Maria Sarungi Tsehai: Treni ya SGR inahujumiwa. Yaharibika usiku huu Ruvu Station, abiria wanatembea zaidi ya 6KM kupata usafiri mbadala..!!

Maria Sarungi Tsehai: Treni ya SGR inahujumiwa. Yaharibika usiku huu Ruvu Station, abiria wanatembea zaidi ya 6KM kupata usafiri mbadala..!!

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
3,611
Reaction score
9,269
SGR inahujumiwa waje wapewe wakezaji - na safari hii watapewa Warusi si wachina wallahi!
LEO JIONI Treni hii limeharibika RUVU PORINI huko. Abiria wameambiwa Washuke Waanze kutembea na kwamba kuna Treni inakuja kuwachukua. Wataanza na abiria wa VIP—abiria wametembea zaidi ya KILOMITA 6 hakuna Treni.
ABIRIA WAMETEMBEA na wanaendelea kitembea MPAKA USIKU HUU kutafuta usafiri mbadala.
Kama mlikuwa hamjui, hii ndiyo maana ya ule unafiki na uzimbuluku wa Kauli hii👇

♦️♦️SAMIA SISI HATUKUDAI♦️♦️
Acha watembee kwa miguu mpaka akili ziwarudi wajue kudai haki zao

******************************************
Screenshot_20251229-013038.png
 
SGR inahujumiwa waje wapewe wakezaji - na safari hii watapewa Warusi si wachina wallahi!
LEO JIONI Treni hii limeharibika RUVU PORINI huko. Abiria wameambiwa Washuke Waanze kutembea na kwamba kuna Treni inakuja kuwachukua. Wataanza na abiria wa VIP—abiria wametembea zaidi ya KILOMITA 6 hakuna Treni.
ABIRIA WAMETEMBEA na wanaendelea kitembea MPAKA USIKU HUU kutafuta usafiri mbadala.
Kama mlikuwa hamjui, hii ndiyo maana ya ule unafiki na uzimbuluku wa Kauli hii👇

♦️♦️SAMIA SISI HATUKUDAI♦️♦️
Acha watembee kwa miguu mpaka akili ziwarudi wajue kudai haki zao

******************************************
View attachment 3521984
Yes, acha waendelee kutembea. Wakichoka waje tuingie road!
 
As much as you want to blame. Kuna changamoto zingine ni beyond management control.

Muhimu ni kujua tatizo lilipo na wao kujifunza alijirudi kama ni la kuepekukika.

Hata kwa wazungu railway zinachangamoto ya disruption kutokana na hali ya hewa kwenye miundombinu.

Sio kila changamoto ni uzembe.
 
As much as you want to blame. Kuna changamoto zingine ni beyond management control.

Muhimu ni kujua tatizo lilipo na wao kujifunza alijirudi kama ni la kuepekukika.

Hata kwa wazungu railway zinachangamoto ya disruption kutokana na hali ya hewa kwenye miundombinu.

Sio kila changamoto ni uzembe.
So you want to make a fucking justification! keep it up.
 
Inamuhusu nini huyo malaya wa kishua
Amekosa content leo za mandamano?
 
As much as you want to blame. Kuna changamoto zingine ni beyond management control.

Muhimu ni kujua tatizo lilipo na wao kujifunza alijirudi kama ni la kuepekukika.

Hata kwa wazungu railway zinachangamoto ya disruption kutokana na hali ya hewa kwenye miundombinu.

Sio kila changamoto ni uzembe.
Post Project Risk
Na hata ukiangalia, hii SGR, hawaikamilishi kwa kutumia Project Management in its full
Wanatumia Agile, ili kukamilisha vipengele kutokea hapa mpaka pale
Kwa hiyo hakuna hata Lessons Logs au Project Assurance, kwa hiyo kila mtu anafanya kazi kivyake, ili treni ikifia upande huu au ule, basi wajue wa kumlaumu.
 
So you want to make a fucking justification! keep it up.
I don’t appreciate your language.

Be realistic, weather is an uncontrolled aspect of any planning.

As yet we don’t know what happened, was forethought not there was a mitigation strategy.

Some things we learn as TRC learns, it happens even in developing nations,

You can’t plan on an accident
 
As much as you want to blame. Kuna changamoto zingine ni beyond management control.

Muhimu ni kujua tatizo lilipo na wao kujifunza alijirudi kama ni la kuepekukika.

Hata kwa wazungu railway zinachangamoto ya disruption kutokana na hali ya hewa kwenye miundombinu.

Sio kila changamoto ni uzembe.
Tofauti yako na Mavi ni harufu tu.
 
Post Project Risk
Na hata ukiangalia, hii SGR, hawaikamilishi kwa kutumia Project Management in its full
Wanatumia Agile, ili kukamilisha vipengele kutokea hapa mpaka pale
Kwa hiyo hakuna hata Lessons Logs au Project Assurance, kwa hiyo kila mtu anafanya kazi kivyake, ili treni ikifia upande huu au ule, basi wajue wa kumlaumu.
Shida ni weather, you can’t control that.

Uzembe au la, ni swala la uchunguzi kama serikali ipo serious kusamamia reli.

Vinginevyo railway lines zinakutana na changamoto ambazo ni beyond management control ambazo zina disrupt time table.

Kabla ya kulaumu muhimu ni kuelewa shida, mitigation plans zilizopo; baada ya hapo ndio lawama au la.
 
Msifikiri kuwa matatizo yanayoipata nchi hii kuwa hayashabiiani, ukweli ni kwamba Samia'S leadership is the source of all these problems!! Take it from me, from the day she is removed from office , every perceived problem will be solved!!
 
Wamatumbi na uendeshaji vitu kama hivi ni mtihani hata baada ya miaka 64 ya uhuru wa Tanganyika.

Huku kuna rundo la maelfu ya wahitimu wa uhandisi, ufundi mitambo, uendeshaji biashara n.k

Hii ni aibu kubwa kwa taifa chini ya utawala mkongwe wa chama dola.
 
Tofauti yako na Mavi ni harufu tu.
Id yako inaniambia let me give you another chance.

Vinginevyo kwa lugha uliyotumia, kwasasa ungekuwa kwenye ignore list kwa uvumilivu wangu,

I know ujali na mimi pia sijali. That being said, lugha yako mbovu kwangu next time you will be ignored.
 
Imegharimu mabilioni ya walipa kodi chini ya mwamvuli wa mikopo naafuu.

Hapo viongo-ozi wameshakula mabilioni ya contingency plan.
The politics of betrayal, self-enrichment, corruption and deceit
 
As much as you want to blame. Kuna changamoto zingine ni beyond management control.

Muhimu ni kujua tatizo lilipo na wao kujifunza alijirudi kama ni la kuepekukika.

Hata kwa wazungu railway zinachangamoto ya disruption kutokana na hali ya hewa kwenye miundombinu.

Sio kila changamoto ni uzembe.
Huu ni uzembe. Tatizo kama hili linaweza kuwa anticipated. Kutokuwa na contingency plan ni uzembe!
 
Huu ni uzembe. Tatizo kama hili linaweza kuwa anticipated. Kutokuwa na contingency plan ni uzembe!
There isn’t a system which isn’t caught off guard when it comes weather elements.

There is always an element of poor mitigation strategy or uncontrollable elements.

Delays happen even in experienced managed railway lines due to weather. Not to defend incompetence but let TRC state their case.

Otherwise what happened is not unique
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom