naunga mkono hoja, akamatwe kama alivyokamatwa gaidi lwakatare na sekretari binafsi wa slaa aliekanwa na chama bw. ludovick
Tuko pamoja!
naunga mkono hoja, akamatwe kama alivyokamatwa gaidi lwakatare na sekretari binafsi wa slaa aliekanwa na chama bw. ludovick
Na wewe upo kinini?
SASA RAISI WANGU HAPA TUKO PAMOJA!!!.. Hiii ni hoja OBJECTIVE!!!
Sipandi chuki za kidini ila nasema kutenda haki ni muhimu!!!!... Shehe ILUNGA AKAMATWE!!!
ASANTE!!!... NAPINGA DOUBLE STANDARDS ukisema fulani ni gaidi na ukawa mkali kweli basi tukuone ukiwa mkali kwa watu wote unaowaona kuwa ni magaidi!!!...
...HUWEZI UKAMSIKIA MTU MMOJA ANATANGAZA HUKUMU YA KIFO KWA WENGINE ukanyamaza kimya walengwa wakauawa huonyeshi jitihada za kuridhisha, .. lakini ki-CD uchwara cha kiitikadi unakomaa na kutisha watu!!.
Kama umesikia hotuba za maaskofu za pasaka umenielewa ninacho sema!!... Kwangu haki kwanza vyama baadaye!!
Dah leo Mbowe amemfunika vibaya sana Pinda pale taifa, naona kama hizi single hazijalipa kabisa sijui nini kifanyike, ccm wanahitajika kubuni njia nyingine hizi za kimafia zinashindwa vibaya
Naangalia kitu kimoja HAKI, siasa baadaye!!!... Kitendo cha shehe ILUNGA kuchochea machafuko na kuachwa mtaani wakati kua watu wamepigwa risasi baada hukumu yake ni fedheha kwa taifa na dhihaka kwa wakristo!!!
Time will tell
Chadema ni time bomb itakayolipuka wakati wowote kuanzia sasa
kuna watu wameichoka amani iliyopo hapa tanzania wanatamani tuuwane kwa lazima..hii ni hatari sana
Nimeipenda hii, taifa kwanza vyama baadae, dini zitaendelea taifa likiwa na amani, mtu yeyote mdini ni afadhali ya mchawi Kuliko yeye..sawa ila mkuu kumbuka hii nchi tumekuta watu wameipigania na wengi walipoteza roho zao na wameifikisha hapa tulipo.. kumbuka rwanda waliuana kwa chuki za kikabila, israel na palestina hadi leo wanauana kwa chuki za kidini....tuulinde umoja na mshikamano wa tanzania...wanansiasa wataondoka na vyama vyao tanzania itabaki.......tupinge kwa nguvu zote yale yanayoharibu udugu baina yetu
Paroko wa Mburahati aliyeamrisha mauaji ya Mwembechai amekamatwa,na yule askari aliyekuwa nasema pale mwembechai piga yule,piga yule amekatwa,Mkapa na Mahita walioamrisha mauaji kule zanzibar wamekamatwa, au wenye makosa ni Ilunga na Lwakatare tu.
Watanzinia tuache ujinga wa siasa za maji taka
Waliyoichoka Amani in CCM na CDM,wewe uoni wanavyocheza mapicha ya Rambo
Paroko wa Mburahati aliyeamrisha mauaji ya Mwembechai amekamatwa,na yule askari aliyekuwa nasema pale mwembechai piga yule,piga yule amekatwa,Mkapa na Mahita walioamrisha mauaji kule zanzibar wamekamatwa, au wenye makosa ni Ilunga na Lwakatare tu.
Watanzinia tuache ujinga wa siasa za maji taka
Hawa maaskofu nao wanshangaza,watu wengine wakiuwawa wanawapongeza wauaji,wakiuwawa wengine wanapiga kerere, au kuna watu wan haki zaidi ya kuishi kulioko wengine?
Hawa wanaoitwa Maaskofu ndio watakaoipileka nchi hii kuzuri tunakokupenda watanzania.Subiri tuone
sijapenda sana aina yako ya uchangiaji hapa unachefua mbaya unaonekana mdini sana wewe.....anzisha mada kuhusu huyo ilunga tutachangia....acha udini mkuu,,, ni chuki mbaya sana hiyo..laana
lwakatare na ilunga hawawezi kuachwa kwa sababu hao waliachwa...nao wanapaswa kuwajibika