Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Yes nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia
 
Of course mm simuhusishi moja kwa moja kwa Na mauaji ila naunga dots tu tabia zake mimi nilipewa nyumba ya kuishi Na erasto wakati nasimamia kazi zake yaani nilikuwa naishi hovyo huyu mama alikuwa ananivizia madirisha anachungulia anatuma watu Yani alinibugudhi sana acha alipe alichopanda...... sitaki kukumbuka kabisaa. Kama ni yeye aumbuke maana Wafanyakazi wake alikuwa anatuletea umafya wa kimaandazi
Hana tabia ya kunyanyasa mtu ila ni mwanamke au boss ambaye hapendi longolongo na wala hapendi mtu anayefanya vitu kinyume na yeye ukiona kakufanyia unayosema ujue wewe una matatizo na ndio maana mkashindwana na wewe nahisi utakuwa mfanyakazi wa kwanza kulalamika anakaaga na wafanyakazi mpaka wakiondoka wanamkumbuka nenda kwenye hotels zake SG RESORT HOTEL na MEZALUNA hotel kawaulize wafanyakazi wake utaona jinsi wanavyohuzunika hawamuoni boss wao coz wanaishi naye vizuri so acha unafki
 
Mary unaukaribu wowote na mama saimon?? n kama unao jitahidi kuwaleza watu unachokijua kuhusu mama saimon mana yawezekana wanayoongea watu wengine humu ndani ni upotoshaji,labda utusaidie wewe
Nawasilisha kwako!!
Ndio nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia
 
Bado naendelea kuusoma huu uzi, ila naona kuna sababu za makusudi kabisa za kumtwisha hili zigo huyu mama, kuna watu humu wameanza kuingiza na kuchanganya tabia eti wapare wote wako hivyo sio kweli to be honest! Hio ni generalisation ambayo ni mbaya sana! Bado nazidi kuamini wauaji wa Erasto na huyu dada ndio hao hao bado wanatumia pesa zao kuingiza watu wasio na hatia! Sioni sababu ya huyu mama kumuua huyu dada ili iweje kama mali tayari anazo?? Kuna mchezo mchafu sana hapa, polisi wanahitaji kua makini sana ila polisi wetu nao ndo hivyo tena!! Makoyee gete gete.
 
Of course mm simuhusishi moja kwa moja kwa Na mauaji ila naunga dots tu tabia zake mimi nilipewa nyumba ya kuishi Na erasto wakati nasimamia kazi zake yaani nilikuwa naishi hovyo huyu mama alikuwa ananivizia madirisha anachungulia anatuma watu Yani alinibugudhi sana acha alipe alichopanda...... sitaki kukumbuka kabisaa. Kama ni yeye aumbuke maana Wafanyakazi wake alikuwa anatuletea umafya wa kimaandazi
Duuuh kumbe ulifanya sg ile ya kitambo...wewe utakua unajua mengi
 
Ndio nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia
Dada unaweza kua unamjua sana ila yaliyo moyoni mwake huyajui....yeye ndio msimamizi wa mirathi ila hii case ya mauaji police huwa hawakurupuki hata.wamefanya uchunguzi kuna viashiria ambavyo vimemhusisha ndio mana kakamatwa
 
Naona kuna waliojiunga leo hapa kuja kujibu tuhuma za mama Simon. Ukweli utajulikana tu na hakika huyo mama Simon wala hataachiwa leo. Atatumika mno wakati wa upepelezi. Wenye taarifa je ameshaachiwa na polisi? Ila nikimuangalia tu kwa picha wakati anaaga mume wake ukweli sikuamini kama ndiye alifiwa. Tutasikia Mengi ila Mungu ndiye anajua kila kitu na ukweli damu ya mtu inaita.
 
Dada unaweza kua unamjua sana ila yaliyo moyoni mwake huyajui....yeye ndio msimamizi wa mirathi ila hii case ya mauaji police huwa hawakurupuki hata.wamefanya uchunguzi kuna viashiria ambavyo vimemhusisha ndio mana kakamatwa
Hakuna viashiria vyovyote alivyokutwa navyo mpaka hao police hawasemi chochote na wamechukua magari yake 2 sasa magari yake na mauwaji yanahusiana na nn
 
Dada unaweza kua unamjua sana ila yaliyo moyoni mwake huyajui....yeye ndio msimamizi wa mirathi ila hii case ya mauaji police huwa hawakurupuki hata.wamefanya uchunguzi kuna viashiria ambavyo vimemhusisha ndio mana kakamatwa
Ni kweli ya moyoni mwake siyajui ila angetaka kuua angeanza na mama mkwe wake au wifi zake wengine ila sio anathe, anathe alikuwa kama mtoto wake maana alimlea yeye mpaka anaolewa mama saimon ndio alisimama kama mama alipewa heshima hiyo coz yeye ndio aliyemlea
 
Kwanza mm kama hilo zoezi la mariamu kuumua wifi yake sio kweli kabsa kwangu nakataa hadi siku ya kiaama,,kwanza ebu kila mtu ajiulize baada ya mazishi mamake aneth alitoka mererani kwenda dar na hadi leo hajarudi pili yule mfanyakazi wa ndani kukamatwa nikwanini mama aneth na dadazake aneth waliomba wamhoji faraga? Je hayo maongezi yalilekodiwa na kujua walizungumza nini? Je polisi inajua hiyo faraga walizungumza nini na huyo mfanyakazi wa ndani?kwasbbu huyo msuchana kutoka kwao hadi nyumbani kwa mamake aneth kuna umbali wa 149mt nikama jurani na usitoshe yy mamaaneth ndie waliomtafuta huyo housegiry kwenda kufanya kazi kwa aneth,na lingine ukiangalia mkewa wa erasito anakaa arusha na kutoka arusha hadi nyumbani kwao mererani ni 64km,je mwenye ukaribu wa kushawishi ubaya kwa house girl ni nani kati ya mama erasto na mke wa erasto? Jamni yaani usilolijua ni usiku wa giza!! Mbona swala liko wazi jamni ebu vyombo vya dola nawaomba tumieni akili saana kwenye hii pointi kuna tagerti iko hapo!! Chazo cha hayo yote nikwamba kwanza babake marehemu aliapa mahakamani kwamba baada ya erasto kufa amemwachia mungu! Na mkewa erasto akawambia mawifi km mnataka gari kwaajiri ya ushahidi mahakamni mbona baba mkwe amekataa na amesema amemwachia mungu basi na Mimi pia nimesema naachana na hiyo kesi,ss hapo ndipo mawifi wakachachamaa!! Na mkewamarehemu akaona aolewe na mwaume mwingine,na waliposikia kwamba mke wa marehemu ameolewa na mtu mwingine sasa ikawa ni kero hadi kwa mama aneth, hasra zikapanda kwa ndugu hususani mawifi, na ndio maana walimpiga marufuku kuja kuzika wifi yake siokwamba yy ndo aliktaa apana,mamakemarehemu alisema kabla ya aneth hajafikwa na mauti akimuona mke wa marehemu anatamni hata ampigie ukunga kisa ana bwana mwingine ambae anakula Mali ya mwanae erasto,ndo chazo cha kutohudhulia msiba wa aneth sio vingunevyo,na baba yake baada ya kusema amemwachia mungu kwa ajiri ya mauaji ya erasto na akakiuka na kuanza kwenda tena kwa waganga sasa kilichompata tena mzee wa watu nimungu anajua,sijui kafanyeje mikono yote imeungua na moto hata wiki haijaisha,je na hiyo ni mkewa erasto ndo alimuunguza???? Jambi kumi ni kumi lkn ukitoa sufuri inabaki moja sio kumi tena!!!! hausegirl amesomeshwa na mama aneth na dadazake aneth wa sio vinginevyo wadau,mamaaneth arudi tu mererani aje ampeleke bwanake hospitl kaungua mikono
 
Pesa sio shetani,hilo namtetea shetani sio pesa kivipi?....kwanini utawale pesa au kwanni pesa ikutawale? Jibu unalo na sio shetani!!! Sawa Mr ngege john
 
Haya mzee nae kaungua mikono je mama saimoni ndo kamuunguza mikono?
 
Na pia huyo mama saimon hajui hata nyumba ya anathe ipo upande gani hata huyo house girl hamjui ni kweli wale wanataka Mali tu maana wameshachukua magari yake range Rover& Ford Ranger magari ya bei rahisi wameacha eti wanasema wanaenda kuyachunguza hayo magari isitoshe wamemficha hawataki aonenane hata na mwanasheria wake au ndugu zake mpaka Leo hajulikani yupo kituo gani na walienda nyumbani kwake kuchunguza wameondoka na cheni zake za gold, viatu na nguo zake eti wanaenda kuzichunguza kama hawana wanachoficha kwann wasimruhusu kuonana na mwanasheria wake na ndugu zake wanamtesa tu na hiyo familia unamsingizia tu coz mama saimon hajaolewa na wala hawezi kuolewa coz mume wake alishasema kwenye wosia hataki mke wake aolewe akiolewa atafutwe msimamizi wa Mali mwingine wangemuacha aishi kwa amani na watoto wake kwasababu hakumkuta mume wake tajiri aliolewa akamkuta Ana maisha ya kawaida amevumilia mengi mpaka kufika hapo alipo
 
Back
Top Bottom