Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

Wewe mwerevu sana, unafikiri huyo Marekani anaweza kuishi bila ya dunia?

Uzi unasema wazi ikitokea Marekani akapigwa vikwanzo ina maana wakubwa wa dunia walikaa chini wakajiuliza hayo yote uliyoyaandika na solutions zake ndio maana wakafikia hilo hitimisho. Sasa wewe mwerevu sana ina maana wewe una akili sana ya kujua vyote hivo kuliko hao superpower ambao wataamua kuweka hivyo vikwazo? Na hivyo vyote ulivyoeleza hapo kwani hakuna mbadala wake? Au ni Marekani pekee ndiye ana watu special wa kutengeneza hizo patents na wengine hawataweza?
Haiwezi kutokea,kwanini tujadili kitu ambacho hakipo na hakitokuja kuwepo?
 
Back
Top Bottom