Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
huyu mama ni mnyanyasaji alikuwa anatuzingua we acha sasa na mie nina jeuri ya asili mmmmhHahaha mlikuwa mnagombea nini?
huyu mama ni mnyanyasaji alikuwa anatuzingua we acha sasa na mie nina jeuri ya asili mmmmhHahaha mlikuwa mnagombea nini?
std 7 miriamuwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
We nae sasa unaficha nini kwenye mambo ya msingi? Nyie ndio mnaturudishaga nyuma...mboga ishamwaga we unaogopa nini kumwaga ugaliAiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa
Kama kuna ka ukweli fulani hapo maana katika pita pita zangu A Town mwezi May 2016 nilisikia sikia za chini ya kapeti kama hivyo.Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Taratibu mambo yanajulikanaNasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
sawaOk sawa basi tutakutafuta kwa upelelezi zaidi
kwasababu akili hawanaWAuaji wa kibongo huua bila kupangilia
Mshana Jr ulichokisema mbona muhandishi hajaandika hivyo au umesoma story vibaya jaribu kusoma tenaHapo mwisho rekebisha kuna shida kidogo. Aliyekamatwa sio dada wa marehemu bali mke kufuatia maelezo aliyotoa binti wa kazi wakati wa mahojiano na polisi
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................

Ni bora iendelee kuwa tetesi, kama ni kweli basi ni wazi ule usemi kuwa damu ya binadamu ni nzito unatimia!Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Duh...HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
hahaha ni kweli jamaa kurudi kutoka kusaka mkwanja, maana alimwacha mkewe anauza duka la nguo kakuta vumbi...... mwenye mkwanja keshabeba mke....😛😛😛😛 wake yule mrangi alisononeka sana.
Alisharekehisha asante kwa kujaMshana Jr ulichokisema mbona muhandishi hajaandika hivyo au umesoma story vibaya jaribu kusoma tena
Malipo hapa hapa tu...wanadhani shetani ni jidudu flan lenye Sura yakutisha kumbe Shetani ni MTU wakawaida kabisa daaah..hahaha ni kweli jamaa kurudi kutoka kusaka mkwanja, maana alimwacha mkewe anauza duka la nguo kakuta vumbi...... mwenye mkwanja keshabeba mke....😛😛😛😛 wake yule mrangi alisononeka sana.
Hahahaha poa brotherAlisharekehisha asante kwa kuja
Kabisa ni kweli atakuwa ndio pia aliomuua bwanakeNasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Very well saidMalipo hapa hapa tu...wanadhani shetani ni jidudu flan lenye Sura yakutisha kumbe Shetani ni MTU wakawaida kabisa daaah..