Mashimba Ndaki, Waziri wa kwanza wa mifugo tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki

ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.

👇👇







😂😂😂
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961 nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea kama Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mashimba Ndaki.

Mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri 50% zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuziwekea Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic.

Tofauti na Mawaziri wengine wengi huyu Mashimba Ndaki ni Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna au kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu kwa Mungu wake,

Huenda ni kutokana na Upole wake na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine,

Hao walioshindwa hizo wizara nyingine watawezaje hii?
Kwa unyenyekevu Sana, Naomba wasaidizi wa Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,

Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake,

Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,

Pili, Angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyotuliza na kumaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,

imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Waziri Mashimba yuko vizuri, Sio mpiga dili kama yule nanilii....
 

Mashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,​


Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.

Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,

Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,

Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,

Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?

Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,

Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,

Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,

Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,

imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
"Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "😍😍😍
 
ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.

👇👇







Wahuni sio watu,
 
ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.

👇👇







HUU NI MCHEZO WA KALEMANI,
 
ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.

👇👇







saidoo25 wewe ni mpumbafu na kamwe hamtaupata huo uwaziri
 

Mashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,​


Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.

Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,

Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,

Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,

Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?

Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,

Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,

Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,

Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,

imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Hili la hereni naunga mkono hoja kwa 100%
 

Mashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,​


Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.

Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,

Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,

Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,

Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?

Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,

Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,

Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,

Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,

imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Hata miimi kimekuwa kikiniudhi Sana hiki kitendo cha kumsakama huyu Waziri, tena ni ni wana CCM kabisa hao, shame on you
 
ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.

👇👇







it is called "Roho Mbaya "
 
ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.

👇👇







Hii ni mbaya Sana ukizingatia sisi ni chama kimoja
 

Mashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,​


Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.

Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,

Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,

Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,

Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?

Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,

Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,

Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,

Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,

imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Tuchape kazi tuache maneno maneno
 
Back
Top Bottom