Hicho chanzo chenyewe kishakuwa bias na hivyo kimepoteza umaana wa kuitwa chombo huru cha habari,
kipumzike kwa amani
Haya ndio sampuli ya magazeti wanakoajiliwa waandishi mamluki kama wakina Manyerere!! Huwa wanaibuka kwa kazi maalum na baada ya uchaguzi wanapewa safari moja ya kwenda Cuba na baada ya hapo wanatoswa wakingojea uchaguzi mwingine; hawa vilaza hawana intergrity na wala hawajitambui kuwa wanatumiwa at the detriment yao wenyewe na uzao wao.