Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T-CAMS, unaendeshwa na Capital Pay, unahusishwa na kashfa kubwa ya familia ya rais. Kampuni hii inamilikiwa na Garang Malek kutoka South Sudan, ambaye anahusishwa na ufisadi.
Mkataba wa kutumia T-CAMS umesainiwa na TAFFA na TASAC bila ushirikiano wa wadau...
Kwako Dr Emmanuel Nchimbi;
Nimechukua muda kutafakari uliyoyasema nchimbie lakini sasa acha nikujibu:
Leo umeonyesha uungwana kwa maneno maana umesema kuwa uanaharakati si uhasama - na ulinitaja kabisa pamoja na kwamba ninajua kuwa jina langu akilisikia kimama chenu hukasirika ile mbaya - so...
TULIWAONYA sana na kuwasihi sana wazazi kuwa watoto wenu hawa kaeni nao chini na muwaonye na kuwafunza kuwa waache kuichezea serikali na dola lakini mliona tunawapigia kelele
TULIWASIHI sana kama kweli Maria na kundi lake wana uchubguna wanachowachochewa mfanye mboba hawakuwepo kwenye hayo...
Kwani Hela wanapeleka wapi? Au wanacheza kindenge🤣
Watu tunaposema Hela za chadema zinagongwa na wakulungwa wa Chama muwe mnaelewa.
imagine mtu aliyepata kiinua mgongo cha ubunge Leo hii ndo anasaidiwa na Maria Sarungi kukamilisha boma lake hii ni aibu. NA HATUJAWAHI SIKIA AMEGOMEA POSHO...
What Samia Suluhu, Jakaya Kikwete and their offsprings need to understand is that we are already living in Post CCM Tanzania! Whatever you think you know about manipulating internal politics of CCM will not work with the society because we are past that! So all your scheming and idiotic plans to...
Anaandika Mwanaharakati Maria Sarungi kupitia ukurasa wa X:
Ni kwa matumaini makubwa ya ukombozi wa Tanganyika kwamba vijana wetu wa mstari wa mbele GenZ wameandamana na kuandamanisha vyombo vyote vya ulinzi kwa wiki mbili mfululizo.
👉🏽Tumeshuhudia likizo zote za polisi zikifutwa na wakiamriwa...
Hamjambo!
Haya kwao ni mafanikio Makubwa sana.
Fikiria leo mimi natangaza tarehe fulani watu watoke kuandamana. Kutakuwa na maandamano makubwa. Alafu mimi sina cheo chochote.
Sina pesa.
Sio kiongozi popote.
Sina majeshi.
Lakini kauli yangu tuu. Serikali na vyombo vya Dola vinaipa uzito kauli...
Kuna watu wanatumia siasa za Afrika ili familia zao zile, ziishi na Kuna wengine wanatumia siasa ili kupata followers kwenye mitandao ya kijamii lakini kichwani ni sifuri hawana strategic zozote za kisiasa za wanataka wafanye nini zaidi zaidi ni kufanya vurugu ili wapigwe na Mimi nasema WAPIGWE...
👉Maria sarungi alizaliwa nchi ya Hungary Tarehe 16 December, mama yake (Veronica Marton ) kwa kuwa alikuwa raia Hungary pia kwa mujibu wa Sheria za nchi ya hiyo alipendekeza mwanae "Maria Sarungi" pia awe raia wa Hungary,
👉Maria Sarungi alipewa "uraia wa ukoo" ( Citizenship by Descent )...
Kutoka akaunti yake ya X.
DCI KINGAI AMEJIANDAA KUMKAMATA HECHE KWA UHAINI🙄
Uongozi haramu wa Samia Suluhu kupitia DCI imepangs kufungua kesi ya uhaini dhidi ya John Heche na wamepanga kumkamata kesho!
Lengo ni kusambaratisha chama cha CHADEMA na wanataka akae ndani muda mrefu ili warudishe...
Maria Sarungi ameandika jinsi ubongo wa Samia unavyotafsiri maneno.
Hii ndio kamusi ya Samia
In Samia Suluhu's authoritarian dictionary
Criticism of her = wananitukana
Protests/ Maandamano = kufanya fujo
To kill, abduct and torture = kuchapa mikwaju
Freedom of expression = nywinywinywi...
Hoja Dhaifu za ‘Wheel Cover’: Kutoka kwa Maria Sarungi
Kwanza kabisa, hoja ya kuunganisha “wheel cover” kutoka kwa Maria Sarungi ni dhaifu sana kimantiki. Hii ni correlation fallacy kuona vitu vinafanana halafu unahitimisha vina uhusiano bila ushahidi wa moja kwa moja. Tanzania kuna maelfu ya...
Tume ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake tarehe 23 mwezi huu (Alhamisi) kwa Rais Samia Suluhu.
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Othman Chande, wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 21, 2026 katika ofisi za Tume jijini Dar es...
Mwanaharakati Maria Sarungi Tsehai amewalipua Watanzania kwa kile alichokiita ni kushindwa kumtetea Tundu Lissu, kiongozi ambaye amejitoa mhanga kwa miongo kadhaa kusema ukweli bila woga. Maria Sarungi amesisitiza kuwa Tundu Lissu ana rekodi ya kipekee ya utendaji isiyoyumba, na ndiyo sababu...
Website ya epstein files hi hapa na unaweza kusechi chochote kilichomo kwenye mafaili
https://www.justice.gov/epstein
Nimesechi Tanzania na nimekutana na matokeo mengi sana, najiuliza hao waiokuwa wanatajwa ni kina nani
Walifanya kama utani kwa Maria Sarungi kumtengenezea hadi picha za AI...
Wakuu
Nimekutana na hii taarifa huko X ikiambatana na huu ujumbe:
Kumbe maria alikua akiwauza dada zetu huko ughaibuni Ushahidi mzito umeibuka ukionyesha uhusika wa Maria Sarungi katika mafaili yanayohusishwa na kesi ya Jeffrey Epstein. Taarifa zinadai barua pepe kwa Epstein zilihusisha Miss...
Binafsi naipinga serikali batili ya CCM na Kila jambo lake .Lakini nafikiri kama kuna kitu Hawa wanaojiita wanaharakati wanakosea sana basi ni utoaji wa taarifa hovyohovyo, Tena za upotoshaji .Hii inapunguza kuaminika kwenu mbele yetu sisi wananchi .
Tena wew Maria sarungi na Hilda Newton...
Na Mchambuzi Chura wa Siasa za Kimataifa
Januari 7, 2026, itakumbukwa kama siku ya kihistoria katika diplomasia ya ulimwengu baada ya Rais Donald Trump kutangaza rasmi kuiondoa Marekani katika mashirika ya kimataifa 66. Hatua hii, inayokuja chini ya sera ya "America First", si pigo kwa...
SGR inahujumiwa waje wapewe wakezaji - na safari hii watapewa Warusi si wachina wallahi!
LEO JIONI Treni hii limeharibika RUVU PORINI huko. Abiria wameambiwa Washuke Waanze kutembea na kwamba kuna Treni inakuja kuwachukua. Wataanza na abiria wa VIP—abiria wametembea zaidi ya KILOMITA 6 hakuna...
1. Maria nimekusikia vizuri kabisa juzi tarehe 11 unashauri watu wakinukishe popote pale wakipata nafasi , iwe kwenye daladala iwe mtaani halafu washuke chap wakimbie, sasa ni hivi mdada , kwa nini wewe usije utuonyeshe mfano? WEWE UMEFIWA NA BABA YAKO PROF SARUNGI UMESHINDWA KULETA MAKALIO YAKO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.