sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 462
Ni siku ile ile fatiliaaaa kwa wafanyakazi wenzake wa Wizara ya Fedha.Habari zinasema beki tatu aliondoka before tukio kutokea
Ni siku ile ile fatiliaaaa kwa wafanyakazi wenzake wa Wizara ya Fedha.Habari zinasema beki tatu aliondoka before tukio kutokea
Aisee apo yote mawili yanawezekana. Labda upande wa mume wanataka izo Mali so wanamkandamiza mke ili afungwe wakombe Mali or kuna uwezekano uyo mke kacheza dili amuuwe uyo Wifi mtu n.a. mumewe. But ukweli utajulikana tu.So inawezekana kuna watu wanamflame huyu mama ili afungwe,wao wafaidi mali,unajua kuna haja ya kuacha wosia kuwa wazazi wakifa mali ziwekwe trust fund kwa ajili ya watoto.
Bado huyu housegirl ndo analo jibu lote,kama mama kashiriki kuua wifi yake,ama kuna watu wanaplay smart
Wacha iwe ivyoo..huyo Dada alionewaa sana Najuaa unahusikaa ndo mana unakuja kututisha hapa...Lala bwana.so interesting, Tanzanians we are talking bwana, then tunatumia mdomo akili ikiwa mbali, don't you see hii ni sensitive issue na maneno yako yanaweza kukuingiza pabaya, as long as hujui hata wanasoma ni nani. Kuna shida mahali
Ana Dada Wengi Atunja au Anet!??...Hapana hapa Arusha kuna vijimaneno sijui kama vinabeba ukweli lakini ndio habari ya mjini.Kuna madai kwamba Erasto alikuwa karibu zaidi na Dada yake kuliko mke wake hadi watu wa karibu wakawa wanahoji kulikoni.
Bibie Nifah nimetumia lugha ya kistaarabu zaidi nadhani umenielewa.
duh inafaa iwe conclusion baada ya kesi kuishaWakuu tunapaswa kufahamu pesa inahitaji maarifa makubwa kuitawala, la sivyo, italeta madhara makubwa sana
Katika harakati zetu za utafutaji, maarifa na nidhamu ya hali ya juu inahitajika sana. Si katika kutafuta tu, bali kutawala fedha nyingi ulizotafuta
Watu wanaokuzunguka wanapaswa kuwa na maarifa na nidhamu hiyo pia la sivyo utawatia matatizoni
Marehemu Erasto hakujua wale kuzingatia haya, ndio sababu kubwa ya huu msururu wa matukio
Unafikiri alikua bilionea zaidi ya Mo, Mengi na Bakhresa? La hasha! Alikosa maarifa na nidhamu inayopaswa kuitawala pesa
Kugawana mali inawezekana,kwanini mtu asizungumzie kugawana mpaka aue?mwishowe wote hawatazila hizo mali,wamachame wameacha wapare ndiyo hatari.Uwiii mali ndio zinapelekea hadi kumuua mwenzio kinyama vile?
Duuuh, kama ni kweli basi kazi ipo...HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Muosha nae kaoshwaHUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Usipotoshee ile Ni mambo ya serikali ilikuwa planned..hii Ni Private..wapo makiniUmenifurahisha imebidi nikanywe dompolight
Unakumbukaaa alietangazwa NA Kamanda wetu kuhusu alirtaka kumuua Dk ulimboka sijuikama utakuwa ulisharudi bongo enzihizo
Walitutangazia MTU mkenya badae wakatuambia amekwenda kukiri kanisa la uffuufuo NA uzima kwa GWAJIMA hahaaa sijui niendeleee
Gwajima akakanaa ajawahikumsikia huyokijana ..akafikishwa mahakamaani..hahaaa.mahakama ikamwachiaa huru hahusiki hatakidogo
Tafuta mwishoo wahiikesi uelewe nao n binadamu
Dada zake mshana wanaongozaJamani amin msiamin bado wapo wanawake wanaoua waume zao kwa ajili ya mali
Huu ni uropokaji na lazima tujirekebisha, kutokuja msibani tayari umeshabwabwaja hivi?
Yanakujaa mengiii wasitoke povuTusimuhukum uyo mke wa marehemu vibaya app kuna mengi tutayajua
Wekaaa uthibitishoo ilikuwa planned hapaUsipotoshee ile Ni mambo ya serikali ilikuwa planned..hii Ni Private..wapo makini
Hahaaaaa usiwaogopee mpwaanhutowooowaaaWanawake wengi wa KILIMANJARO na ARUSHA ni hatari sana kwa mali.
Ukienda pale arusha utakuta nyuma nyingi ni za vibibi na kina mama ambazo ni za kurithi kutoka kwa waume zao,baada ya kuhangaika sana wanakusogeza ili watafune fedha na watu wa "kununua".
Wanatisha sana hao ndiyo maana miaka hii waumezao wanaoa makabila mengine,wao wabaki migombaniHahaaaaa usiwaogopee mpwaanhutowooowaaa