Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,880
Haaahaaaaa mpwaaa migombaniiii waolewee NA nyaniii lazimatuwasikiziee pigauaWanatisha sana hao ndiyo maana miaka hii waumezao wanaoa makabila mengine,wao wabaki migombani
Haaahaaaaa mpwaaa migombaniiii waolewee NA nyaniii lazimatuwasikiziee pigauaWanatisha sana hao ndiyo maana miaka hii waumezao wanaoa makabila mengine,wao wabaki migombani
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
huyo mwanamke shetani kabisa

MBONAA.MKITOAA MIMBAA MNANUKA DAMU AMWONDOKI NA WENGINEE WOIII
Wakati nilisema akipatikana hg tu kila kitu kitafumuka
Ukitaka kujua watanzania wanajua kila kitu mpe tu kichwa cha habari content atajaza mwenyewe tena atakupa habari zote zaidi ya riwaya utadhani alikuwepo kwenye tukio...ona kama huyuAiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa

Kuua ni haramu hata ukiua kimpangilio (au na wewe unaua watu lakini kwa mpangilio)? !!!!WAuaji wa kibongo huua bila kupangilia
Kumbe wewe ni stadi wa kuua?uwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
Kweli aisee.. hivi mtu unawezaje kufanya mchongo mkubwa kiasi hicho,halafu ukaruhusu beki 3 atambue kabisa kama wewe ndiye mchora ramani...!!!?WAuaji wa kibongo huua bila kupangilia
Kuua ni haramu hata ukificha (siri itafichuka tu, kama haiwezi kufichuka hapa duniani basi huko Akhera siri itafichuka tu na utahukumiwa tu, hilo ni lazima, ALLAH anasikia na anaona kila kitu, hauwezi kumficha kitu).Kweli aisee.. hivi mtu unawezaje kufanya mchongo mkubwa kiasi hicho,halafu ukaruhusu beki 3 atambue kabisa kama wewe ndiye mchora ramani...!!!?
MhhhID extra.naamini ukweli utajulikana kwa shida sana maana kuna hela inatembea hapo#ila kuplan tukio la mauaji huwa ni ngumu sana kwa hiyo sio jambo la kufanya
Hata ulaya penyewe huwa wauaji wanaishia kukamatwa sana tu hasa ukiangalia Chanel zao maana muuaji hata awe makini vipi huacha evidence hii ni kwa sababu tukio lenyewe huwa sio la kawaida labda police waache tu kufatilia kwa makusudi.
Hii ishu ya kuua waume iko kila sehemu lakini wavivu wa kufikiri wanakujaga hapa na nyuzi wakisema wachaga wanaua waume zaoIstoshe alishaenda kutangaza ndoa nyingine pindi tu mumewe alivyo fariki akili hana kaishia std 7 Mpare mpuuzi
Watu hatari sana, northern women...Ndivyo unavyoamini hivo siwezi kuubadilisha msimamo wako
