Marekani yashindwa kutungua balloon la China

Marekani yashindwa kutungua balloon la China

Wanawake wetu wana Makalio makubwa ya kutingisha kwa namna ya ajabu mno...kiasi cha kutingisha kalio moja huku lingine likisubiri zamu yake


Ujue humo pia yumo na Bimkubwa wako !!šŸ˜, unapokuwa unaandika jambo yakupasa utafakari kwa mapana yake.
 
Baloon la china kupita juu ya anga la America tena juu ya eneo nyeti ni ishara ya America kuwa dhaifu (Vulnerable) kiusalama, hii maana yake ni kwamba; China anataka kumuonyesha America kwamba yeye china anao uwezo wa kufika na kuchukua picha na hata akitaka kuishambulia America hadi kwenye maeneo nyeti ya kijeshi.--- hilo Ballon ni somo kwa America.
 
IMG_2984.jpg
 
Licha ya kujinadi kwamba Marekani ndiyo nchi inayoongoza kwa silaha za kila namba, Marekani wameonyesha week was Yao dhidi ya balloon la wachina ambalo linaendelea kuvinjari na kukatiza maeneo mbalimbali yakuwemo maeneo nyeti kama kambi za jeshi.

Licha ya kutuma makombora mazito kutungua balloon hizo jitihada zinaonekana kubonga mwamba.

Balloon Hilo linasemekama kutembea umbali wa futi 120,000 kutoka usawa wa bahari.

View attachment 2506365
View attachment 2506381
Tunaambiwa:

Rais Biden amekataa mpango wa jeshi kutungua puto hilo akihofia usalama wa watu.

Imetoka
 
Baloon la china kupita juu ya anga la America tena juu ya eneo nyeti ni ishara ya America kuwa dhaifu (Vulnerable) kiusalama, hii maana yake ni kwamba; China anataka kumuonyesha America kwamba yeye china anao uwezo wa kufika na kuchukua picha na hata akitaka kuishambulia America hadi kwenye maeneo nyeti ya kijeshi.--- hilo Ballon ni somo kwa America.
Wewe ndo umeongea ila wamarekani wa tandale watakukatalia.
 
Haya sasa. Wametungua puto lenu. Watu wanatungua ndege inayoenda supersonic speed, sembuse puto lenye spidi ya kobe? Unapokuja na hoja, angalau angalia uwezekano wa unachosema kuwa kweli..

mbona mwanzo ulikataa
baada ya kufaulu ndipo wameposti habari, nkt
 
Hakuna attempt waliyoifanya ya kulitungua, wanachotaka ni jinsi ya kulikamata zimazima.
Hao kwenye video yako si wanajadili tu kama mnakua mnadiliana pale kibonde maji??
Kwa siku mbili bado hawajajua jinsi ya kulikamata Zima Zima..hiyo ni weekends kubwa..walipaswa kulikamata Zima Zima wakati tu linajngia kwenye anga lao
 
Kwa siku mbili bado hawajajua jinsi ya kulikamata Zima Zima..hiyo ni weekends kubwa..walipaswa kulikamata Zima Zima wakati tu linajngia kwenye anga lao
Kama mpaka hata tofauti kati ya weakness na weekend haujui ndiyo unataka uwafundishe Marekani jinsi ya ku handle mambo yao?
 
Issue ni huyu Mokaze kuleta sredi hii ya kishabiki
US hilo puto kahangaika nalo acheni masihara. Amerusha mpaka figher jet. Video nyengine zikionyesha wamefeli kulitungua makombora yanapishana na puto. Baadaye video nyengine zikionyesha zimefanikiwa.

Kwa US yes, tunaweza kusema imeonyesha udhaifu mkubwa. South Korea baada ya drones za North Korea kuingia nchini mwake na kuhangaika nazo kwa takribani masaa 7 jeshi lao liliomba radhi kwa raia licha ya wao pia kutumia fighter jet na kutoa stori nyingi kuwa zitaleta madhara makazi ya raia endapo wakililipua lakini mwishowe waliomba radhi kwa raia jeshi la nchi limeonyesha udhaifu wa kulinda anga yao.

Hiki ndicho kilichotokea kwa US: Wameonyesha udhaifu, kwa takribani siku 2 wanahangaika na puto na kutoa excuses kibao na puto lenyewe limekatiza mpaka sehemu za kambi za jeshi. US imeonyesha udhaifu mkubwa! Ila US ni trickster! Maneno mengi ili afiche udhaifu wake.
 

Attachments

  • Screenshot_20230205_075434_Twitter.jpg
    Screenshot_20230205_075434_Twitter.jpg
    87.5 KB · Views: 10
  • tweeload_83c09dfb.mp4
    1.3 MB
  • tweeload_2a90bd05.mp4
    463.8 KB
Licha ya kujinadi kwamba Marekani ndiyo nchi inayoongoza kwa silaha za kila namba, Marekani wameonyesha week was Yao dhidi ya balloon la wachina ambalo linaendelea kuvinjari na kukatiza maeneo mbalimbali yakuwemo maeneo nyeti kama kambi za jeshi.

Licha ya kutuma makombora mazito kutungua balloon hizo jitihada zinaonekana kubonga mwamba.

Balloon Hilo linasemekama kutembea umbali wa futi 120,000 kutoka usawa wa bahari.

View attachment 2506365
View attachment 2506381
Tambo nyingi tu, ila ni bua tupu!
 
Back
Top Bottom