mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Hivi Marekani angejichanganya leo akaamua kuivamia Iran kwa kuitumia ardhi ya Iraq lakini asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo kama alivyowekewa Urusi.
Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani? Ujue kupigana ukiwa umewekewa vikwazo ni kama kupigana ukiwa umefungwa pingu!
Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani? Ujue kupigana ukiwa umewekewa vikwazo ni kama kupigana ukiwa umefungwa pingu!