Marekani yaitaka Afrika kuonesha upande wanaosimama katika vita ya Urusi na Ukriane

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa. Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa.

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita vya Ukraine.

Akizungumza na BBC, Linda Thomas-Greenfield alibainisha kuwa katika kura iliyopigwa kwenye mkutano wa Baraza Kuu wiki mbili zilizopita kuonesha kuchukia uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, nchi 17 za Afrika - nusu ya dunia nzima - zilijizuia na nyingine nane hazikupiga kura kabisa.

Balozi huyo alisema hakuwezi kuwa na msingi kwenye kutoegemea upande wowote, na kwamba mgogoro huu haukuwa tu mashindano ya Vita Baridi kati ya nchi za Magharibi na Urusi.

Bi Thomas-Greenfield alisema Marekani ilikuwa ikisaidia kutafuta vyanzo mbadala vya bidhaa ambazo nchi huagiza kutoka Urusi.

Mwanadiplomasia huyo pia alisema Marekani itaunga mkono pendekezo la Afrika Kusini la kupatanisha Urusi na Ukraine.

BBC Swahili
 
Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa. Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa.

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita vya Ukraine.

Akizungumza na BBC, Linda Thomas-Greenfield alibainisha kuwa katika kura iliyopigwa kwenye mkutano wa Baraza Kuu wiki mbili zilizopita kuonesha kuchukia uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, nchi 17 za Afrika - nusu ya dunia nzima - zilijizuia na nyingine nane hazikupiga kura kabisa.

Balozi huyo alisema hakuwezi kuwa na msingi kwenye kutoegemea upande wowote, na kwamba mgogoro huu haukuwa tu mashindano ya Vita Baridi kati ya nchi za Magharibi na Urusi.

Bi Thomas-Greenfield alisema Marekani ilikuwa ikisaidia kutafuta vyanzo mbadala vya bidhaa ambazo nchi huagiza kutoka Urusi.

Mwanadiplomasia huyo pia alisema Marekani itaunga mkono pendekezo la Afrika Kusini la kupatanisha Urusi na Ukraine.

BBC Swahili
Ebu Marikani ajidanganye aingize Nato kwenye vita na Urusi, hiyo siku ndo atajua kwamba sisi Wafrica hatumpendi tu isipo kua umasikini na viongozi wetu wasio taka kuondoka madarakani
 
Nimependa vile rais hajaegemea upande wowote sio kila wakisema na sis tunakimbilia kuwafwata wao nasisi tuna uhuru wetu.

img_1_1647490071192.jpg
 
Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa. Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa.

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita vya Ukraine.

Akizungumza na BBC, Linda Thomas-Greenfield alibainisha kuwa katika kura iliyopigwa kwenye mkutano wa Baraza Kuu wiki mbili zilizopita kuonesha kuchukia uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, nchi 17 za Afrika - nusu ya dunia nzima - zilijizuia na nyingine nane hazikupiga kura kabisa.

Balozi huyo alisema hakuwezi kuwa na msingi kwenye kutoegemea upande wowote, na kwamba mgogoro huu haukuwa tu mashindano ya Vita Baridi kati ya nchi za Magharibi na Urusi.

Bi Thomas-Greenfield alisema Marekani ilikuwa ikisaidia kutafuta vyanzo mbadala vya bidhaa ambazo nchi huagiza kutoka Urusi.

Mwanadiplomasia huyo pia alisema Marekani itaunga mkono pendekezo la Afrika Kusini la kupatanisha Urusi na Ukraine.

BBC Swahili
Watuache kwanza mpaka vita iishe ndio tutasema...
 
Hawa mbwa wanataka sisi tuwasapoti katika mpango wao wa kupeleka silaha za nyuklia mpakani mwa Russia? Hivi wana akili timamu hawa?!

Na mwaka 2003 wakati wanaivamia Iraq ili wachote mafuta walituuliza tuko uoande gani? Na kipindi wanaivamia Libya ili waibe mafuta, walituuliza tupo upande gani?!
 
Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa. Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa.

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita vya Ukraine.

Akizungumza na BBC, Linda Thomas-Greenfield alibainisha kuwa katika kura iliyopigwa kwenye mkutano wa Baraza Kuu wiki mbili zilizopita kuonesha kuchukia uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, nchi 17 za Afrika - nusu ya dunia nzima - zilijizuia na nyingine nane hazikupiga kura kabisa.

Balozi huyo alisema hakuwezi kuwa na msingi kwenye kutoegemea upande wowote, na kwamba mgogoro huu haukuwa tu mashindano ya Vita Baridi kati ya nchi za Magharibi na Urusi.

Bi Thomas-Greenfield alisema Marekani ilikuwa ikisaidia kutafuta vyanzo mbadala vya bidhaa ambazo nchi huagiza kutoka Urusi.

Mwanadiplomasia huyo pia alisema Marekani itaunga mkono pendekezo la Afrika Kusini la kupatanisha Urusi na Ukraine.

BBC Swahili
Safi Sana hakuna unafiki.Nchi zionyeshe upande Ili tukikinukisha tuelewe mbovu na mbichi.
 
Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa. Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa.

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita vya Ukraine.

Akizungumza na BBC, Linda Thomas-Greenfield alibainisha kuwa katika kura iliyopigwa kwenye mkutano wa Baraza Kuu wiki mbili zilizopita kuonesha kuchukia uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, nchi 17 za Afrika - nusu ya dunia nzima - zilijizuia na nyingine nane hazikupiga kura kabisa.

Balozi huyo alisema hakuwezi kuwa na msingi kwenye kutoegemea upande wowote, na kwamba mgogoro huu haukuwa tu mashindano ya Vita Baridi kati ya nchi za Magharibi na Urusi.

Bi Thomas-Greenfield alisema Marekani ilikuwa ikisaidia kutafuta vyanzo mbadala vya bidhaa ambazo nchi huagiza kutoka Urusi.

Mwanadiplomasia huyo pia alisema Marekani itaunga mkono pendekezo la Afrika Kusini la kupatanisha Urusi na Ukraine.

BBC Swahili
Vita wameianzisha wao, silaha wanauza wao na faida wanapata wao. Sisi haituhusu.
 
Back
Top Bottom