Yes mkuu F-22 ,kwa kutumia air to air missile, one shot huu uchafu wa kichina umeshushwa, lengo ilikua kuushusha baharini ili kupunguza madhara kwa raia, but guy's tupambanie ya kwetu, ebu fikiria kungekua na highway nzuri kutoka Maputo hadi Mtwara, biashara ingekua level gani?,hili ni tatizo kwa sababu ya kale kakundi kadogo ka ISIS, kanasumbua nchi kibao including our ownOne missile only!
Walikuwa wanasubiri lifike usawa wa bahari lakini pia walikuwa wanalitafiti
View attachment 2506852View attachment 2506853
No nyama.Sasa unalinganishaje samaki na kuku? Kuna uhusiano gani?
Wanaweza zidiana shibe ila mwingine akawa na virutubisho vikubwa na vingi ambavyo hatukuvitilia maanani.Sasa unalinganishaje samaki na kuku? Kuna uhusiano gani?
Sasa mbona kuna mtu kahamamaki kwamba haiwezekani kutumika kombora.neno la kijinga HIMARS HAZIKUWEPO.Washalilipua! Wamelidungua kwa kutumia ndege aina ya F 22 kwa kombira la air to air lenye gharama ya dola 470,000/=
Limepigwa likiwa juu ya bahari!
Mh huko kwingine sipo.Tumjengee sanamu alaf tuipake rangi za upinde wa mvua 😁
Hilo ni tego ndoige ,"wanawaza tukitungua likiwa na sumu! au ni nyukilia?,au ni satelite?" Yan wametegwa vibaya hawa jamaaLicha ya kujinadi kwamba Marekani ndiyo nchi inayoongoza kwa silaha za kila namba, Marekani wameonyesha week was Yao dhidi ya balloon la wachina ambalo linaendelea kuvinjari na kukatiza maeneo mbalimbali yakuwemo maeneo nyeti kama kambi za jeshi.
Licha ya kutuma makombora mazito kutungua balloon hizo jitihada zinaonekana kubonga mwamba.
Balloon Hilo linasemekama kutembea umbali wa futi 120,000 kutoka usawa wa bahari.
View attachment 2506365
View attachment 2506381
Shot down over Antarctic, concern yao juu ya usalama wa raia imekosa uzito lilipofika anga ya bahari
mbona limeshapasululuiwa mbali??!!?Licha ya kujinadi kwamba Marekani ndiyo nchi inayoongoza kwa silaha za kila namba, Marekani wameonyesha week was Yao dhidi ya balloon la wachina ambalo linaendelea kuvinjari na kukatiza maeneo mbalimbali yakuwemo maeneo nyeti kama kambi za jeshi.
Licha ya kutuma makombora mazito kutungua balloon hizo jitihada zinaonekana kubonga mwamba.
Balloon Hilo linasemekama kutembea umbali wa futi 120,000 kutoka usawa wa bahari.
View attachment 2506365
View attachment 2506381
limeshatunguliwaHilo ni tego ndoige ,"wanawaza tukitungua likiwa na sumu! au ni nyukilia?,au ni satelite?" Yan wametegwa vibaya hawa jamaa
Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Hujui kitu zaidi ya kukariri maduduToo shallow minded , poor and fackin Creature Baba bora angejichukulia Sheria mkononi kuliko kukuzaa .soma upate maharifa na sio kuropoka tuu kama umevaa dera la kuazima. Dunia sasa ina a lot of Technologies na isitoshe ujui elimu yangu na nnajua nini na nnauwezo gani katika Tansinia ya ICT ! Sio wote tunashinda kwenye vijiwe vya kahawa
HIMARS Imewashindwa wahuni wa Wegner pale Bakhmut italiweza puto la wa-China ahahaahSasa mbona kuna mtu kahamamaki kwamba haiwezekani kutumika kombora.neno la kijinga HIMARS HAZIKUWEPO.
Noma, vimacho wamejibu uchi uchi kabisa.HIMARS Imewashindwa wahuni wa Wegner pale Bakhmut italiweza puto la wa-China ahahaah
Bado hoja hii ni dhaifu kwasababu, kwann wasifanye jitihada kuzuia lisiingie, waangaike namna ya kulitoa?Zile panel zina ukubwa wa school bus 3 hawawezi risk kuumiza watu. Na pia hawajui nini kimo ndani.
Hapo wanasubiri litoke nje ya maeneo yenye watu walishushe