KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Sijui ndugu yetu kakimbilia wapi,hata mimi najiuliza Mkuu.Poa poa, Simplicity. yuko wapi siku hizi?
Sijui ndugu yetu kakimbilia wapi,hata mimi najiuliza Mkuu.Poa poa, Simplicity. yuko wapi siku hizi?
KARANJA. ..avatar yangu ni GODESS ISIS. ...mimi ni mwanamke. ..asante sanaBasi bro si unajua tena hiyo avatar inaleta mkanganyiko?
Masunga maziku mimi ni mwanamke. .avatar yangu ni GODESS ISIS. ...a GODDESS WITH 10000 names. ...hapo sasa. ..hahaha
Sorry ISIS,lakini ujue nimekupenda pia,naomba tuwe pamoja kwenye mambo ya kunyegeshana hata kama hatujuani ,si unajua mwanaume na mwanamke tukichati tutapeana maraha au vipi?,yaani uwe free kuja pm na mimi niwe free kuja pm au vipi?,halafu tunajiachia kwa raha zetu au vipi? yaani hakuna siri ni mswano tuu au?KARANJA. ..avatar yangu ni GODESS ISIS. ...mimi ni mwanamke. ..asante sana
Karibu KARANJA 007Sorry ISIS,lakini ujue nimekupenda pia,naomba tuwe pamoja kwenye mambo ya kunyegeshana hata kama hatujuani ,si unajua mwanaume na mwanamke tukichati tutapeana maraha au vipi?,yaani uwe free kuja pm na mimi niwe free kuja pm au vipi?,halafu tunajiachia kwa raha zetu au vipi? yaani hakuna siri ni mswano tuu au?
Thanx we mrembo ni muelewa na nakuahidi tutafika mabli mamii.Karibu KARANJA 007
Wote tutashinda,nakuahidi na tutafika mahali tutasema kweli tumeshinda.Karibu KARANJA 007
Nimekaribia na nakuomba usiwe kama wengi niliokutana nao ambao wamenifanya niwadharau baadhi ya wadada fulani.Karibu KARANJA 007
wee karanja 007 mbona imekuwa issue?Nimekaribia na nakuomba usiwe kama wengi niliokutana nao ambao wamenifanya niwadharau baadhi ya wadada fulani.
La saba la mkoloni au la majengo ya msaada??Istoshe alishaenda kutangaza ndoa nyingine pindi tu mumewe alivyo fariki akili hana kaishia std 7 Mpare mpuuzi
HahahahaUna stress we kibibi....chukua time!
ARVs zilitapakaaje nyumba nzima wewe? wewe ulikuwa mfanyakazi wa ndani? Hospitali kuu ya Taifa Mhimbili kwenyewe hakuna dawa zilizotapakaa sembuse nyumbani kwa mtu! Kadri muda unavyo kwenda naona chumvi inazidi kukolea.Najua zote Kaka namjua sana..... Kuna vilaz.a humu nikimsema wanamtetea yeye Na mkewe ni mamafya by the way arv zilizagaa nyumba nzima ya huyu baba..... n way kifo chake kinaweza kutokana Na mambo mengi sana dhulma Na kuwaambukiza watu hiv of coz sasa naunga dotz Na alitembea Na wanawake hata 7 daily shkamoo pesa.
yaani kwa mwaka mmoja ni wanawake 17,885 according to you. Hapo labda kama alitembea nao ndani ya miaka kumi ni wanawake 178,850. Wewe mtu ni kiboko hakika,

Hahaha I was zea inside out........ Kulikuwa Na mawe I mean madini kila mahali.... Bastola bunduki pesa.. Arv Rip erasto msuya my big boss....ARVs zilitapakaaje nyumba nzima wewe usiye ******? Wewe ulikuwa mfanyakazi wa ndani? Hospitali kuu ya Taifa Mhimbili kwenyewe hakuna dawa zilizotapakaa sembuse nyumbani kwa mtu! Kadri muda unavyo kwenda naona chumvi inazidi kukolea.
Eti wanawake 7 kwa siku, kama ni hivyo hela alitafuta muda gani? Hao wanawake 7 alikuwa anawala mbele yako.
Kila mtu ana ubaya wake na hata Erasto alikuwa na madhaifu yake ila cyo kwa kiwango mnachompimia. Wanawake 7 kwa siku x week ni 49 x mwaka = 49x365=17, 885![]()
![]()
![]()
yaani kwa mwaka mmoja ni wanawake 17,885 according to you. Hapo labda kama alitembea nao ndani ya miaka kumi ni wanawake 178,850. Wewe mtu ni kiboko hakika,
![]()
![]()
![]()

dah

Ahahhaa....KARANJA....hii bonge moja ya taktiki....unataka kumnyegesha ISIS...ahahaa....maeneo yake ya PM! lolSorry ISIS,lakini ujue nimekupenda pia,naomba tuwe pamoja kwenye mambo ya kunyegeshana hata kama hatujuani ,si unajua mwanaume na mwanamke tukichati tutapeana maraha au vipi?,yaani uwe free kuja pm na mimi niwe free kuja pm au vipi?,halafu tunajiachia kwa raha zetu au vipi? yaani hakuna siri ni mswano tuu au?
ISIS mwache asogee afu unfyatulie kombora matata aina ya Katyusha!wee karanja 007 mbona imekuwa issue?
mke wa sedekia aliolewa na Houseboy wake?sasa mbona huyu mama kafa mnachonga na mke wa sedekia aliolewa mkachonga huko makanisani ? mnadhani zinaa kitu kidogo sio?
ISIS mwache asogee afu unfyatulie kombora matata aina ya Katyusha!
....ila Karanja nimemkubali anarusha chambo zake barazani kweupeeee...Pm anaona mbali sana[/
Shiit! Tuko kwenye thread ya mauaji nyie mnaotongozana hapa hebu nendeni huko mmu au pm.. Mnatuharibia thread hapa kwa umalaya wenu!!
Watanzania wanajua umepata wapi mali , watanzania wanajua huwa unapendelea kufikia hotel au guest gani ukiwa safarini kikazi , watanzania wanajua umekula nin leo , watanzania wanajua gari unalotumia la mkopo umeazima au umenunua kwa mtu na hela hujamalizia, watanzania wanajua una sh ngapi bank ................ yaaaniMambo ya watz bhana mkuu vipi unaundugu na msuya?
Mnakomalia utafikir alikokuwa anatafuta Mlikuweko..
Yanini kushupalia mambo ya watu na kujifanya ww ndio mchambuzi Wa utajiri wake?
Mnatia aibu
Umesomeka vzr sana..Watanzania wanajua umepata wapi mali , watanzania wanajua huwa unapendelea kufikia hotel au guest gani ukiwa safarini kikazi , watanzania wanajua umekula nin leo , watanzania wanajua gari unalotumia la mkopo umeazima au umenunua kwa mtu na hela hujamalizia, watanzania wanajua una sh ngapi bank ................ yaaani
Watanzania ni shida
Ya mwisho
Watanzania wepesi wa kusikia jambo bila hata kulifanyia uchunguzi na kulisambaza kwa watu huku wa kiapa kuwa ni kweli na wenyewe walikuwepo kwenye tukio. Hao ndoo watanzania
Mtu yuko bussy kufatilia mambo yasiyo yake anayasahau yake, mtu ana mcheka mtu fulani kuwa hana pesa wakati yeye mwenyewe hafiki kiwango cha huyo anaye mcheka.
Mtanzania ana furahia matatizo ya mwenzake.
Asante
Angalizo
Hii coment haihusiani na mada inayoendelea ila nimemjibu mgirik
Kichekesho WalahiISIS mwache asogee afu unfyatulie kombora matata aina ya Katyusha!
....ila Karanja nimemkubali anarusha chambo zake barazani kweupeeee...Pm anaona mbali sana