Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
Nitakuwa wa mwisho kuamini.
I will the last person to BELIEVE this RUBBISH!!!!!
Nitakuwa wa mwisho kuamini.
Hapana sijakurupuka mkuu,hebu rudia tena kuisoma habari yake kama utamwelewa! Au mkuu labda sijaona vizur,anaposema video zinawaonyesha makada wa chama....halafu huko mbele anasema ambao hawajajulikana...sasa alijuaje ni makada wa chama ilihali 'hawajajulikana'?soma hapo anaposema na watu wengine sita...
Hizi habari ni za kupikwa tu na zinalenga kumuokoa Bashe kutoka rungu la mamlaka (za serikali) kutochukuliwa hatua kwa yaliyotokea wiki chache zilizopita kuhusu gazeti la Mtanzania la media house yake. Wiki iliyopita gazeti hilo hilo liliandika stori yenye kichwa cha habari "Urais wa Damu" na mhariri aliitwa kujieleza kule idara ya Maelezo.
Sasa kujikosha ili gazeti lisifungiwe ndiyo gazeti hilo klinakuja na habari za anti-Chadema. Anayefanya kazi hiyo ni yule Charles Mullinda aliyekuwa Tanzania Daima anayesifika kama bingwa wa Brown envelope'. Ataandika chochote -- mradi ukimpa bahasha aandike mama yake anataka kupindua serikali ataandika tu.
Very loose character sijawahi kuona. Hizi habari alizipata kwa akina Shonza waliotembelea pale New habari juzi. Kinachoshangaza ni kwa nini hawa akina Shonza hawakumpa habari hizo wakati bado wamo Chadema, walingoja hadi wafukuzwe kwanza.
Huu umbea tu. Mbona zenyewe hazikuwekwa youtube???
Mtesi wa ulimboka aliandikwa na mwanahalisi lkn mpaka leo hajakamatwa,je kwanini Mwigulu hakukabidhi lile gazeti polisi
Makamanda hawajulikani kivipi wakati aliyewarekodi yupo na kuzipeleka polisi au mkanda umeokotwa,ngoja tusubiri..
ndoto za mchana hizo. Subiri uwaone mitume wenu mbowe na Slaa ndani ya karandiga.Yana mwisho haya. Na mwisho wake ni aibu kubwa kwa ccm na serikali yake.
poleni sana chadema,,tatizo lenu nyie baadhi yenu mnajifanya wajanja sana tena wenye akili kushinda hata wenye dola na chama dola la nchi hii,,lazima mfanye siasa zenu polepolena kwa umakini mkubwa sana..vingineiavyo hamtafika 2015,,naona mmetekenywa kidogo tu na watoto wa mjini sasa hivi mnaanza kunywea na kuwa wapole..nina uhakika kabla ya kufika mwaka 2015 tutashuhudia mambo mengi na makubwa ambayo kila mwanacdm atbaki mdomo wazi kwa kutoamini kile kitakachotokea..tusubiri,,time will tell