jumayu
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 653
- 375
Mr Isis kuna watu wanakuwa na roho ya kujisukuma yaani utafikiri roho zao zimekwama kwenye tope zito hadi wanashindwa wanashindwa kuzitoa zilipokwama,kwamfano km ulikuwa na kipato cha shi/100000 kwa mwezi lazima mapato yako ya asilimia 25 yatahalipika baada ya kupokea hilo laki,nahata ukiwa na milioni moja asilimia itapanda tu,na unakuta mtu anaanza kuwa na roho ya kutawaliwa na pesa sio kutawala pesa,sasa hapo unakuta mtu kwakuwa pesa iko km alikuwa anakula chakula cha nyumbani sasa anahamia hotelini na raund za hoteli nitafauti na za geto, na akirudi home lazima abague chakula kisa pesa,amezoea chakula chenye sahani sita,mfano .pirau ya mbuzi na kachumbali kwa mbali,na ukirudi geto pirau hiyo hiyo inapikwa na mwezako lkn unapewa na chai ya maziwa so unaanza kugomba kachumbali iko wapi,na hapo ndipo amni inaaza kutoeka kwa mbaaali! Lkn kwakuwa pesa iko km naona poa,tafautisha hoteli unakula kwanza ndipo ulipe na nyumbani unatoa kwanza ndo ule,lkn ukichanhanya tu hiyo pesa yako lzma iwe na ugomvi,je hapo hujatawaliwa na pesa?kwasbbu matumizi hujui unaiga! Lzma upate taabu na asie mwelewa atasema Shetani! Na km umepata 1000% ukatoa 10% fungu la kumi hiyo pesa yako huoni ina ulizi mkubwa na mipango dhabiti lazima uwe nayo!



