Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Hiki ni kipimo cha mwisho kabisa kwa CDM kushika dola. Wamejaribu kulaghai watu CDM ni ya kifamilia hawajasikika,KASKAZINI wameshindwa,wakaja ni cha kidini(wakatoliki ) hawajauzika na sasa ni chama cha kigaidi nadhani itapita tu .
Mbinu zote wamejaribu wameona bora waitumie hii ili kuwagombanisha ndani na nje ya nchi .
Thanks to GOD mipango yao yote inafahamika mapema sana kabla hawajaitekeleza.
WANA CDM HAKUNA KIPINDI KIGUMU CHAMA KINAPITIA KAMA HIKI KWA PAMOJA TUONGEZE UJASRI KWENYE MPAMBANO HUU. MUNGU YUPO NASI
 
madhara ya taahira kuwa karibu na keyboard ndo haya, sasa umepost nini hapo?
 
Linchi lililochafuka kama Tanzania haliwezi kuendelea bila ya kupigana vita kam miaka kumi hivi,baada ya hapo watu watakuwa na adabu ya kuogopa mali ya Umma.

Hawa wanasiasa wetu wote ni wachumia tumbo,si wa chama tawala wala wa upinzani,hivi sasa ukitaka kuneemeka ingia kwenye siasa tu,siasa ndio biashara kubwa inayolipa hapa nchini.

Haya yanayoendelea ni maandalizi mazuri ya vita,kazi nzuri endeleeni na mapicha yenu ya Rambo sisi tunajipanga kwa vit huku mtaani.
 
Chadema na watanzania wake ,ccm na wizi wao.
Evrythn z created na jiandae sikia meng bot chadema hasa baada ya kuanzishwa na kukua kwa m4c jiandae ona meng ila peoplez power!!
 
tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa lwakatare limeibua mapya ndani ya chama hicho yaliyojificha mbali na video ya lwakatare inayomuonesha akipanga mipango ya kuteka na kuzuru watu pia imebainika kuwa kuna video zingine ambazo zimewasilishwa kwenye vyombo vya uchunguzi zikionesha viongozi wa chadema wakipanga mipango zaidi ya mauaji kwa baazi ya watu muhim wakiwemo wanahabari na watu wengineo wanajf hawa wanasiasa wanatupeleka wapi?

Huwezi kusema wewe ni mtumishi 'wetu' kisha unaleta vitu nusu nusu ili watu wajadili kwa mtazamo unaoutaka wewe mkuu, halafu unaweka leading question...

Weka hiyo stori yao yote watu wote waisome kwa ukamilifu, mbovu ziwekwe hadharani kwa uchambuzi wa hoja.
 
Linchi lililochafuka kama Tanzania haliwezi kuendelea bila ya kupigana vita kam miaka kumi hivi,baada ya hapo watu watakuwa na adabu ya kuogopa mali ya Umma.

Hawa wanasiasa wetu wote ni wachumia tumbo,si wa chama tawala wala wa upinzani,hivi sasa ukitaka kuneemeka ingia kwenye siasa tu,siasa ndio biashara kubwa inayolipa hapa nchini.

Haya yanayoendelea ni maandalizi mazuri ya vita,kazi nzuri endeleeni na mapicha yenu ya Rambo sisi tunajipanga kwa vit huku mtaani.

wewe ni mjinga sana, pigana na ukuta kama una hamu ya kupigwa...watanzania wapo makini sana na ugaidi wenu
 
Hiki ni kipimo cha mwisho kabisa kwa CDM kushika dola. Wamejaribu kulaghai watu CDM ni ya kifamilia hawajasikika,KASKAZINI wameshindwa,wakaja ni cha kidini(wakatoliki ) hawajauzika na sasa ni chama cha kigaidi nadhani itapita tu .
Mbinu zote wamejaribu wameona bora waitumie hii ili kuwagombanisha ndani na nje ya nchi .
Thanks to GOD mipango yao yote inafahamika mapema sana kabla hawajaitekeleza.
WANA CDM HAKUNA KIPINDI KIGUMU CHAMA KINAPITIA KAMA HIKI KWA PAMOJA TUONGEZE UJASRI KWENYE MPAMBANO HUU. MUNGU YUPO NASI

ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na magaidi...mtaishia kuichora chini
 
chama cha kigaid,,ngja tusubiri waliosema clip ya lwakatale ni yakutengeneza...shame on them

Ugaidi!?!? Mmeshindwa kuthibitisha na kushawishi Watz kwa chama cha familia, ukabila, ukanda, udini, ukatoliki, sasa mauaji na ugaidi, nani atasikiliza...watawala hawa, chini ya CCM, wanao wajibu wa kujibu tuhumamauaji mengi na ugaidi mnaofanyia Watanzania wanaopingana nao kifikra na mawazo mbadala, badala ya kuhamisha mjadala.
 
tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa lwakatare limeibua mapya ndani ya chama hicho yaliyojificha mbali na video ya lwakatare inayomuonesha akipanga mipango ya kuteka na kuzuru watu pia imebainika kuwa kuna video zingine ambazo zimewasilishwa kwenye vyombo vya uchunguzi zikionesha viongozi wa chadema wakipanga mipango zaidi ya mauaji kwa baazi ya watu muhim wakiwemo wanahabari na watu wengineo wanajf hawa wanasiasa wanatupeleka wapi?

mmh umejiunga jana haya natumaini unazo hizo video unazosema unataka kurusha humu, tunasubiri mwana ccm.
 
Kutengeneza video sio kazi kubwa, siku tukitoa video za mipango ya CCM mtakoma kuandika ujinga huu wa kupotosha.....chekeni sasa, zamu yenu yaja.
 
Hii video ya utekaji imeichafua Chadema sana chama kimepata pigo sana.

Unajidanganya mkaka, CDM haijachafuka, ndo kwanza mipango yenu inajulikana ya uongo....wait for our next move!! tutaona nani anachafuka!
 
nimechoshwa na siasa za nchi hii sasa yaani haya sasa ni matokeo chanya ya aidha CCM kujisafisha kupitia upinzani ama CDM kutaka umaarufu zaidi kisha wakateleza. ngoja tusubiri nini hatima ya hizi dark politics.
 
poleni sana chadema,,tatizo lenu nyie baadhi yenu mnajifanya wajanja sana tena wenye akili kushinda hata wenye dola na chama dola la nchi hii,,lazima mfanye siasa zenu polepolena kwa umakini mkubwa sana..vingineiavyo hamtafika 2015,,naona mmetekenywa kidogo tu na watoto wa mjini sasa hivi mnaanza kunywea na kuwa wapole..nina uhakika kabla ya kufika mwaka 2015 tutashuhudia mambo mengi na makubwa ambayo kila mwanacdm atbaki mdomo wazi kwa kutoamini kile kitakachotokea..tusubiri,,time will tell

nasikitika tena sana kwamba mipango ihi kwa matamshi yako bw,ndeketu,inaonyesha wazi wewe unaijua mipango yote inayo endelea kuakikisha chadema inaporomoshwa kwanza kabisa mjue mageuzi ya tanzania hayatokani na chadema yanatokana na mungu mwenyewe,na mipango yote mnayo panga itajulikana mchana kweupe watanzania sasa wana mlilia mungu wa mbingu na nchi,sasa mungu atashugulika mwenyewe,wala ccm aiwezi kumzuia tena nawataadarisha wanao tengeneza mikakati hiyo mungu atawashugulikia yeye mwenyewe,mungu wa mbingu na nchi yupo kazini,tanzania, change is come tz,
 
Wana wasiwasi mkubwa kuelekea 2015. Baada ya kushindwa propaganda zao za kipumbavu kwamba CDM ni chama cha kikabila na kidini na pia kinataka kuleta umwagaji damu nchini, sasa wameamua kuzuka na kupandikiza video dhidi ya Viongozi wa CDM, watashindwa tu pale ukweli utakapodhihiri.

Baada ya CCM kushindwa kujenga nchi..hiki ndicho inachoweza.
 
Subir Utaziona,utawaona Magaid Wa Chadema Wote

mwaka 2015 mkithubutu kutuibia kura ndiyo mtajua kama chadema ni magaidi maana nchii tutaikomboa kwa vyovyote vile na siyo hizo video za kulisha watu maneno..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom