Linchi lililochafuka kama Tanzania haliwezi kuendelea bila ya kupigana vita kam miaka kumi hivi,baada ya hapo watu watakuwa na adabu ya kuogopa mali ya Umma.
Hawa wanasiasa wetu wote ni wachumia tumbo,si wa chama tawala wala wa upinzani,hivi sasa ukitaka kuneemeka ingia kwenye siasa tu,siasa ndio biashara kubwa inayolipa hapa nchini.
Haya yanayoendelea ni maandalizi mazuri ya vita,kazi nzuri endeleeni na mapicha yenu ya Rambo sisi tunajipanga kwa vit huku mtaani.
kwahiyo unatangaza uasi? je mnajiandaa na nani na wapi? nani anawafadhili? kama haya maswali ni magumu kuyajibu nakuomba mara moja ufute kauli yako! vinginevyo haya maneno yako yana madhara, unaweza ukawa unatania akajitokeza mtu wa kuyatekeleza uliyoyasema unafikiri watanzania hawatakuhusisha na hilo?