Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Watanzania wanajua umepata wapi mali , watanzania wanajua huwa unapendelea kufikia hotel au guest gani ukiwa safarini kikazi , watanzania wanajua umekula nin leo , watanzania wanajua gari unalotumia la mkopo umeazima au umenunua kwa mtu na hela hujamalizia, watanzania wanajua una sh ngapi bank ................ yaaani


Watanzania ni shida

Ya mwisho

Watanzania wepesi wa kusikia jambo bila hata kulifanyia uchunguzi na kulisambaza kwa watu huku wa kiapa kuwa ni kweli na wenyewe walikuwepo kwenye tukio. Hao ndoo watanzania
Mtu yuko bussy kufatilia mambo yasiyo yake anayasahau yake, mtu ana mcheka mtu fulani kuwa hana pesa wakati yeye mwenyewe hafiki kiwango cha huyo anaye mcheka.

Mtanzania ana furahia matatizo ya mwenzake.

Asante

Angalizo

Hii coment haihusiani na mada inayoendelea ila nimemjibu mgirik
TUNATUBU WATANZANIA WOTE MWENYE ENZI MUNGU ATUREHEMU MILELE YOTE AMEN
 
Hahaha I was zea inside out........ Kulikuwa Na mawe I mean madini kila mahali.... Bastola bunduki pesa.. Arv Rip erasto msuya my big boss....





And I was there young And innocent ...

. Na ni kweli alikuwa Na wanawake kwa kiwango cha kutisha
u remind me of him
laiti kama ingekuwa saa hii nadhani Na mm ningekuwa Na mm nagombea mali saa hizi

Sasa ww tukana weee udhani inakusaidia huo ndo ukweli....... Wenyewe, Kuna Hawa watu wanasema ni sijui shangazi zake Na wake zake humu ni wapuuzi Na wanabisha ujinga I dare....... Kusema haya yoote sababu I was there kama alikukula au alikuwa mkeo jipange ukitukana hapa haikusaidii......huyu baba sai angefufuka hapa asingebisha ninayo sema zaidi angenambia nikuashe na pesa angenipa dah
dah lazima Erasto ulichepuka nae....una uchungu sana hizo arv imezijuaje kama nawe hutumii? Pole sana dada
 
Mie bado naendelea kuamini huyu mm simon yuko framed na watu wauaji aonekane kama ni yeye anahusika.Swali kubwa la msingi polisi wanatakiwa wajiulize afanye haya mauaji ili apate faida gani haswa?? Something is not right somewhere, something fishy.
Mkuu ulichosema ndio ukweli huyu mama anachezeshwa mchezo usiomhusu kabisa. Lipo shinikizo kutoka sehemu Fulani. Ninachohisi ni kwamba kuna taasisi imeahidiwa pasu kwa pasu iwapo watafanikisha hii mission.
 
Ukifuatlia sana na narudia tena aslimia Zaidi ya 90 huyo mama sioni sababu ya yeye kumua Wifi yake, mali ni zake alishashinda na kesi hakamuue kwa sababu gani haswa?
Kisheria alishinda na ndugu hawakuridhika na ushindi huo,

Wakawa wanataka kujua chanzo cha kifo cha kaka yao (erasto) na aneth ndo alikuwa mstar wa mbele kwa kila hatua kujua kwa nini kakake aliuwa na wauaji wako wapi?

Mama simoni ndiye aliyemshaur msichana wa kazi wa aneth siku nyingi atoroke na siku ndo akamsisitiza kabisa (kwa nini alifanya hivo atayaeleza huko polis)

Polis wanaconnect dots ndo wanamchukua hatua

There is a lot to come,stay tuned

Ukiangalia ki juu juu ngumu kuelewa mkuu (use the so called critical thinking).
 
Halafu hao ndugu hawariziki kaka yao alipokufa aliacha urithi na Mali walipewa ila hawariziki wanataka Mali zote alizoacha kaka yao hawaangalii kama kaka yao ameacha watoto 4 na mjane tangu kaka yao kafa mama saimon haishi kwa raha wala amani ni kumtukana vitisho kibao na ndio maana wanakufa juzi huyo dada yake anathe Joyce kafiwa na mtoto wake wa kumzaa na huyo atasema mama saimon ndio kamuua wamuache mama wa watu aishi maisha yake kwa amani na watoto wake
Are sure kuwa ni mali!

Kwa nini msichana wa kazi aondolewe halafu mauaji yafanyike kwa mtu aliyekuwa mbele kuwajua wauaji wa kakake?

Kwa nini amshaur msichana wa kazi aondoke (??????????????)
 
Mary unaukaribu wowote na mama saimon?? n kama unao jitahidi kuwaleza watu unachokijua kuhusu mama saimon mana yawezekana wanayoongea watu wengine humu ndani ni upotoshaji,labda utusaidie wewe
Nawasilisha kwako!!
Kama sio mdogo wake ni dada yake! Sio kwa povu hilo
 
Are sure kuwa ni mali!

Kwa nini msichana wa kazi aondolewe halafu mauaji yafanyike kwa mtu aliyekuwa mbele kuwajua wauaji wa kakake?

Kwa nini amshaur msichana wa kazi aondoke (??????????????)
Uyo uliemnukuu katoa maelezo angalau yanajenga taswira fulani hivi ingawa amekiri kuwa na uhusiano wa karibu na huyo mama.
Ninachokiona kwako ni kutolea maelezo kipande kidogo sana ambacho alishakielezea hapo mwanzo jinsi ilivyokuwa na nina uhakika kabadili baadhi ya mitazamo ya watu humu kuhus hiyo kesi.
Kukushauri tu pitia comments zake zote alaf umuuluze kuabzia huko sio kama unavyofanya sasa.
Ushauri tu
 
Yes nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia
Kwa nini alimshaur msichana wa kazi aondoke? Kwa nini hataki kujua wauaji wa mme wake? Tuanzie hapo
 
Siamini kama huu uzi una page zote izi
Hii familia kumbe ilikuwa maarufu ivi....
Sijui ni utajiri wa marehemu erasto... Au
Uzuri wa anathe... Au
Aina ya vifo vililivyotokea
 
Na nyie hata wewe ndugu wa mama saimoni mnafaidi, hakuna mazuri kweli unaweza ongelea ya ndugu wa Erasto?

Mara anetj hawezi kuuliwa na mama sai, sababu alimlea vizuri ka mwanawe...halafu unakuja ooooh ndugu wote sijui nini..hata aneth haumtaji kabisa tena.

Nimeanza kupata picha ya mali, inawazingua upande wenu pia. Huwezi kuponda fam ya Erasto na mama yake na wanae kihivi...Eti?

Emdelea kuandika raha kukusoma
Kama mwanaye halafu hajui hata nyumba anayoishi iko wapi?
 
Niftah usihofu tunaitaji mwanga tu NA kusaidia mawazoyako KWENYE HII kesi...nimejaribu kuangalia watoa hoja we n mtumuhimusana kama awajui
Punguzeni kutisha wenzenu jamani... yani humu kila mtu anajifanya usalama, usalama huo vepeeee...???
 
Kuna watu wanakera sana.. Yaani matatizo yao binafsi wanataka kuyahusisha na makabila.. Alafu ajabu makabila mengine yakiua hawasemi chochote, ila akiwa yeyote wa Kaskazini utasikia ndio walivyo, ndio kawaida yao. Hivi yule Housegirl aliyechinja kule Sinza ni Mpare au Mchaga?? Angekuwa ni Mpare au Mchagga tusingepumua humu
Ni kweli kabisa, tabia ni hulka ya mtu na sio kabila.
 
Back
Top Bottom