Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mkuu kutembea na Dadaake ni Kashfa...hata kama nikweli asingekukubalia...kwa sisi tunaojua habari za matajiri hilo lakufanya maagano sio geni...kuna wanaoua..watu kwaajili ya Kafara..wengine wanabaka watoto...nk...kwahiyo kuongea nae nakukuthibitishia kuwa sikweli ilitakiwa ujiongekeze
Huwa wanadamu tuna tabia za kuwanyooshea watu wenye mafanikio vidole kwa wivu, chuki na husuda.

Ubaya huenezwa zaidi kuliko wema na ndivyo maisha yalivyo. Hata wewe ukipata mali nyingi au mafanikio makubwa lazima uchafuliwe.

Sikatai kuhusu maagano ya kishirikina kuwepo miongoni mwa jamii, isipokuwa ni siri ya mhusika. Nadhani kama ni kweli mtu ambaye angelijua hili zaidi baada ya wahusika wenyewe ni Miriam {mke wa Erasto}, hivyo angeutumia zaidi msamiati huo wa "incest"lakini haikuwahi kusikika kwake akilalamika kuwa kuna wifi alikuwa akitembea na kaka yao.

Tukijiuliza ushahidi wa Erasto kutembea na dada yake hatuwezi kupata hata kiashiria. Itabaki tu kuwa tetesi labda huyo dada aconfess mbele ya watu. Hivyo ukiwa fighter mwenye mafanikio ktk maisha yapo mengi utazushiwa
 
Sasa kama sio kukogombania mali ni nini, sika mmewe uumesema ameandika mke wake akitaka kuolewa aachie mali Sasa si achie akaolewwe aanze moja
Mke hana haki ya mali? Acheni kunyanyasa wanawake bwana. Bado mdogo inamaana akae bila kuwa na mwenzi kwa misingi gani. Huu ujinga wa kunyanyasa wanawake psychological unapaswa kukemewa na sio kutetewa kabisa.
 
Kuhusu Ole Makoo siyo madini yake yaliyomtoa Erasto. Sipendi kuzungumzia issues za ndani za watu ila ili kuweka kumbukumbu ntaongea ninalolifahamu.

Erasto alikuwa anatoka Arusha alipofika kona ya Kia kwenda Mirerani akamkuta hapo mmasai akiomba lift. Akampa wakaenda wakiongea, wakaelewana kuwa Erasto atampa mtaji Ole Makoo wa kununua rough Tanzanite na akafanya hivyo. Ole makoo akawa ameibuka kuanza kupata utajiri akiwa kama nyoka wa Erasto.

Erasto akawa ameshajenga guest house mirerani ndipo Ole Makoo akawa anafadhili mgodi wa Simon Meshack, madini yakatoka Erasto akapata japo cyo kivile. Kilichompa utajiri mkubwa ni wafanyakazi wa tanzanite one kuanzia miaka ya 2000, walikuwa wakiuza madini at a very cheap price. Wafanya kazi walikuwa wanaiba production let say nusu kiroba cha tanzanite, halafu hawajui bei. Mtu anauza jiwe kg moja kwa milioni 30 au 50...utaacha kutajirika ukizingatia yeye Erasto aliikamata hiyo channel vizuri?

Kuhusu mawe ya bomu, Erasto alifaidi kidogo sana na hapa ndipo palizaa ugomvi wake na Chusa. Mawe ya bomu aliyopata mengi ni kuanzia 2012-2013 almost mwaka mmoja na miezi michache kabla ya kifo chake. Na wakati huu alishakuwa mbali kiuchumi.
Mako alitoa production kubwa kipindi kile istoshe kulikua hakuna ligi kubwa ya brokers.najua marehemu kapambana sana kimaisha mpka kua juu pia alikua anapata sana kofia mawe yakitoka kwenye migodi ya appolo
 
Oa, ila weka majina ya watoto katika mali zako. Hapa utakuwa mpiga stop mke ambaye ni golddigger.
hapa nahisi umesahau kushauri na wanawake waweke majina ya watoto kwenye mali zao zote. mawazo hayo ni ya 1940's ila sasa wanawake wengi ndio wenye nguvu ya uchumi kwenye familia wanawafichia siri tu hao unawataka waandike majina
 
Erasto Simon Msuya aliuawa tarehe 07/08/2013.

Aneth Simon Msuya aliuawa tarehe 27/05/2016.

Huyu Erasto alishafariki na hana uwezo wa kujieleza kuhusu hayo anayotuhumiwa kuwa aliyafanya. Mimi nilibahatika kuzungumza nae kuhusu hiyo tuhuma yangu "incest". Nakumbuka alinijibu hivi "kaka katika jambo linaloniuma roho katika maisha yangu ni kupewa kashfa kuwa natembea na dada yangu. Lakini ipo siku Mungu atawadhihirishia hao mahasimu wangu ukweli kuhusu hilo jambo. Hebu chukulia picha wewe utembee na dada yako wa kuzaliwa nae, utaanzaje na wanawake wamejazana kila kona? Nilianza kushika pesa nikiwa mdogo wakati niko Advance, Makumira Sec, nilikuwa nikitoka shule kipindi cha likizo naenda kuzama mgodini kama nyoka wa viongozi wa MAREMA, nikawa napata hela, isipokuwa watu wanaona kama nilipata pesa ghafla kumbe nimefight sana ila Mungu ndiye anayejua".

Kwahiyo moyo wa mwanadamu ndio unaojua kilichpo ndani. Tuache kuzungumza maneno ambayo hayana ukweli wala faida. Tuzungumzeni tunayoyafahamu na tusiyoyafahamu tusitunge uongo ili uonekane unajua.


samahani kama ni wewe ungelikuwa wewe ungekubali kuwa unatembea na dadako? .............. kwanini izushwe hivyo tunamjua erasto tumekaa na kufanya naye kazi bhana hata wewe hujui ukweli na wewe uache kutetea ujinga maana kwavile ulikuwa unafanya naye mambo haikufanyi kujustify uswain wake maana kutembea na ndugu yako ni zaid ya uswain na pesa kaziacha haohao wanazigombea ..........................


NONESENSE
 
Du pole sana mkuu naunga mkono hoja mimi binafsi baba angu mdogo alikiona cha moto kwa mwanamke wa kipare mpk alihama mji kimya kimya maana ilikua patashika kwenye ukoo huyo mwanamke .Kwa kweli wanawake hawa wachache ninaowajua wa kipare siez mshauri ndugu yangu achukue huko maana asijeangukia pua .Rafiki yangu mmoja mwenyewe mama yake ni mpare na alimkataza mwanae asijeangukia huko ktk pitapita zake.At the same time siwezi kumhusisha huyu mama kwa hayo mambo pia.
Tatizo lenu huwa munaokotaga wanawake waliochoka huko Bar ndio mnaoa kisa tu anajua kukata mauno.. Hivi ukioa mwanamke aliyetoa kwenye familia ya kueleweka na anayeijua dini mtakutana na hayo mnayosema?? Acheni kuokota wanawake wa ajabu ajabu huko mitaani alafu mnakuja kusingizia makabila..
 
Tatizo lenu huwa munaokotaga wanawake waliochoka huko Bar ndio mnaoa kisa tu anajua kukata mauno.. Hivi ukioa mwanamke aliyetoa kwenye familia ya kueleweka na anayeijua dini mtakutana na hayo mnayosema?? Acheni kuokota wanawake wa ajabu ajabu huko mitaani alafu mnakuja kusingizia makabila..
hahahaha haaa nimecheka sana kwakwelihii thread siisomi tena maana
 
Kwanza mm kama hilo zoezi la mariamu kuumua wifi yake sio kweli kabsa kwangu nakataa hadi siku ya kiaama,,kwanza ebu kila mtu ajiulize baada ya mazishi mamake aneth alitoka mererani kwenda dar na hadi leo hajarudi pili yule mfanyakazi wa ndani kukamatwa nikwanini mama aneth na dadazake aneth waliomba wamhoji faraga? Je hayo maongezi yalilekodiwa na kujua walizungumza nini? Je polisi inajua hiyo faraga walizungumza nini na huyo mfanyakazi wa ndani?kwasbbu huyo msuchana kutoka kwao hadi nyumbani kwa mamake aneth kuna umbali wa 149mt nikama jurani na usitoshe yy mamaaneth ndie waliomtafuta huyo housegiry kwenda kufanya kazi kwa aneth,na lingine ukiangalia mkewa wa erasito anakaa arusha na kutoka arusha hadi nyumbani kwao mererani ni 64km,je mwenye ukaribu wa kushawishi ubaya kwa house girl ni nani kati ya mama erasto na mke wa erasto? Jamni yaani usilolijua ni usiku wa giza!! Mbona swala liko wazi jamni ebu vyombo vya dola nawaomba tumieni akili saana kwenye hii pointi kuna tagerti iko hapo!! Chazo cha hayo yote nikwamba kwanza babake marehemu aliapa mahakamani kwamba baada ya erasto kufa amemwachia mungu! Na mkewa erasto akawambia mawifi km mnataka gari kwaajiri ya ushahidi mahakamni mbona baba mkwe amekataa na amesema amemwachia mungu basi na Mimi pia nimesema naachana na hiyo kesi,ss hapo ndipo mawifi wakachachamaa!! Na mkewamarehemu akaona aolewe na mwaume mwingine,na waliposikia kwamba mke wa marehemu ameolewa na mtu mwingine sasa ikawa ni kero hadi kwa mama aneth, hasra zikapanda kwa ndugu hususani mawifi, na ndio maana walimpiga marufuku kuja kuzika wifi yake siokwamba yy ndo aliktaa apana,mamakemarehemu alisema kabla ya aneth hajafikwa na mauti akimuona mke wa marehemu anatamni hata ampigie ukunga kisa ana bwana mwingine ambae anakula Mali ya mwanae erasto,ndo chazo cha kutohudhulia msiba wa aneth sio vingunevyo,na baba yake baada ya kusema amemwachia mungu kwa ajiri ya mauaji ya erasto na akakiuka na kuanza kwenda tena kwa waganga sasa kilichompata tena mzee wa watu nimungu anajua,sijui kafanyeje mikono yote imeungua na moto hata wiki haijaisha,je na hiyo ni mkewa erasto ndo alimuunguza???? Jambi kumi ni kumi lkn ukitoa sufuri inabaki moja sio kumi tena!!!! hausegirl amesomeshwa na mama aneth na dadazake aneth wa sio vinginevyo wadau,mamaaneth arudi tu mererani aje ampeleke bwanake hospitl kaungua mikono
unanikumbusha story moja ya james hadley chase,nimesahau jina lakini mama mtu alicheza deal,akamuua mwanae tajiri ili yeye ndo arithi ile mali,
kitendo cha polisi waliomkamata yule housegal,kumwacha faragha na mama mkwe ambae nae anaweza kuwa possible suspect,kinatia shaka sana,na polisi hawangekubali kirahisi bila huyo mama kupenyeza rupia
 
unanikumbusha story moja ya james hadley chase,nimesahau jina lakini mama mtu alicheza deal,akamuua mwanae tajiri ili yeye ndo arithi ile mali,
kitendo cha polisi waliomkamata yule housegal,kumwacha faragha na mama mkwe ambae nae anaweza kuwa possible suspect,kinatia shaka sana,na polisi hawangekubali kirahisi bila huyo mama kupenyeza rupia
HAHA kAZI INAENDELEA UKWELI UTAAMKA TU .................
 
hahahaha haaa nimecheka sana kwakwelihii thread siisomi tena maana
Kuna watu wanakera sana.. Yaani matatizo yao binafsi wanataka kuyahusisha na makabila.. Alafu ajabu makabila mengine yakiua hawasemi chochote, ila akiwa yeyote wa Kaskazini utasikia ndio walivyo, ndio kawaida yao. Hivi yule Housegirl aliyechinja kule Sinza ni Mpare au Mchaga?? Angekuwa ni Mpare au Mchagga tusingepumua humu
 
Watoto baadhi wapo Australia wanasoma na wanaishi kwa dada yao yule aliyetoaga speech kwenye msiba, Esther Msuya. Kama waliwakana kuwa hawatawasaidia watoto wa kaka yao inakuwaje wapo nao huko?
Aliyeko Australia ni 1 saimon na huyo aunt yake aliyekuwa anakaa huko ni joyce na sio ester na alisharudi Tanzania siku nyingi saimon amepanga nyumba huko Australia
 
Kuna watu wanakera sana.. Yaani matatizo yao binafsi wanataka kuyahusisha na makabila.. Alafu ajabu makabila mengine yakiua hawasemi chochote, ila akiwa yeyote wa Kaskazini utasikia ndio walivyo, ndio kawaida yao. Hivi yule Housegirl aliyechinja kule Sinza ni Mpare au Mchaga?? Angekuwa ni Mpare au Mchagga tusingepumua humu

Mangi vipi aisee...

Mbona povu jingi asubuhi na mapema hivi...?

Umepungukiwa hela ya bia nini?

😀
 
samahani kama ni wewe ungelikuwa wewe ungekubali kuwa unatembea na dadako? .............. kwanini izushwe hivyo tunamjua erasto tumekaa na kufanya naye kazi bhana hata wewe hujui ukweli na wewe uache kutetea ujinga maana kwavile ulikuwa unafanya naye mambo haikufanyi kujustify uswain wake maana kutembea na ndugu yako ni zaid ya uswain na pesa kaziacha haohao wanazigombea ..........................


NONESENSE
Punguza jazba mkuu hapa huu ni umbeya tuu in fact hakuna rewards yeyote

Mimi na wewe hatujui inawezekana ni kweli na inawezekana pia ni uzushi.

Pia mke wake Erasto kuhusika kwenye mauaji inawezekana ni kweli au hausiki hata kidogo.

Tusihukumu kwa hisia bali tuhukumu kwa facts
 
Kuna watu wanakera sana.. Yaani matatizo yao binafsi wanataka kuyahusisha na makabila.. Alafu ajabu makabila mengine yakiua hawasemi chochote, ila akiwa yeyote wa Kaskazini utasikia ndio walivyo, ndio kawaida yao. Hivi yule Housegirl aliyechinja kule Sinza ni Mpare au Mchaga?? Angekuwa ni Mpare au Mchagga tusingepumua humu
nashangaa sana na unakuta wengine wanaosema hivyo wake zao ni makabila hayo na wao ndo chachu za maendeleo yao ......... wanafikra za kizamani sana
 
Punguza jazba mkuu hapa huu ni umbeya tuu in fact hakuna rewards yeyote

Mimi na wewe hatujui inawezekana ni kweli na inawezekana pia ni uzushi.

Pia mke wake Erasto kuhusika kwenye mauaji inawezekana ni kweli au hausiki hata kidogo.

Tusihukumu kwa hisia bali tuhukumu kwa facts
sina jazba wala nini ......

naandika nikiwa na tabasamu pana tu
japo wauwaji wapo huko huu uzi una mafunzo kadha wa kadha ....................
 
nashangaa sana na unakuta wengine wanaosema hivyo wake zao ni makabila hayo na wao ndo chachu za maendeleo yao ......... wanafikra za kizamani sana
Hao wanaosema hivyo ni wale walioshindwa kuwapata wanawake wa huko.. Sizitaki pichi hizi..
 
Back
Top Bottom