Mwigulu anajitaftia sifa za kishamba ambazo hazitamsaidia zaidi ya kuosha upumbavu wake
We bwana mdogo acha kukurupuka kwani generali Kombe, Stan Katabaro, Mzee Kolimba na wengine waliawa na CDM! Acha kukurupuka, hakuna muuaji kama maccm.Shetani anajua kujigeuza malaika unaweza kumwabudu. Watanzania wamedanganywa kwa muda na watu waliojivika ukombozi lakini chini ya kapeti wakipanga namna ya kuwaua baadhi yao. Mungu ameamua kuweka wazi ndio maana hili limekuja kila mtanzania atawajua wakombozi wa tindikali, nondo, sumu, dawa za usingizi na risasi
Hivi kifupi cha chama cha magaidi ni kipi?!!!!