mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,843
Ndugu wasikubali kuyamaliza nyuma ya pazia
Ngoma droo...Hongera! Ila nakuona mshamba zaidi ya hao uliowataja!
Kulima,kujenga ,kufungua bunduki basiUtovu wa nidhamu.
Sijui miaka mitatu mizima walikua wanfafundishwa kitu gani
Huwa wanafundishwa ujinga sana eti wenyewe ndo wenye nchi huku mfukoni hawana hata buku.Kiukweli nadhani elimu inachangia,,(kule wengi na darasa la saba na form four failure) na ndo wanakuwa mara nyingi wanatumia nguvu kuliko akili,ukifatilia maisha ya maafisa wa jeshi(ambao wengi wao ni educated)ni watu wanaopenda kutumia akili kuliko nguvu na pia wanapenda kureason
Kiki hizo, yn achana na hyo avatar yko ila just by reading between the lines kwny uandishi wako unaonekana fala 🤔Na nitaendelea kuwatomba.
Askari wa miguuu..achana na mambo ya btn the lines na usenge senge kama huooKiki hizo, yn achana na hyo avatar yko ila just by reading between the lines kwny uandishi wako unaonekana fala
anaongea kuhusu JKT mkuuHAMNA WATU WAPUMBAVU NCHII HII
KAMA HAWA MBWA WA JWTZ
NI WAPUMBAVU SANAA.
siku chache zilizopita, huko mkoani. Wamesababisha ajali barabaran kwa upuuzi tu wa kutofata Sheria za usalama barabaran.
Hawa jamaa ni wapumbavu sanaa. Wanajiona ni kila kitu
Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.
Jkt nao ni askari toka lini?Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.
We mataga leo nawewe umebadilika unakiri katiba mpya ni suluhisho?Mifumo mingi kwenye hili taifa ni mfu haifai na yakizamani inabidi ibadilishwe,utatuzi wa jumla ni katiba itakayokidhi haja na wajibu wa kila sekta.
Hapo adui ni huyo raia auwamefunzwa kupambana na adui kwa kutumia nguvu bila akili.
Mafunzo ya kijeshi hayo yamepitwa na wakati. Mbona nchi nyingine wanajeshi ni watu wapole sana? Kuna sehemu nilifanya kazi yenye wanajeshi wa USA. Ni wapole na waungwana kweli kweli japo muda wote walikuwa wanatembea na silaha kiunoni. Mkipishana mlangoni ni lazima asuburi upite kwanza.Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.
Ni kweli. Nadhani wanajeshi wengi wa Tanzania wako hivyo. Hasa hili la kujichukulia sheria mkononi na kupiga raia ni tabia waliyoizoea.Hao mbwa huwa wanajikuta spesho na keki Sana,kama wanajua kuua waende Somalia na Kongo .
Ngoja wanyee ndoo ndio akili zitawakaa sawa
Kiukweli hapana siwezi kuwa mnafiki ktk hili, wale watu siwa samehe kamweeh. Hapana kwa kweli.Hapana unasamehe tu, kuna kichwa kimoja cha ukuryani huko kiliwahi kuniletea unaa wa maana baada ya afande mmoja Lt wa kike kunichomea nilijikuta hospital sitasahau zile 45min.
Yule sister nilikutana nae dom tena kwenye shida maeneo ya kikuyu wana wanataka kumkalisha kuchukua alivyonavyo nikawasomesha wahuni huyu sista wetu watu wakawa wapole sista akatoka mtegoni.
Tangu hapo heshima. Ni sehemu tu ya maisha wengine walipiga ma intake magumu mfano ya 21 unakuta wameungulia wao ni jeshi tu akilini na battle.
Ndiyo wanakagua,Eti waga wanakagua kama una manyoya?
acha tu yaan, kule kambini kuna mateso sana, ubinadamu haupo kabisa.Wacha roho ya korosho we mamaaa wasamehe wakufunzi wako kuna waliyokuwa wanakufunza ukae ukijua hata hivyo nina imani ulikuwa mng'ao afu una slay ndio maana uliwengwa.