Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Slaa amekalia kurudia maneno yale yale kama kasuku, TISS TISS, sasa ngoja waje kugonga mlango wake. Ndio atawatambua ni nani, wao hawatazami uzee wa mtu,ni kichapo kwa kwenda mbele.

Kama makaburu hawakuweza kumzuwia Mandela sembuse hao wababaishaji wa TISS?

Mnalipwa kiasi gani kusaliti watu wanaopigania ukombozi wa taifa lenu?
 
Hata mazembekuku ya CCM hataki kabisa hizo propaganda many are very angry na new secretariat wanashangaa zaidi ya kuvuna tembo zetu katibu mkuu wa CCM ,Kinana na Mwenyekiti wake Jakaya Mrisho wameishia political strategies kiasi kwamba mwigulu,Nape Ridhiwani ndio wamekuwa ndio waratibu so most of us we are not curious with this lame allegations speak for your self as well

I was speaking for myself, rudi kusoma post yangu. Wewe hiyo "most of us " unasema kwa mujibu gani? "Us" ndio nani? Ulifanya uchunguzi kuona watanzania wangapi wanataka kuujua ukweli? Acheni mahakama yafanye kazi na kama hamna imani na mahakama basi iteni expert from USA. But ukweli lazima ujulikane!
 
nakumbuka yule shoga hugo chavez alisema yuko na seasons nyingi sana kama prison break, hii ni season 2, hii wameipeleka polisi sijui kwa staili gani?

michango yako inaonyesha kweli wewe ni mjinga mzuri sana, nlidhani umeonewa kumbe ni haki yako...
 
Ruka juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!! Ndo raha ya chura pale unapompiga teke....
 
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick! Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika... Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri. Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua... Source: Mtanzania - Jumapili.
Wamemlimboka Kibanda ili wapitishe habari zao zisizohaririwa.
 
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!

Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...

Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.

Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...

Source: Mtanzania - Jumapili.
mtahangaika sana maana M4C na sera ya Majimbo imewakamata pabaya!!! Tumikieni wananchi acheni hizi propaganda za miaka ya kale wakati wakoloni walipotaka kuitawala Africa.
 
Hivi Horace Kolimba alifariki vipi vile??
 
mwigulu acha uchochezi tuambie tembo na twiga wetu mta wa linda vipi sio vinginevyo au mnazani tume sahau:lying::bounce::A S angel::rockon::rockon::rockon::rockon:
 
Unamzungumzia Mungu gani?, Huyo Mungu wako bila shaka atakuwa anawachukia sana watanzania. yaani anawaacha wezi wa KAGODA, DEEPGREEN, MEREMETA, EPA, WEZI wa meno ya Tembo, WANGO'OA MENO na KUCHA, wezi wa TWIGA wetu wazimawazima, yeye anawahukumu akina Dr Slaa na Mbowe wanaopigia kelele huo ufisadi na kuwaacha mnaoutetea? Huyo Mungu wako ni wa dini ipi?

Mkuu dini ya CCM hiyo hujui
 
1. KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
2. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
4. Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.
5. Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
6. Tuongoe njia iliyo nyooka,
7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
 
Nyie wanachama wa chadema ni kama sikio la kufa! yani ma ushahidi kibao lakini hamkubali! Chama chenu MAGAIDIIII!

unakurupuka tu mkuu, soma vizuri nilicho-comment. ndio maana Tanzania bado ni Maskini mpaka leo, maana kama mtu unafahamu kutumia computer, internet na unajua ku-comment humu halafu bado unaiacha akili yako iwe stagnant hivo n brain washed with gutter politics, then we deserve to be poor!
So sorry for you mkuu! in short sishabikii vyama bt i am looking on reality! that's it kaka!
 
Najiuliza hivi, CHADEMA ni wajinga kiasi hiki mpaka wanaweka ushahidi peupe kirahisi hivi?? Ni kweli hawana akili wajianike hivi?? Sijui najiuliza tu!!!
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!

Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...

Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.

Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...

Source: Mtanzania - Jumapili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom