NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,915
Cha kushukuru wamejibiwa kwamba mmeingia taiwan sasa sisi tumekuja kwenu.Dunia miaka hii ina raha sana.Mchina mweusi acha uongo Marekani hawajataka kulitungua kwakua litaumiza watu na mali na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani alikua aende China lakini baada ya kuona baloon hilo amehairisha na wamewasiliana na China wamesema hilo halipo kwenye uchunguzi wa kichina