Songaleli
JF-Expert Member
- Aug 6, 2022
- 344
- 321
Wengine wote walikwama tangu 2010,
Huyu Mzee ni jembe Sana Wallah
Wengine wote walikwama tangu 2010,
😂😂😂ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.
👇👇
Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu. Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...www.jamiiforums.com
DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea...www.jamiiforums.com
Tetesi: - Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi. Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba yuko vizuri, Sio mpiga dili kama yule nanilii....Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961 nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea kama Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mashimba Ndaki.
Mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri 50% zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuziwekea Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic.
Tofauti na Mawaziri wengine wengi huyu Mashimba Ndaki ni Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna au kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu kwa Mungu wake,
Huenda ni kutokana na Upole wake na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine,
Hao walioshindwa hizo wizara nyingine watawezaje hii?
Kwa unyenyekevu Sana, Naomba wasaidizi wa Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,
Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake,
Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,
Pili, Angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyotuliza na kumaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,
imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Mzee ni jembe SanaWengine wote walikwama tangu 2010,
Huyu Mzee ni jembe Sana Wallah
"Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "😍😍😍Mashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.
Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,
Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,
Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,
Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?
Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,
Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,
Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,
Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,
imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Wahuni sio watu,ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.
👇👇
Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu. Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...www.jamiiforums.com
DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea...www.jamiiforums.com
Tetesi: - Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi. Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya...www.jamiiforums.com
Huyu Waziri hapendi Makamera ila ni mchapakazi Sana aiseWengine wote walikwama tangu 2010,
Huyu Mzee ni jembe Sana Wallah
HUU NI MCHEZO WA KALEMANI,ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.
👇👇
Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu. Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...www.jamiiforums.com
DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea...www.jamiiforums.com
Tetesi: - Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi. Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya...www.jamiiforums.com
But sio jambo jema kabisaHUU NI MCHEZO WA KALEMANI,
saidoo25 wewe ni mpumbafu na kamwe hamtaupata huo uwaziriONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.
👇👇
Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu. Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...www.jamiiforums.com
DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea...www.jamiiforums.com
Tetesi: - Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi. Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya...www.jamiiforums.com
Hili la hereni naunga mkono hoja kwa 100%Mashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.
Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,
Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,
Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,
Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?
Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,
Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,
Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,
Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,
imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
Hata miimi kimekuwa kikiniudhi Sana hiki kitendo cha kumsakama huyu Waziri, tena ni ni wana CCM kabisa hao, shame on youMashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.
Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,
Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,
Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,
Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?
Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,
Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,
Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,
Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,
imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba
sure 👍Mashimba ni mtu Royal ni kweli
it is called "Roho Mbaya "ONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.
👇👇
Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu. Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...www.jamiiforums.com
DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea...www.jamiiforums.com
Tetesi: - Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi. Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya...www.jamiiforums.com
Hii ni mbaya Sana ukizingatia sisi ni chama kimojaONA HAYA MAJUNGU,HIZI NYUZI ZOTE NI ZA MTU MMOJA ANAYETAKA NAFASI YA UWAZIRI KWA UFITINI NA UONGO.
👇👇
Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki
Rais Samia Suluhu Hassan amenukuliwa na magazeti mengi ya leo akitoa onyo la mwisho kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kutokana na usimamizi mbovu wa Wizara yake na kudaiwa huku fedha nyingi zikidaiwa kupotelea kwenye mifuko ya watu. Naungana na Rais Samia, Mashimba ameonyesha...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...www.jamiiforums.com
Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...www.jamiiforums.com
DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea...www.jamiiforums.com
Tetesi: - Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi. Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya...www.jamiiforums.com
Tuchape kazi tuache maneno manenoMashimba Ndaki Waziri wa kwanza wa mifugo Tanzania tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki apongezwe na kutiwa moyo zaidi,
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Tangu Tanzania ipate Uhuru wake Dec 1961, Nchi hii haijawahi wala kujaribu kutambua mifugo yake kama ilivyo kwa Mataifa yaliyoendelea ya Uholanzi, Marekani, Norway etc ila Sasa Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wake Mashimba Ndaki.
Kwamsiofahamu mpaka naandika waraka huu kuna zaidi ya halmashauri asiliamia 50 zinaendelea na Utambuzi wa mifugo yao kwa kuzivisha Ngo'mbe,Mbuzi,kondoo na Punda hereni za kielectronic hii ni heshima kubwa kwa Rais na Taifa kwa Ujumla wake,
Tofauti na Mawaziri wengine wengi waliotangulia Mashimba Ndaki ni Mtu Mnyenyekevu na Mpole Sana tena sio mtu wa kujivuna wala kujiona bora kutokana na Cheo wala kujikweza kwa Chochote zaidi ya Unyenyekevu alionao kwa Mungu wake,
Huenda ni kutokana na Upole wake huu na kutopenda Mambo ya Media Sana Waziri huyu amekuwa akifanyiwa hujuma nyingi hasa humu mitandaoni kama nilivyoonesha hapo chini ili kuoneshwa kwa Rais kuwa Waziri huyu hafai ila Dkt Kalemani au Mwingine kama hayo mabandiko yanavyotanabaisha,
Tujiulize tu, Hivi hao walioshindwa hizo wizara nyingine wataiwezaje hii?
Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba wasaidizi wa Mhe Rais wetu kipenzi mmwambie kuwa Waziri Mashimba Ndaki ndio Waziri wa kwanza wa mifugo hapa Tanzania tangu tupate Uhuru anayetambua mifugo kielectronic ili iweze kukidhi Sharti la kuuzwa nje hasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kufungua biashara ya mifugo na nchi za Falme za kiarabu,
Kama kuna mtu anatamani Waziri Mashimba aondolewe hiyo Wizara, asahau, Sisi Wafugaji na wavuvi tunamuhitaji Sana kuliko pengine yeye anavyouhitaji huo uwaziri wake na ndio sababu ya kupaza sauti kukanusha nia hizi ovu za wasaka madaraka hawa,
Tunahitaji maendeleo sio maneno maneno,tunahitaji watu waadilifu na waaminivu kama huyu,
Pili, Tukiacha chuki, Hebu angalia Waziri Mashimba Ndaki alivyoituliza na kuimaliza kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji kama hujui hili nenda Mkoa wa Morogoro utaelewa ninachosema hapa,
imeandikwa "Nanyi mtanyamaza kimya kwakuwa mtetezi wenu yu-hai "
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Mbariki Waziri Mashimba