ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
JF inatakiwa iheshimiwe vinginevyo itapoteza maana ya uwepo wake. JF imegeuka chombo cha kupikia majungu badala ya kujadili hoja za maana. Kuna watu kwa ajili ya kuzunguka humu JF kujibu hoja hata kama ni kwa njia ya kipuuzi ili mradi wajibu tu. Kuna watu kama kina ZeMarcopolo, Ritz na utaifakwanza wao kazi yao ni kupinga hoja yoyote inayoipa serikali changamoto. Wako tayari hata kujidhalilisha kwa majibu ya ovyo ili mradi wamfurahishe aliyewatuma. Watu hawa ni hatari kwa ustawi wa taifa letu. Wapo wengine wanaanzisha thread zisizokuwa na mashiko ili mradi waonekane nao ni member wa JF. Kwa mfano kuna aliyeanzisha thread humu akidai eti wachaga ndio wanaongoza kwa mapenzi ya jinsia moja hivyo alitaka wana jf wajadili hoja. Wengine wanaanzisha thread za kukashifu dini zingine. This is too much.
Practice what you preach.
Unachokipinga ndicho unachokitenda kwenye post yako hii hii...