Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,505
- 911,249
hivi tunapigania ni nini? Kama ni mkate mbona umeoza au hamuoni?
Hizo ni njama kuichafua cdm. Inakuaje kanda za vikao vya ndani cdm kupatikana kwa nchemba mwenye maslahi kuimaliza cdm. Kwanza kabisa polisi wamkamate nchemba ili aeleze ni kwa jinsi gani alivyoweza kupata kanda hizo? Kwani kisheria CCM inaruhusia kupiga video kwa siri mikutano ya ndani ya vyama vingine? Ama Nchemba na wenzake wanadhani kua viongozi ndani ya chama tawala wanaweza kua mbadala kwa vyombo vya usalama vya dola?!Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
Kwa namna moja au nyingine, CDM inahusika na hizi tactics za utekaji. Wengine mnasema feki, wengine mnasema siyo feki ila alirubuniwa na wengine mnasemna siyo kosa kujadili.
WTF???
Hizo ni njama kuichafua cdm. Inakuaje kanda za vikao vya ndani cdm kupatikana kwa nchemba mwenye maslahi kuimaliza cdm. Kwanza kabisa polisi wamkamate nchemba ili aeleze ni kwa jinsi gani alivyoweza kupata kanda hizo? Kwani kisheria CCM inaruhusia kupiga video kwa siri mikutano ya ndani ya vyama vingine? Ama Nchemba na wenzake wanadhani kua viongozi ndani ya chama tawala wanaweza kua mbadala kwa vyombo vya usalama vya dola?!
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
cdm haina mgogoro ila ni mkakati wa ccm kupandikiza mgogoro cdm, mkakati ambao bado haujafanikiwa ila ccm wanajifanya kama tayari.mkuu kumbuka ndani ya chadema hivi sasa kina mgogoro wa ndani kwa hiyo siri zake kuvuja ni jambo linalotegemewa sana. Pili fahamu hili ni suala la ujasusi kujua mbinu ovu za adui yako dhidi yako ni muhimu sana...mwigulu anafanya sahihi kuumbua mipango dhalimu ya adui yake
Hicho chanzo chenyewe kishakuwa bias na hivyo kimepoteza umaana wa kuitwa chombo huru cha habari,
kipumzike kwa amani
ndoto za mchana hizo. Subiri uwaone mitume wenu mbowe na Slaa ndani ya karandiga.
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
"Mambo ya kitoto wakiambiana watoto tunajua watoto wanacheza, lakini mambo hayo hayo ya kitoto akiambiwa mtu mzima na mtoto sote tunajua mtoto anakua. Ila ukiona mtu mzima anafanya/kumwambia mambo ya kitoto mtu mzima mwenzie UJUE HAPO KUNA WALIKINI"
Inashangaza na kukera watu wazima na akili zao ( hapa namaanisha wote mnaoshiriki kuchochea kuni mbichi) mnapokubali kuyumbishwa na akili ndogo ya akina "mwigulu nchemba" kutawala akili kubwa. Hizi fitina za kisiasa zilishatumika na still zinatumika sehemu nyingi sana duniani na kwa watu wenye ujuzi na mambo ya video filming wanashangaa umbumbumbu wa watanzania walio wengi tena mpaka vyombo vya dola kuingizwa kwenye kapu moja.
Nnachotaka kuwajuza hapa si kutetea ukweli au uongo wa video ya lakwatare isipokua kuwaelimisha,mbona fake video za wanasiasa mashuhuli duniani ziko nyingi tu mtandaoni hata ukigoogle hapo unazipata?mbona ni rahisi kuchukua tu video yeyote na kuipa maneno?chaajabu ni nn kwenye video ile?
MFANO HALISI TAZAMENI TAMTHILIA YA KICHINA/KIKOREA INAYORUSHWA TBC, NI KWELI WANAZUNGUMZA KISWAHILI WALE? KAMA HIYO HAITOSHI SIKILIZENI ILE FAKE YA KUAPISHWA OBAMA, MMESIKIA NANI AMEKATWA?
Lakini kitu kibaya zaidi ni ukimya wa watalaam wa mambo ya VIDEO editing/filming,JE na nyie ni genge la akina nchemba? au Tuamini na nyie thamani yenu ni shs 50,000?
"KUWA KIMYA WAKATI HAKI INAKANDAMIZWA NI KUWA MIONGONI MWA WAKANDAMIZAJI WA HAKI"
Nawasilisha!!
Hii video ya utekaji imeichafua Chadema sana chama kimepata pigo sana.
ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na magaidi...mtaishia kuichora chini
Hata shetani ana mungu
Uliwarekodi kwa simu ya mchina ulitoiba poachadema ni kama zimwi linalo afuta wa kumla kila siku wao ndio wauaji