Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

MKUUU HILO ZOEZI LIMESITISHWA NA MALI ZA HUYU DADA ZIKOKISHERIA NASIKITIKA WANAVYOHAHA NDUGU KADHA

BILA AIBU ALITOA 450M+450M+100M@KAKA/DADA WANAOPINGA WAJESEMA HAPA
UTAPATA WAPI MKWE WA AINA HII DUNIAN HATA KAMA ANA BIL 100
?
BADO TU KWAN ALIKUWA ANAHANGAIKA NA MALIZA UKOO ZA WANAWE??
inawezekana alikuwa nao erasto alikuwa mzinzi sana................
 
Acheni utotoo saasaaa jadilini hoja
Hii hoja inataka asante Yesu Kristo kwa ajili ya kusikiliza maombi yetu haki itendeke kwa walishuhudia kwa kuona jinsi Annette alivyouwawa kikatili mkono wa MUNGU utende makuu
 
Uwiii mali ndio zinapelekea hadi kumuua mwenzio kinyama vile?

Kama ni kweli huyu mama hakuwa hata na huruma na kale katoto ka marehemu Annette. Nikiikumbuka ile picha ya mtoto wa marehemu amekumbatia picha ya marehemu mama yake wakati wa msiba naona uchungu sana kwa ajili ya yule mtoto. kwa kweli haki itendeke japo uhai hauwezi kurudi!
 
Kama kweli huyu mama ndio alipanga mauaji ya wifi yake atakuwa mjinga kushirikisha house girl, kwanza kitendo cha house girl kuacha kazi ghafla tena boss wake akiwa kazini ni udhaifu mkubwa, bora angeacha kabla au wangemwacha aendelee na kazi, kukuacha kazi na siku hiyo hiyo mauaji yanatekelezwa na mtu asiye mpelelezi angeanza kumtafuta house girl
 
Usiseme hivyo mkuu,mimi ni mwanamke pia ujue?
1470747101066.jpg
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Dah...Haya unayasema leo?? Kwanini usiyaseme mapema ungewasaidia polisi 🙂🙂
 
Aiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa
Weka tetesi mkuu, huyu Dada yake Erasto ndiyo yule waliyekuwa wanasema anatembea na bro wake au?
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Funguka mbaba
 
Yawezekana akawa ndiye muuaji,
Ila plan ambayo aliifanya kwa Aneth ni foolish plan, akili yake sio nzuri
Alishidwa kuwafuata wale wataalamu wa mauaji ya njia ya ajali kwenye kile chama wampe stratigic well plan?
 
ID extra.naamini ukweli utajulikana kwa shida sana maana kuna hela inatembea hapo#ila kuplan tukio la mauaji huwa ni ngumu sana kwa hiyo sio jambo la kufanya
Hata ulaya penyewe huwa wauaji wanaishia kukamatwa sana tu hasa ukiangalia Chanel zao maana muuaji hata awe makini vipi huacha evidence hii ni kwa sababu tukio lenyewe huwa sio la kawaida labda police waache tu kufatilia kwa makusudi.
True,Spirit that plan to kill,plans also how to be killed,because the mission is to destroy you. Therefore some one with such spirit will have poor plans to protect himself when he have killed another man.
 
Back
Top Bottom