinaweza kufa hanywi dawa kula hataki vizuri ngono ndiyo anataka
hahahaahahaha huyo wifi yako kiboko isee...mwambie kaka ako asepe haraka akapange kwingine amuache hapo maana kila kitu hataki sasa mtamfanyaje!! au waiteni wazazi wake waje wamchukue wapele huko asituchefue hapa ukimwi wake kero awape wengine lol!!!
 
hahahaahahaha huyo wifi yako kiboko isee...mwambie kaka ako asepe haraka akapange kwingine amuache hapo maana kila kitu hataki sasa mtamfanyaje!! au waiteni wazazi wake waje wamchukue wapele huko asituchefue hapa ukimwi wake kero awape wengine lol!!!
Ha ha ha sawa mkuu
 
mbaya zaidi kuna wakati hata kumeza dawa hataki anaamini mungu atamponya .. Ushauri please
Hilo ni jaribu na yampasa ashinde. Yampasa kaka yako atende sawasawa na vile ambavyo angelipenda yeye atendewe kama yeye ndio angekuwa mwathirika mwenzake angekuwa salama. Akijifanya mjanja ajue atalipwa mshahara wa jeuri yake. Kuna mmoja alimwacha mkewe kisa kazaa mtoto mlemavu, alisema kwa jeuri kuwa "sisi kwetu hatuna matatizo kama hayo". Baada ya muda alipata ajari mbaya akakatwa miguu! Ni ajabu sana jinsi jaribu lilivomrudia, sijui hata kama aliendeleza kauli yake ya sisi kwetu hakuna......
 
Ushauri swala hili ni zito kidogo wameshapima kila mmoja anajitambua walipofunga ndoa wazaz wapande zote mbili walikubaliana bs na hili lirudi mikonon mwa wazaz maana sio sir tena lifanyiwe ufumbuz nihatar sana anapomlazimisha kufanya tendo la ndoa akat anajua afya yake akitaka anaweza kumwambukiza kwa njia yoyote achukue hatua mapema
 
Huyo mwanamke anataka wafe wote au ni nn sasa hicho atleast watumie kinga ili angalau mmoja apone!!ingawa ngumu kumeza
Wee ukijua kama upande wa pili pameungua hata uvae kondom saba haisimami.
 
  • Thanks
Reactions: irk
daaah!!!!! Ukisikia jaribu ndo hilo sasa......huo mtego hata yesu ninaemwambudu hawajahi kutana nao kabisaaaaa....ni zaidi ya jaribu la kawaida ...inahitaji imani zaidi kuwa na wazo tofauti na taraka
 
kweli kachanganyikiwa tumejitahidi saana kumshauri na ww ujitahidi na siku zote tulijua yeye ndio kauleta maana mwanamke ni mtulivu haswaaa
 
Back
Top Bottom